Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumetokea malalamiko kutoka kwa wapinzani wa yanga kwamba ina bebwa na marefa na TFF, haya malalamiko sio sahihi kwani usajili wa yanga kwa aina ya wachezaji iliopata ni wazuri wanafanya timu iweze kupata matokeo
Kwahyo kusajili wachezaji wazuri ndio kutokubebwa??poor you