Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
RUSSO RUSSO RUSSO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atajulia wapi huyo pro🇷🇺🇷🇺 kiazi . hata speech ya kutaka kuikomboa Africa , akina Nyerere walienda kuitolea 🇺🇸🇺🇸 kwanini hawakwenda 🇷🇺🇷🇺.Marekani ilisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru
View attachment 2190382
View attachment 2190383View attachment 2190384
Great father 🇺🇸🇺🇸Great Mother Russia
Iko hivi wengi wa viongozi wa nchi hizi walisoma katika nchi za 🇺🇸🇺🇸, 🇬🇧🇬🇧, 🇱🇺🇱🇺🇩🇪🇩🇪 . walisoma na wakawa wasomi wazuri tu . Walipopata Uhuru cha ajabu wakaanza kushikamana na 🇷🇺🇷🇺 ili awanoe vizuri kivita . Baada ya hapo wakaiga na utawala wa 🇷🇺🇷🇺 wa kijamaa.Wengi wao waliosaidiwa na mrusi waligeuka kuwa madikteta wakubwa kuliko hata ukoloni wenyewe, baada ya nchi nyingi za kiafrica kupata Uhuru mpaka leo Kuna baadhi ya nchi viongozi wake waligeuka na kulewa madaraka kujinufaisha wao na familia zao
Bila picha wasingeaminiMarekani ilisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru
View attachment 2190382
View attachment 2190383View attachment 2190384
Alisikika akisema mnyamanyafu mmoja wa kiwira tukuyu.Hee Mkuu unasisitiza huu uzi usifutwe kwanini? unakijua lakini ulichokiandika na kinachoendelea kutokea? Russia ni taifa la propaganda kabisa hata mimi kabla nilikuwa naisikia Russia hivyo ulivyoisikia wewe na hilo neno Mrusi lilikuwa linatisha na kuhofisha sana kwenye masikio ya watu lakini kumbe ilikuwa ni hofu ya woga.
Kinachotokea kwenye hii vita na Ukraine nimekuja kuijuwa kumbe Russia ilipandishwa hadhi sana na Putini lakini na wafuasi wao kuliko uhalisia., Russia ilipoivamia Ukraine nilijua hardly itawacost siku 2 au 3 hivi kumaliza mchezo na kukamilisha malengo yao, wakaivamia ukraine na mabomu kila upande yakitokea lakini baada ya siku 30 sikuona malengo yao hata lengo 1 likiwa limetimia, zaidi niliona wamepoteza wanajeshi wao wengi sana kwenye hiyo waitayo operation kuuliwa na hatimae kurudi nyuma na kwenda kushikilia Donbas ambayo kabla walishapachika bendera zao. mpaka naandika hapa leo ni takriban siku 60 sijaona malengo yake yakitimia
Juzi Putini ameilalamikia Marekani kwamba isiisadie Ukaraine kwenye vita, nikaja kufahamu kumbe Russia atakuwa hana ubavu Marekani anapoamua kupigana naye na ndio mana amechukua muda wote huo na hana uhakika ni lini atafanikiwa.,
Natafakari kwamba Marekani pale Ukraine hakuingia fully, ni vile anakuwa anapeleka silaha zake chache chache tu lakini Russia imemcost muda mrefu sana sasa miezi miwili ana struggle napata jibu kwamba Urusi ilishamiri kwenye masikio ya watu tu lakini sivyo ilivyokuwa inapambiwa pambiwa. SWALI linakuja je NATO wangeingia fully huyu Putini angekuwa na hali gani???
Na juzi meli yake ya kivita ambayo Russia ikijivunia na waliitumia sana kwenye vita ya Syria ikaripuliwa na kuzamishwa nikasema kumbe Russia hawako salama kumbe ni visible sana lakini pia zile helkopta 2 zilizoenda kuripua ghala lao la mafuta mpakani na ukraine ambapo wakitumia kwa shughuli zao za kuweka mafuta nk, kwenye hiyo operation nikasema kumbe Russia ilipaishwa sana kumbe hata anga lao liko visible wameshindwa ata ku-control, kwa ufupi ni kwamba Russia inapigika iwe mchana au usiku.
Nimekuja kugundua kwamba kumbe Russia uchumi wake mkubwa ukitegemea ulaya na Marekani sasa baada ya vikwazo kumbe hana ubavu wa kujiendesha ni zile zile tu kelele za majigamo kwa wasiojua nini kinaendelea kule urusi.
Nimeona nijibu kwa ufupi hiyo no6. tu hayo mengine nimepuuzilia mbali naona hana mana
Ilifanya hivyo kwasababu ya ujasusi wa kiuchumi. Walijua Makoloni ya Ulaya yakiondolewa utawala, Marekani itapata kuingia moja kwa moja Africa kupata malighafi ya viwanda vyao.Marekani ilisaidia nchi nyingi za Afrika kupata uhuru
View attachment 2190382
View attachment 2190383View attachment 2190384
Hebu jaza neno namba 6 sijakuelewa.Nina sababu nyingi za kuipenda urusi sana tena sana. Hizi ni baadhi.
1. Urusi alisaidia sana Kwenye ukombozi wa bara la afrika wakati tukipigania uhuru. Wapiganaji wengi wa kuikomboa afrika walifundishwa na warusi.
2. Wakati mrusi anaisaidia afrika kujikomboa mmarekani alikumbatiana na watesi wa afrika.
3. Mmarekani alimuuwa Patrice Emir Lumumba rais wa kwanza mzalendo wa zaire. Mrusi akamheshimu Lumumba kwa kuanzisha chuo kikuu kikubwa sana kule urusi kilichoitwa Patrick lumumba university.
4. Mmarekani haaminiki anaweza kukusaliti muda wowote akiona opponent wako ana maslahi naye zaidi mrusi hayuko hivyo. Mfano hapa east africa ikitokea tukazinguana na kenya mmarekani ata side na kenya mrusi hana hulka hiyo atasuluhisha au atakaa kimya.
5. Mmarekani anapenda ushoga anatetea ushoga . Ukiona mwanajamiiforum anamtetea mmarekani ujue anaweza pia kutetea sera za ushoger.
6. Mrusi ni baba wa heavy machines duniani. Ukitaka kujua heavy machines ninini basi nenda urusi.
7.Mrusi hapendi kiki hapendi masifa. Imagine nchi ya kwanza kwenda anga za juu ni urusi ila mmarekani kwa misifa sasa. Namkumbuka YURI GAGARIN na Teleshkova mwanamama wa kwanza kuizunguka Dunia.
Kiufupi naweza kwenda kuipigania urusi nikipata nafasi.
Mpaka sasa US ameshatumia 1/4ya silaha zake, kuzipeleka kule Ukraine , sasa anawalazimisha watu wenye viwanda kuongeza uzalishaji maana hata yeye anahitaji silaha, hapo bado UK na wengine, hii ndio Nguvu ya Urusi shehena za silaha na wataalamu wanapishana Ukraine pale kuokoa jahazi, halafu wewe unaandika vitu kama umetoka usingizini vileHee Mkuu unasisitiza huu uzi usifutwe kwanini? unakijua lakini ulichokiandika na kinachoendelea kutokea? Russia ni taifa la propaganda kabisa hata mimi kabla nilikuwa naisikia Russia hivyo ulivyoisikia wewe na hilo neno Mrusi lilikuwa linatisha na kuhofisha sana kwenye masikio ya watu lakini kumbe ilikuwa ni hofu ya woga.
Kinachotokea kwenye hii vita na Ukraine nimekuja kuijuwa kumbe Russia ilipandishwa hadhi sana na Putini lakini na wafuasi wao kuliko uhalisia., Russia ilipoivamia Ukraine nilijua hardly itawacost siku 2 au 3 hivi kumaliza mchezo na kukamilisha malengo yao, wakaivamia ukraine na mabomu kila upande yakitokea lakini baada ya siku 30 sikuona malengo yao hata lengo 1 likiwa limetimia, zaidi niliona wamepoteza wanajeshi wao wengi sana kwenye hiyo waitayo operation kuuliwa na hatimae kurudi nyuma na kwenda kushikilia Donbas ambayo kabla walishapachika bendera zao. mpaka naandika hapa leo ni takriban siku 60 sijaona malengo yake yakitimia
Juzi Putini ameilalamikia Marekani kwamba isiisadie Ukaraine kwenye vita, nikaja kufahamu kumbe Russia atakuwa hana ubavu Marekani anapoamua kupigana naye na ndio mana amechukua muda wote huo na hana uhakika ni lini atafanikiwa.,
Natafakari kwamba Marekani pale Ukraine hakuingia fully, ni vile anakuwa anapeleka silaha zake chache chache tu lakini Russia imemcost muda mrefu sana sasa miezi miwili ana struggle napata jibu kwamba Urusi ilishamiri kwenye masikio ya watu tu lakini sivyo ilivyokuwa inapambiwa pambiwa. SWALI linakuja je NATO wangeingia fully huyu Putini angekuwa na hali gani???
Na juzi meli yake ya kivita ambayo Russia ikijivunia na waliitumia sana kwenye vita ya Syria ikaripuliwa na kuzamishwa nikasema kumbe Russia hawako salama kumbe ni visible sana lakini pia zile helkopta 2 zilizoenda kuripua ghala lao la mafuta mpakani na ukraine ambapo wakitumia kwa shughuli zao za kuweka mafuta nk, kwenye hiyo operation nikasema kumbe Russia ilipaishwa sana kumbe hata anga lao liko visible wameshindwa ata ku-control, kwa ufupi ni kwamba Russia inapigika iwe mchana au usiku.
Nimekuja kugundua kwamba kumbe Russia uchumi wake mkubwa ukitegemea ulaya na Marekani sasa baada ya vikwazo kumbe hana ubavu wa kujiendesha ni zile zile tu kelele za majigamo kwa wasiojua nini kinaendelea kule urusi.
Nimeona nijibu kwa ufupi hiyo no6. tu hayo mengine nimepuuzilia mbali naona hana mana
Siamini kama ichi ulichokiandika umekirudia kusoma japo mara 1 tena., sasa kama marekani ana 1/4 silaha zake zilizobaki kwanini jana Putini ameomba poo kwa marekani kuisaidia ukraine silaha na kutishia atapiga nuclear? Lakini kama russia ana shehena za silaha kwanini sasa imeingia siku ya 60 hajakamilisha lengo lake hata 1???Mpaka sasa US ameshatumia 1/4ya silaha zake, kuzipeleka kule Ukraine , sasa anawalazimisha watu wenye viwanda kuongeza uzalishaji maana hata yeye anahitaji silaha, hapo bado UK na wengine, hii ndio Nguvu ya Urusi shehena za silaha na wataalamu wanapishana Ukraine pale kuokoa jahazi, halafu wewe unaandika vitu kama umetoka usingizini vile
Putin kaomba poo lini? ametoa tahadhari ili badae wasije anza kulia lia kama desturi yao, Russia yuko imara silaha na wataalamu wanamiminika kila siku kutoka West, US tayari. 1/4 ya silaha zake imeshatumika , kwa kukutaarifú tu wanaopigana sio Ukraine peke yao nafikiri wale wa Uingereza pale Mariupol umewaona maana kwasasa ni mateka wa kivita wa UrusiSiamini kama ichi ulichokiandika umekirudia kusoma japo mara 1 tena., sasa kama marekani ana 1/4 silaha zake zilizobaki kwanini jana Putini ameomba poo kwa marekani kuisaidia ukraine silaha na kutishia atapiga nuclear? Lakini kama russia ana shehena za silaha kwanini sasa imeingia siku ya 60 hajakamilisha lengo lake hata 1???
Emu rudi nyuma jiulize Russia walishindwa nn Kyiv na kurud Donbas? shehena na silaha zilikuwa wapi? Zelensky anadunda Kyiv muda wote lakini European Union waliingia Kyiv wakajaza mafomu yale naona Putin hakurusha ata jiwe
Laaaaa!!!PUTIN POPOTE ULIPO OMBA CHOCHOT NIKUPATIE
Mwanaume unamuambia mwanaume mwenzako aombe chochote.PUTIN POPOTE ULIPO OMBA CHOCHOT NIKUPATIE