Naipenda Urusi mpaka naumwa

Naipenda Urusi mpaka naumwa

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Nina sababu nyingi za kuipenda urusi sana tena sana. Hizi ni baadhi.
1. Urusi alisaidia sana Kwenye ukombozi wa bara la afrika wakati tukipigania uhuru. Wapiganaji wengi wa kuikomboa afrika walifundishwa na warusi.

2. Wakati mrusi anaisaidia afrika kujikomboa mmarekani alikumbatiana na watesi wa afrika.

3. Mmarekani alimuuwa Patrice Emir Lumumba rais wa kwanza mzalendo wa zaire. Mrusi akamheshimu Lumumba kwa kuanzisha chuo kikuu kikubwa sana kule urusi kilichoitwa Patrick lumumba university.

4. Mmarekani haaminiki anaweza kukusaliti muda wowote akiona opponent wako ana maslahi naye zaidi mrusi hayuko hivyo. Mfano hapa east africa ikitokea tukazinguana na kenya mmarekani ata side na kenya mrusi hana hulka hiyo atasuluhisha au atakaa kimya.

5. Mmarekani anapenda ushoga anatetea ushoga . Ukiona mwanajamiiforum anamtetea mmarekani ujue anaweza pia kutetea sera za ushoger.

6. Mrusi ni baba wa heavy machines duniani. Ukitaka kujua heavy machines ninini basi nenda urusi.

7.Mrusi hapendi kiki hapendi masifa. Imagine nchi ya kwanza kwenda anga za juu ni urusi ila mmarekani kwa misifa sasa. Namkumbuka YURI GAGARIN na Teleshkova mwanamama wa kwanza kuizunguka Dunia.

Kiufupi naweza kwenda kuipigania urusi nikipata nafasi.
 
Marekani ilisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru

Nyerere_117322518_14.jfkwhp-kn-c18365.jpg


Nkurumah_117322520_11.jfkwhp-ar6409-b.jpg
Sekou Toure_117324329_a878c0c6-4c3d-440b-af6b-ec219ddc8605.jpg
 
Wengi wao waliosaidiwa na mrusi waligeuka kuwa madikteta wakubwa kuliko hata ukoloni wenyewe, baada ya nchi nyingi za kiafrica kupata Uhuru mpaka leo Kuna baadhi ya nchi viongozi wake waligeuka na kulewa madaraka kujinufaisha wao na familia zao
 
Wengi wao waliosaidiwa na mrusi waligeuka kuwa madikteta wakubwa kuliko hata ukoloni wenyewe, baada ya nchi nyingi za kiafrica kupata Uhuru mpaka leo Kuna baadhi ya nchi viongozi wake waligeuka na kulewa madaraka kujinufaisha wao na familia zao
Hayo ni makosa ya waliokombolewa na sio mkombozi.
 
Ukiangalia picha zote utagundua Ni Rais huyu mmoja wa America alikuwa wakipekee .Ndiomana walimtanguliza
Ni sisi wenyewe tulibadilika tukaanza kufuata mfumo wa China ambayo ilikuwa inafungamana na Urusi. Ndiyo maana hata viongozi wetu waliacha kuvaa suti na tai na kuanza kuvaa nguo kama Wachina.

Nyerere_Mao_f8bd5cc0dfabd5699896836c1bbced32.jpg


Nkurama_Mao_zedong.jpg


Kaunda_Mao_b3ba066b-6d8d-4987-b13d-5a9715fbe28a.jpeg
 
Nina sababu nyingi za kuipenda urusi sana tena sana. Hizi ni baadhi.
1. Urusi alisaidia sana Kwenye ukombozi wa bara la afrika wakati tukipigania uhuru. Wapiganaji wengi wa kuikomboa afrika walifundishwa na warusi.

2. Wakati mrusi anaisaidia afrika kujikomboa mmarekani alikumbatiana na watesi wa afrika.

3. Mmarekani alimuuwa Patrice Emir Lumumba rais wa kwanza mzalendo wa zaire. Mrusi akamheshimu Lumumba kwa kuanzisha chuo kikuu kikubwa sana kule urusi kilichoitwa Patrick lumumba university.

4. Mmarekani haaminiki anaweza kukusaliti muda wowote akiona opponent wako ana maslahi naye zaidi mrusi hayuko hivyo. Mfano hapa east africa ikitokea tukazinguana na kenya mmarekani ata side na kenya mrusi hana hulka hiyo atasuluhisha au atakaa kimya.

5. Mmarekani anapenda ushoga anatetea ushoga . Ukiona mwanajamiiforum anamtetea mmarekani ujue anaweza pia kutetea sera za ushoger.

6. Mrusi ni baba wa heavy machines duniani. Ukitaka kujua heavy machines ninini basi nenda urusi.

7.Mrusi hapendi kiki hapendi masifa. Imagine nchi ya kwanza kwenda anga za juu ni urusi ila mmarekani kwa misifa sasa. Namkumbuka YURI GAGARIN na Teleshkova mwanamama wa kwanza kuizunguka Dunia.

Kiufupi naweza kwenda kuipigania urusi nikipata nafasi.
I'm standing with Russia 🇷🇺, I'm standing with your side
 
Nina sababu nyingi za kuipenda urusi sana tena sana. Hizi ni baadhi.
1. Urusi alisaidia sana Kwenye ukombozi wa bara la afrika wakati tukipigania uhuru. Wapiganaji wengi wa kuikomboa afrika walifundishwa na warusi.

2. Wakati mrusi anaisaidia afrika kujikomboa mmarekani alikumbatiana na watesi wa afrika.

3. Mmarekani alimuuwa Patrice Emir Lumumba rais wa kwanza mzalendo wa zaire. Mrusi akamheshimu Lumumba kwa kuanzisha chuo kikuu kikubwa sana kule urusi kilichoitwa Patrick lumumba university.

4. Mmarekani haaminiki anaweza kukusaliti muda wowote akiona opponent wako ana maslahi naye zaidi mrusi hayuko hivyo. Mfano hapa east africa ikitokea tukazinguana na kenya mmarekani ata side na kenya mrusi hana hulka hiyo atasuluhisha au atakaa kimya.

5. Mmarekani anapenda ushoga anatetea ushoga . Ukiona mwanajamiiforum anamtetea mmarekani ujue anaweza pia kutetea sera za ushoger.

6. Mrusi ni baba wa heavy machines duniani. Ukitaka kujua heavy machines ninini basi nenda urusi.

7.Mrusi hapendi kiki hapendi masifa. Imagine nchi ya kwanza kwenda anga za juu ni urusi ila mmarekani kwa misifa sasa. Namkumbuka YURI GAGARIN na Teleshkova mwanamama wa kwanza kuizunguka Dunia.

Kiufupi naweza kwenda kuipigania urusi nikipata nafasi.
napenda alivyo kibuli mbele ya mafedhuli
 
6. Mrusi ni baba wa heavy machines duniani. Ukitaka kujua heavy machines ninini basi nenda urusi.

Hee Mkuu unasisitiza huu uzi usifutwe kwanini? unakijua lakini ulichokiandika na kinachoendelea kutokea? Russia ni taifa la propaganda kabisa hata mimi kabla nilikuwa naisikia Russia hivyo ulivyoisikia wewe na hilo neno Mrusi lilikuwa linatisha na kuhofisha sana kwenye masikio ya watu lakini kumbe ilikuwa ni hofu ya woga.

Kinachotokea kwenye hii vita na Ukraine nimekuja kuijuwa kumbe Russia ilipandishwa hadhi sana na Putini lakini na wafuasi wao kuliko uhalisia., Russia ilipoivamia Ukraine nilijua hardly itawacost siku 2 au 3 hivi kumaliza mchezo na kukamilisha malengo yao, wakaivamia ukraine na mabomu kila upande yakitokea lakini baada ya siku 30 sikuona malengo yao hata lengo 1 likiwa limetimia, zaidi niliona wamepoteza wanajeshi wao wengi sana kwenye hiyo waitayo operation kuuliwa na hatimae kurudi nyuma na kwenda kushikilia Donbas ambayo kabla walishapachika bendera zao. mpaka naandika hapa leo ni takriban siku 60 sijaona malengo yake yakitimia

Juzi Putini ameilalamikia Marekani kwamba isiisadie Ukaraine kwenye vita, nikaja kufahamu kumbe Russia atakuwa hana ubavu Marekani anapoamua kupigana naye na ndio mana amechukua muda wote huo na hana uhakika ni lini atafanikiwa.,

Natafakari kwamba Marekani pale Ukraine hakuingia fully, ni vile anakuwa anapeleka silaha zake chache chache tu lakini Russia imemcost muda mrefu sana sasa miezi miwili ana struggle napata jibu kwamba Urusi ilishamiri kwenye masikio ya watu tu lakini sivyo ilivyokuwa inapambiwa pambiwa. SWALI linakuja je NATO wangeingia fully huyu Putini angekuwa na hali gani???

Na juzi meli yake ya kivita ambayo Russia ikijivunia na waliitumia sana kwenye vita ya Syria ikaripuliwa na kuzamishwa nikasema kumbe Russia hawako salama kumbe ni visible sana lakini pia zile helkopta 2 zilizoenda kuripua ghala lao la mafuta mpakani na ukraine ambapo wakitumia kwa shughuli zao za kuweka mafuta nk, kwenye hiyo operation nikasema kumbe Russia ilipaishwa sana kumbe hata anga lao liko visible wameshindwa ata ku-control, kwa ufupi ni kwamba Russia inapigika iwe mchana au usiku.

Nimekuja kugundua kwamba kumbe Russia uchumi wake mkubwa ukitegemea ulaya na Marekani sasa baada ya vikwazo kumbe hana ubavu wa kujiendesha ni zile zile tu kelele za majigamo kwa wasiojua nini kinaendelea kule urusi.

Nimeona nijibu kwa ufupi hiyo no6. tu hayo mengine nimepuuzilia mbali naona hana mana
 
Back
Top Bottom