Naipongeza Argentina ya Lionel Messi kwa kufikia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

Naipongeza Argentina ya Lionel Messi kwa kufikia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

ndio maana nakwambia hujui mpira
mpira umebadilika sana sio kama unavyofikiria
Kama haujui mimi ni shabiki wa Messi sana
ila ili uchukue ubìngwa unahitaji akina de paul wengi kuliko akina di maria na lautaro
watu wataokimbia dk 90 bila kuchoka bila kutegea
hao wabrazili wakikutana na timu iliyosetiwa vizuri hawatoki jino moja
kama uliwaona uswizi ilibidi watu wokoe jahazi kutoka nyuma
mchezaji bora kwa argentina muda huu ni de paul
Kijana wangu naomba ukiona wachambuzi tunapoandika uwe unasoma kwa utulivu badala ya kutoa matamko mepesi. Argentina ndio mabingwa wa kombe la dunia mwaka 2022
 
Mshindi wa KOMBE la dunia mwaka huu anaweza kuwa suprise watu ....

Croatia Mimi nawatakia lililojema
 
Kizingiti kimoja kwa Argentina kimeondoka nacho ni Brazil hata Messi alikiri hilo..so kwa sasa imebaki France...kila la heri
 
Coach wetu (Scalloni) anauwalakin kwenye kufanya sub kabisa, game ya jana zile sub za Acuńa,De Paul na Álvarez.

Ndiyo zilichange game kabisa, ilikuwa shughuli imalizike 90.

Pia hata ile game Ausi, sub zake zilizingua dkk za mwisho.

All in all, tumepita kibingwa.

VAMOOOSSS ARGENTINA!![emoji1033][emoji1033][emoji1033]

Leo is my Goat🤍[emoji171]

[emoji238]….
 
Back
Top Bottom