Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Mimi nilipe kodi wao hawalipi na wanafuja hii ninayolipa mimi.Ipende Nchi yako na kuwa mzalendo kwa kulipa Kodi kwa maendeleo ya Nchi.
Unaweza kuthibitisha hili?Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?
Nimepiga hesabu za haraka haraka, na kugundua kwamba makampuni ya Bima hukusanya wastani wa Trilioni 3.5 kila mwaka kama malipo ya bima za aina mbali mbali, na pia malipo kwa ajili ya bima (hasa hasa kwa wahindi wanaochoma moto viwanda vyao kwa makusudi) kwa mwaka huwa hayazidi bilioni 100, na...www.jamiiforums.com
Matrillion hayo hapo yamchotwa na 👆🏽 Mabeberu
Kudhibitisha nini?Unaweza kuthibitisha hili?
Wewew ni ndizi mzuzu kabisa ........wanasema malipo ya serikali bure lakini kuna Ada .....SASA sijui hiyo Ada ajalipa Nani mpaka niwekewe Mimi......bado Tu unataka niipende serikali,nyumba yangu nimejenga Kwa akili zangu useme serikali inataka Kodi kwenye vyumba vya kupangisha HUO ni wazimu mkubwa kama haziwatoshi za tozo kwenye Kira muamala basi wakasuuzwe na mabepari hukoIpende Nchi yako na kuwa mzalendo kwa kulipa Kodi kwa maendeleo ya Nchi.
Kinachotakiwa hapo ni ka percentage kadogo ili uchongewe barabara, usogezewe nguzo ya umeme na huduma ya maji, hapo ulipo idadi yenu baada ya kuhesabiwa ikifikia watu 750 mtahitaji zahanati, shule na mengine mengi tu.Wewew ni ndizi mzuzu kabisa ........wanasema malipo ya serikali bure lakini kuna Ada .....SASA sijui hiyo Ada ajalipa Nani mpaka niwekewe Mimi......bado Tu unataka niipende serikali,nyumba yangu nimejenga Kwa akili zangu useme serikali inataka Kodi kwenye vyumba vya kupangisha HUO ni wazimu mkubwa kama haziwatoshi za tozo kwenye Kira muamala basi wakasuuzwe na mabepari huko
Mnawakusanyia wanasiasa tu ilhali wananchi wanazidi kuwa fukara!Nipende kuipongeza serekali yetu tukufu kwa kubuni kodi ya upangishaji hasa hasa ikiwalenga wenye majengo ya kimakazi au ya kibiashara hakika hapa kulikuwa na fedha nyingi mno zilizokuwa zinapotea na kulikosesha taifa letu mapato stahili na halali. Ispokuwa ombi langu ni kwamba ingelipaswa kutangulia sensa ya nyumba hizi zikajulikana waziwazi, zikaingizwa kwenye database ya serekali yetu, ikafahamika nyumba fulani inavyumba vitano vya upangishaji na kila chumba hupangishwa kwa 50,000/- hivyo kwa mwezi nyumba hii huingiza 300,000/- hivyo kwa mwaka nyumba hii inaingiZa 3,600,000/-.
Hivyo serekali kuwa na fixed amount ambayo nyumba fulani iliyopo mtaa fulani, nambari fulani, kwa mwaka huu itapaswa kulipa kiasi kadhaa. Unless mwenye nyumba awe amekwenda kuripoti mabadiliko ya kimatumizi ya jengo husika. Lengo la uzi huu ni kupongeza na kushauri jinsi gani serekali yetu tukufu ianze zoezi hili kwa kutanguliza uwepo wa DATABASE ya majengo yote ya kiupangaji na kibiashara. Tumechelewa, tuanze sasa kwa manufaa ya taifa letu.
TAREHE 23 AUG NI SIKU YA SENSA KWA TAIFA LETU TUJITOKEZE KUHESABIWA.
Hii Kodi ni mpya? Ni tofauti na Kodi ya ZUIO ambayo ni 10% ya gharama ya pango?
Kinachobakia hapo ni ka percentage kadogo ili uchongewe barabara, usogezewe nguzo ya umeme na huduma ya maji, hapo ulipo idadi yenu baada ya kuhesabiwa ikifikia watu 750 mtahitaji zahanati, shule na mengine mengi tuWewew ni ndizi mzuzu kabisa ........wanasema malipo ya serikali bure lakini kuna Ada .....SASA sijui hiyo Ada ajalipa Nani mpaka niwekewe Mimi......bado Tu unataka niipende serikali,nyumba yangu nimejenga Kwa akili zangu useme serikali inataka Kodi kwenye vyumba vya kupangisha HUO ni wazimu mkubwa kama haziwatoshi za tozo kwenye Kira muamala basi wakasuuzwe na mabepari huko
Nakubaliana name kwa 100%.But we should also note that overtaxing economy is a very counterproductive economy. If all incomes are taken from consumers, disposable income will be ruined and people may not consume to a standard level. Consequently, production will go down, retrenchments will be everywhere and the economy will run in recession. Only IMF will come to rescue the situation with a huge burden to the public. My take, taxing shall go in hand with profits, particularly, that earned through production.
Ndugu yangu jino la mamba wewe ni mzalendo ila nauliza mfano mimi nina hostel mbili lakini hakuna wanafunzi kabisa huu mwaka wa pili kwa hiyo niwe nalipa kwenye hamna .Nipende kuipongeza serekali yetu tukufu kwa kubuni kodi ya upangishaji hasa hasa ikiwalenga wenye majengo ya kimakazi au ya kibiashara hakika hapa kulikuwa na fedha nyingi mno zilizokuwa zinapotea na kulikosesha taifa letu mapato stahili na halali.
Ispokuwa ombi langu ni kwamba ingelipaswa kutangulia sensa ya nyumba hizi zikajulikana waziwazi, zikaingizwa kwenye database ya serekali yetu, ikafahamika nyumba fulani inavyumba vitano vya upangishaji na kila chumba hupangishwa kwa 50,000/- hivyo kwa mwezi nyumba hii huingiza 300,000/- hivyo kwa mwaka nyumba hii inaingiZa 3,600,000/-.
Hivyo serekali kuwa na fixed amount ambayo nyumba fulani iliyopo mtaa fulani, nambari fulani, kwa mwaka huu itapaswa kulipa kiasi kadhaa. Unless mwenye nyumba awe amekwenda kuripoti mabadiliko ya kimatumizi ya jengo husika.
Lengo la uzi huu ni kupongeza na kushauri jinsi gani serekali yetu tukufu ianze zoezi hili kwa kutanguliza uwepo wa DATABASE ya majengo yote ya kiupangaji na kibiashara.
Tumechelewa, tuanze sasa kwa manufaa ya taifa letu.
TAREHE 23 AUG NI SIKU YA SENSA KWA TAIFA LETU TUJITOKEZE KUHESABIWA.
Ili serikali iwezw kujiendesha na kutimiza wajibu wake lazima ulipe Kodi na tozo mbalimbali kwa mujibu wa sheria sasa hiyo unayotaka bure nani akupe Cha Bure wakati ni wajibu wa wewe kufanya Kazi na sehemu ya mapato yako yaende serikalini.Wewew ni ndizi mzuzu kabisa ........wanasema malipo ya serikali bure lakini kuna Ada .....SASA sijui hiyo Ada ajalipa Nani mpaka niwekewe Mimi......bado Tu unataka niipende serikali,nyumba yangu nimejenga Kwa akili zangu useme serikali inataka Kodi kwenye vyumba vya kupangisha HUO ni wazimu mkubwa kama haziwatoshi za tozo kwenye Kira muamala basi wakasuuzwe na mabepari huko
Kwa nini wasilipe,kwani sheria imewapa exceptions ?Mimi nilipe kodi wao hawalipi na wanafuja hii ninayolipa mimi.
Kulipa kodi ni sawa, tatizo ni kwambaIpende Nchi yako na kuwa mzalendo kwa kulipa Kodi kwa maendeleo ya Nchi.