Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??
Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.
Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??
Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..
Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.
Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.
Umewakata viromo romo.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??
Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.
Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??
Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..
Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.
Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.
Umewakata viromo romo.