Naipenda Urusi mpaka naumwa

Naipenda Urusi mpaka naumwa

Putin kaomba poo lini? ametoa tahadhari ili badae wasije anza kulia lia kama desturi yao, Russia yuko imara silaha na wataalamu wanamiminika kila siku kutoka West, US tayari. 1/4 ya silaha zake imeshatumika , kwa kukutaarifú tu wanaopigana sio Ukraine peke yao nafikiri wale wa Uingereza pale Mariupol umewaona maana kwasasa ni mateka wa kivita wa Urusi
Putini anatoa tahadhari mara ngapi kwa siku?? Alitoa tahadhari akiwa Kyiv kwamba majeshi ya Ukraine waeke siala chini ukranie hawakuweka chochote, badala yake yeye ndio katimua zake kurudi Donbas, Jana katoa tena tahadhari tena na masaa kuhusu Muriopol jeshi la Ukraine liweke silaha chini hivi ninavyoandika kajibiwa hatuweki chochote kama mwanamme sogea na hajafanya lolote, Alitoa tahadhari kwa Finland na Sweden wasijaribu kujiunga NATO sasa rasmi Finland na Sweden wako mezani kujiunga na NATO, Alitoa tahadhari Marekani na nchi za Ulaya zisiisadie Ukraine na kwamba wakijaribu wataona cha Mtema Kuni., sasa Juzi Waingereza wameizamisha meli yake na kuiripulia mbali NINI KAFANYA??

Putini sasaiv ni mtu mwenye Stress sanaa., yasemekana jamaa hana plan za vita wala hajuwi chochote, alichojua ni kuwapelekea wanajeshi wake vitani na kufa tu kama kumbikumbi,
 
Putini anatoa tahadhari mara ngapi kwa siku?? Alitoa tahadhari akiwa Kyiv kwamba majeshi ya Ukraine waeke siala chini ukranie hawakuweka chochote, badala yake yeye ndio katimua zake kurudi Donbas, Jana katoa tena tahadhari tena na masaa kuhusu Muriopol jeshi la Ukraine liweke silaha chini hivi ninavyoandika kajibiwa hatuweki chochote kama mwanamme sogea na hajafanya lolote, Alitoa tahadhari kwa Finland na Sweden wasijaribu kujiunga NATO sasa rasmi Finland na Sweden wako mezani kujiunga na NATO, Alitoa tahadhari Marekani na nchi za Ulaya zisiisadie Ukraine na kwamba wakijaribu wataona cha Mtema Kuni., sasa Juzi Waingereza wameizamisha meli yake na kuiripulia mbali NINI KAFANYA??

Putini sasaiv ni mtu mwenye Stress sanaa., yasemekana jamaa hana plan za vita wala hajuwi chochote, alichojua ni kuwapelekea wanajeshi wake vitani na kufa tu kama kumbikumbi,
Alie na stress ni Zelensky na umoja wa ulaya sio Putin, huku kwa Putin kazi inaendelea kila siku watu wa West wanatoa tahadhari kwa Ukraine , mara Easter war maneno kibao na vilio kibao
 
Alie na stress ni Zelensky na umoja wa ulaya sio Putin, huku kwa Putin kazi inaendelea kila siku watu wa West wanatoa tahadhari kwa Ukraine , mara Easter war maneno kibao na vilio kibao
Umoja wa ulaya wako busy kuiunga Ukrean uwanachama lakini Sweden na Finland mbioni kujiunga NATO, putin a big looser!
 
Nina sababu nyingi za kuipenda urusi sana tena sana. Hizi ni baadhi.
1. Urusi alisaidia sana Kwenye ukombozi wa bara la afrika wakati tukipigania uhuru. Wapiganaji wengi wa kuikomboa afrika walifundishwa na warusi.

2. Wakati mrusi anaisaidia afrika kujikomboa mmarekani alikumbatiana na watesi wa afrika.

3. Mmarekani alimuuwa Patrice Emir Lumumba rais wa kwanza mzalendo wa zaire. Mrusi akamheshimu Lumumba kwa kuanzisha chuo kikuu kikubwa sana kule urusi kilichoitwa Patrick lumumba university.

4. Mmarekani haaminiki anaweza kukusaliti muda wowote akiona opponent wako ana maslahi naye zaidi mrusi hayuko hivyo. Mfano hapa east africa ikitokea tukazinguana na kenya mmarekani ata side na kenya mrusi hana hulka hiyo atasuluhisha au atakaa kimya.

5. Mmarekani anapenda ushoga anatetea ushoga . Ukiona mwanajamiiforum anamtetea mmarekani ujue anaweza pia kutetea sera za ushoger.

6. Mrusi ni baba wa heavy machines duniani. Ukitaka kujua heavy machines ninini basi nenda urusi.

7.Mrusi hapendi kiki hapendi masifa. Imagine nchi ya kwanza kwenda anga za juu ni urusi ila mmarekani kwa misifa sasa. Namkumbuka YURI GAGARIN na Teleshkova mwanamama wa kwanza kuizunguka Dunia.

Kiufupi naweza kwenda kuipigania urusi nikipata nafasi.
Ndo uwape na Ma**ko upendo ukolee vizur [emoji57]
 
Nina sababu nyingi za kuipenda urusi sana tena sana. Hizi ni baadhi.
1. Urusi alisaidia sana Kwenye ukombozi wa bara la afrika wakati tukipigania uhuru. Wapiganaji wengi wa kuikomboa afrika walifundishwa na warusi.

2. Wakati mrusi anaisaidia afrika kujikomboa mmarekani alikumbatiana na watesi wa afrika.

3. Mmarekani alimuuwa Patrice Emir Lumumba rais wa kwanza mzalendo wa zaire. Mrusi akamheshimu Lumumba kwa kuanzisha chuo kikuu kikubwa sana kule urusi kilichoitwa Patrick lumumba university.

4. Mmarekani haaminiki anaweza kukusaliti muda wowote akiona opponent wako ana maslahi naye zaidi mrusi hayuko hivyo. Mfano hapa east africa ikitokea tukazinguana na kenya mmarekani ata side na kenya mrusi hana hulka hiyo atasuluhisha au atakaa kimya.

5. Mmarekani anapenda ushoga anatetea ushoga . Ukiona mwanajamiiforum anamtetea mmarekani ujue anaweza pia kutetea sera za ushoger.

6. Mrusi ni baba wa heavy machines duniani. Ukitaka kujua heavy machines ninini basi nenda urusi.

7.Mrusi hapendi kiki hapendi masifa. Imagine nchi ya kwanza kwenda anga za juu ni urusi ila mmarekani kwa misifa sasa. Namkumbuka YURI GAGARIN na Teleshkova mwanamama wa kwanza kuizunguka Dunia.

Kiufupi naweza kwenda kuipigania urusi nikipata nafasi.
Tambua sasa hivi wanakusaidia ni Nani
1.vyandarua
2.madawa.
3.condom
4.mikopo na misaada
5.hata filamu inazinduliwa kwao
 
Sidhani kama unachangia kwenye uzi huu. Umeanza kueleza 'unachoamini kinatokea Ukraine'
Hee Mkuu unasisitiza huu uzi usifutwe kwanini? unakijua lakini ulichokiandika na kinachoendelea kutokea? Russia ni taifa la propaganda kabisa hata mimi kabla nilikuwa naisikia Russia hivyo ulivyoisikia wewe na hilo neno Mrusi lilikuwa linatisha na kuhofisha sana kwenye masikio ya watu lakini kumbe ilikuwa ni hofu ya woga.

Kinachotokea kwenye hii vita na Ukraine nimekuja kuijuwa kumbe Russia ilipandishwa hadhi sana na Putini lakini na wafuasi wao kuliko uhalisia., Russia ilipoivamia Ukraine nilijua hardly itawacost siku 2 au 3 hivi kumaliza mchezo na kukamilisha malengo yao, wakaivamia ukraine na mabomu kila upande yakitokea lakini baada ya siku 30 sikuona malengo yao hata lengo 1 likiwa limetimia, zaidi niliona wamepoteza wanajeshi wao wengi sana kwenye hiyo waitayo operation kuuliwa na hatimae kurudi nyuma na kwenda kushikilia Donbas ambayo kabla walishapachika bendera zao. mpaka naandika hapa leo ni takriban siku 60 sijaona malengo yake yakitimia

Juzi Putini ameilalamikia Marekani kwamba isiisadie Ukaraine kwenye vita, nikaja kufahamu kumbe Russia atakuwa hana ubavu Marekani anapoamua kupigana naye na ndio mana amechukua muda wote huo na hana uhakika ni lini atafanikiwa.,

Natafakari kwamba Marekani pale Ukraine hakuingia fully, ni vile anakuwa anapeleka silaha zake chache chache tu lakini Russia imemcost muda mrefu sana sasa miezi miwili ana struggle napata jibu kwamba Urusi ilishamiri kwenye masikio ya watu tu lakini sivyo ilivyokuwa inapambiwa pambiwa. SWALI linakuja je NATO wangeingia fully huyu Putini angekuwa na hali gani???

Na juzi meli yake ya kivita ambayo Russia ikijivunia na waliitumia sana kwenye vita ya Syria ikaripuliwa na kuzamishwa nikasema kumbe Russia hawako salama kumbe ni visible sana lakini pia zile helkopta 2 zilizoenda kuripua ghala lao la mafuta mpakani na ukraine ambapo wakitumia kwa shughuli zao za kuweka mafuta nk, kwenye hiyo operation nikasema kumbe Russia ilipaishwa sana kumbe hata anga lao liko visible wameshindwa ata ku-control, kwa ufupi ni kwamba Russia inapigika iwe mchana au usiku.

Nimekuja kugundua kwamba kumbe Russia uchumi wake mkubwa ukitegemea ulaya na Marekani sasa baada ya vikwazo kumbe hana ubavu wa kujiendesha ni zile zile tu kelele za majigamo kwa wasiojua nini kinaendelea kule urusi.

Nimeona nijibu kwa ufupi hiyo no6. tu hayo mengine nimepuuzilia mbali naona hana mana
 
IMG_3456.jpg
 
Umoja wa ulaya wako busy kuiunga Ukrean uwanachama lakini Sweden na Finland mbioni kujiunga NATO, putin a big looser!
Sisi tuna ugomvi na NATO kama wanataka kuwa magofu kama Ukraine wathubutu waone, kutaka ni moja na kujiunga ni mbili, sisi kama Urusi tunataka hii ya pili
 
Sisi tuna ugomvi na NATO kama wanataka kuwa magofu kama Ukraine wathubutu waone, kutaka ni moja na kujiunga ni mbili, sisi kama Urusi tunataka hii ya pili
Ona huyu Maskini wa kutupwa mrussi wa Shelui,jenga kwanza kibanda chako chs kujihifadhi kabla hujaanza kusikitikia walio kuzidi maisha mara 1000
 
Afganistan Taliban walikuwa wamapewa silaha na warusi na mwisho wa siku Marekani kanyosha mikono juu mwendo wa mateka.sasa unasemaje kwa ilo?.Assad mpaka leo anakula kiyoyozi
Hee Mkuu unasisitiza huu uzi usifutwe kwanini? unakijua lakini ulichokiandika na kinachoendelea kutokea? Russia ni taifa la propaganda kabisa hata mimi kabla nilikuwa naisikia Russia hivyo ulivyoisikia wewe na hilo neno Mrusi lilikuwa linatisha na kuhofisha sana kwenye masikio ya watu lakini kumbe ilikuwa ni hofu ya woga.

Kinachotokea kwenye hii vita na Ukraine nimekuja kuijuwa kumbe Russia ilipandishwa hadhi sana na Putini lakini na wafuasi wao kuliko uhalisia., Russia ilipoivamia Ukraine nilijua hardly itawacost siku 2 au 3 hivi kumaliza mchezo na kukamilisha malengo yao, wakaivamia ukraine na mabomu kila upande yakitokea lakini baada ya siku 30 sikuona malengo yao hata lengo 1 likiwa limetimia, zaidi niliona wamepoteza wanajeshi wao wengi sana kwenye hiyo waitayo operation kuuliwa na hatimae kurudi nyuma na kwenda kushikilia Donbas ambayo kabla walishapachika bendera zao. mpaka naandika hapa leo ni takriban siku 60 sijaona malengo yake yakitimia

Juzi Putini ameilalamikia Marekani kwamba isiisadie Ukaraine kwenye vita, nikaja kufahamu kumbe Russia atakuwa hana ubavu Marekani anapoamua kupigana naye na ndio mana amechukua muda wote huo na hana uhakika ni lini atafanikiwa.,

Natafakari kwamba Marekani pale Ukraine hakuingia fully, ni vile anakuwa anapeleka silaha zake chache chache tu lakini Russia imemcost muda mrefu sana sasa miezi miwili ana struggle napata jibu kwamba Urusi ilishamiri kwenye masikio ya watu tu lakini sivyo ilivyokuwa inapambiwa pambiwa. SWALI linakuja je NATO wangeingia fully huyu Putini angekuwa na hali gani???

Na juzi meli yake ya kivita ambayo Russia ikijivunia na waliitumia sana kwenye vita ya Syria ikaripuliwa na kuzamishwa nikasema kumbe Russia hawako salama kumbe ni visible sana lakini pia zile helkopta 2 zilizoenda kuripua ghala lao la mafuta mpakani na ukraine ambapo wakitumia kwa shughuli zao za kuweka mafuta nk, kwenye hiyo operation nikasema kumbe Russia ilipaishwa sana kumbe hata anga lao liko visible wameshindwa ata ku-control, kwa ufupi ni kwamba Russia inapigika iwe mchana au usiku.

Nimekuja kugundua kwamba kumbe Russia uchumi wake mkubwa ukitegemea ulaya na Marekani sasa baada ya vikwazo kumbe hana ubavu wa kujiendesha ni zile zile tu kelele za majigamo kwa wasiojua nini kinaendelea kule urusi.

Nimeona nijibu kwa ufupi hiyo no6. tu hayo mengine nimepuuzilia mbali naona hana mana
 
Niambie Urusi aloshirikiana kwenye nini ma Hitler kama sio kuwachafua warusi
Urusi ilimuua Samoa Mashelle wakishirikiana na Makabulu walipoitungua Ndege yake.

Urusi alitiishia Kuivamia China baada ya kuona China ana ujamaa tofauti na wake ambao ukawa inspired kwa nchi nyingi akilekebisha katiba yake kujipa uhalali wa kuvamia nchi yoyote itakayonekana inafuata ujamaa lakini sio kama wa Lenin


Urusi alikuwa na mkataba wa Siri na Hitler wa kugawana Ulaya Mashariki tuseme ndio muasisi wa vita ya pili ya Dunia na msharika wa kwanza wa Hitler kabla hajageukwa na kuamua kujiunga na London na Washington kwenye mapambano

Urusi ndio mtu wa kwanza kusaidia Kutengeneza jeshi la Israel pamoja na jeshi la anga la Israel nchini Yugoslavia 1940's lilipojitangazia Uhuru na kufuatisha utaifa wao kama Wayahudi na sio wajamaa. Akageuka na kuanza mashambulizi ya kulihujumu

Urusi ndio taifa pekee ambalo limekuwa na Tabia kushambulia Hadi washirika wake au kuwahujumu walio ndani ya muungano wao awali wa Warsaw Pact mfano Czechoslovakia

Kifupi Rafiki wa kweli alikuwa CHINA wa zama hizo pamoja na CUBA mpaka leo anasalia hivyo

RUSSIA sio rafiki wa Africa ni mwana masirahi
 
Ona huyu Maskini wa kutupwa mrussi wa Shelui,jenga kwanza kibanda chako chs kujihifadhi kabla hujaanza kusikitikia walio kuzidi maisha mara 1000
Mimi kwasasa nimewazidi wengi pale Ukraini maana wengi hata kula yao hawajui , kwahiyo Ukraini kuna masikini wa kutupwa wengi tuuu, usikariri viva Putin
 
Afganistan Taliban walikuwa wamapewa silaha na warusi na mwisho wa siku Marekani kanyosha mikono juu mwendo wa mateka.sasa unasemaje kwa ilo?.Assad mpaka leo anakula kiyoyozi
Vita ya usoviet na afghanistan Dec 24, 1979 – Feb 15, 1989 Afghanistan mujahedeen walipewa silaha na mafunzo marekani kupambana na majeshi ya usovieti (USSR). Mwisho wa Siku USSR walitoka nduki baada ya kupigo kitakatifu. Moja ya mashujaa wa vita hiyo ni shaheed Osama bin Laden.
 
Mwanaume unamuambia mwanaume mwenzako aombe chochote.

Astaghafirullah

Sent using Jamii Forums mobile app
KWA AKILI ZAKO ZILIVYO MBOVU UNADHANI LEVEL NA AKILI YA PUTIN ANAWAZA MAVI KAMA WEWE? MIMI NIMESEMA AOMBE CHOCHOTE SASA WEWE KWAKUWA UNAWAZA UHARO NA USHUZI NDIKO AKILI ZAKO ZILIKOGOTA, NIKUKUMBUSHE TU KULE LINDI KAMA SIYO NTWARA KUNA MZEE ALIMPA MZEE WA BURIGI JOGOO NA BILA KUPEPESA MACHO MZEE WA BURIGI AKAMWAMBIA MLETA JOGOO KWAMBA ANAWEZA MUOA MAMA MZAZI WA MZEE WA BURIGI (R.I.P) SASA KAMA RAIS ALISEMA HIVYO MIMI NI NANI MBELE YA PUTIN? KUNA MENGI SANA YA KUMPA PUTIN ILA WEWE KWAKUWA UMEATHIRIWA NA WALE WAZEE WA MADEVU MAREFU HUNA JEMA UWAZAO ZAIDI YA KINYESI HUNA ADABU
 
Afganistan Taliban walikuwa wamapewa silaha na warusi na mwisho wa siku Marekani kanyosha mikono juu mwendo wa mateka.sasa unasemaje kwa ilo?.Assad mpaka leo anakula kiyoyozi
Amueke Assad mwengine bas Kyiv
 
CCM pitieni ujumbe huu unawahusu
Wengi wao waliosaidiwa na mrusi waligeuka kuwa madikteta wakubwa kuliko hata ukoloni wenyewe, baada ya nchi nyingi za kiafrica kupata Uhuru mpaka leo Kuna baadhi ya nchi viongozi wake waligeuka na kulewa madaraka kujinufaisha wao na familia zao
 
Back
Top Bottom