Naipenda sana Yanga!

Huyo mume wa bi hindu au mke wa manara sijui wana hali gani!!
 
Yanga siku hizi inatukera sana mashabiki wake

Kwanza kitendo chao cha kumfukuza kazi Hans Van Pluijm na kumleta huyo minjino kilitukera sana mashabiki


Sidhani Yanga chini ya huyu Lwandamina kama itakuwa na makali yake kama kipindi kile cha Hans.
Wee jamaa ni mtu wa soka kweli kweli..

YANGA hawakuwa na sababu ya kumuondoa Hans ili hali alikuwa na timu nzuri sana ambayo alienda nayo vizuri...mpaka wana mtoa bado ali iyacha timu kwenye mazingira mazuri sana...

kutoa Hans ni swala la kishabiki tu na tamaa za kutaka kufika sehemu flan flan hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui mpira wewe. Ama ni shabiki wa msimu, ama ni 7G, period. Maneno ya kwenye kanga, shombo tupu.
 
Sasa ndio umeongea nini?

Embu pitia vizuri mabandiko yangu halafu ulinganishe na hicho ulichokiandika.
 
[emoji23] [emoji23]
Mkuu asante Nina bajeti ya lunch taysri
Nimesikia umesema WIFE MATERIAL anapatikana huko, kwakweli na mimi nilikuwa natafuta sana huyo wife wa hivyo......ni matumaini yangu nimekupata ingawa mimi ni wa 7up kama ulivyotuita.
 
Nimesikia umesema WIFE MATERIAL anapatikana huko, kwakweli na mimi nilikuwa natafuta sana huyo wife wa hivyo......ni matumaini yangu nimekupata ingawa mimi ni wa 7up kama ulivyotuita.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbumbumbu fc! Wa nini? we nenda kwa 7up wenzio huko
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbumbumbu fc! Wa nini? we nenda kwa 7up wenzio huko
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mbona Ajibu kawajibu......basi nakusajili kwa mkopo...😡
 
Ngoja nikuweke katika orodha ya watu wangu wa muhimu, na kama Avartar yako inaendana na hali halisi hata kwa asilimia 70 basi weka namba ya MPESA nikutumie lunch ya chakula cha mchana
Umenifurahisha hapo kwenye lunch ya chakula cha mchana..........
 
Yanga siku hizi inatukera sana mashabiki wake

Kwanza kitendo chao cha kumfukuza kazi Hans Van Pluijm na kumleta huyo minjino kilitukera sana mashabiki


Sidhani Yanga chini ya huyu Lwandamina kama itakuwa na makali yake kama kipindi kile cha Hans.
Uongozi unahuckaje na hayo maumbile ya mdomoni mwa huyo kocha?Nahisi kama unahoji uwezo wa Aliyemuumba! Na maumbile hayo ya kocha yanahusianaje na uwezo wake? Nahisi kama unahoji jambo nje ya muktadha wake!
 
Ajibu amefuata masrahi tu
Nitajie mchezaji aliyejiunga timu kwenda kutoa sadaka tu, kwa maneno mengine aliyekataa mshahara au angalau kukubali kulipwa kasoro ya maslahi yake ya misimu iliyotangulia.
 
Nitajie mchezaji aliyejiunga timu kwenda kutoa sadaka tu, kwa maneno mengine aliyekataa mshahara au angalau kukubali kulipwa kasoro ya maslahi yake ya misimu iliyotangulia.
Mkuu huna haja ya kutokwa mapovu rudi kwenye mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…