Naipenda Solidarity ya CHADEMA kupigania haki; Wanampigania Dr. Slaa bila kujali itikadi yake

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ni CHADEMA pekee ndicho chama ambacho hadi sasa kwa miaka mingi hakijawahi kuwa ana adui wa kudumu; leo wapo na Dr. Slaa zaidi ya unavyoweza kudhania.

Wamekuwa wakipigania haki bila kujali itikadi; wamewapigania akina Nape na Kinana wakati wa Magu. Hizi solidarity uwezi kuzipata CCM. Kinachoendelea CCM ni kiu ya madaraka tu; ukikwama kama mwana CCM wanachoangalia nani atakuwa mrithi wako......

Taifa linalojengwa kwenye imani ya Chadema ya kutokuwa na adui wala rafiki wa kudumu ni taifa la haki......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…