Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwishi wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Mh Polepole naweza kumfananisha na ZIA mtawala wa kimapinduzi wa Nchini Bangladeshi miaka ya 1980.

alianza hivi hivi kidogo kidogo. Kama mzaha vile.
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwishi wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
wakati huo huo tusisahaua ipo siku hata Mkurugenzi wa TCRA inaweza kumtokea kama ya Polepole. Msumeno unakata kuwili.
 
Polepole ajifunze kuheshimu awamu ya sita na nyingine nyingi tu zijazo elimu yake ya ujasiriamali awafundishe wanawe sisi watanzania tumemchoka pia ni mtu kigeugeu
Nadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
 
Wakizoea kula nyama ya binadamu hawataacha! Leo wamemfumba mdomo Polepole kesho watafumba kila mtu tuwe tayari kupokea matokeo.

Tusimame imara kutetea uhuru wa kujieleza hata kama anayejieleza ni Shetani tumpime kwa hoja zake badala ya rangi yake.

Kama Polepole amefungiwa kwa kukiuka sheria well and good ila tusifurahie kwa kuwa ni Polepole "kakomeshwa" tutakuwa hatuna tofauti na madhalimu.
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
 
Wakizoea kula nyama ya binadamu hawataacha! Leo wamemfumba mdomo Polepole kesho watafumba kila mtu tuwe tayari kupokea matokeo.

Tusimame imara kutetea uhuru wa kujieleza hata kama anayejieleza ni Shetani tumpime kwa hoja zake badala ya rangi yake.

Kama Polepole amefungiwa kwa kukiuka sheria well and good ila tusifurahie kwa kuwa ni Polepole "kakomeshwa" tutakuwa hatuna tofauti na madhalimu.
A lesson is learned. Polepole ni miongoni mwa watawala walioshiriki kukandamiza haki hizi. Kuhusu uhuru wa kutoa maoni kuminywa sisi tumeshazoea
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.

Good but that's only one side of interpretation.

Kwa mtazamo wangu katika awamu ya uongozi mchanga wa Madam Rais Samia Polepole ni nutritious element yenye urutubisho kuelekea siasa za Ukomavu zenye kuinusuru CCM yenyewe as we move closer towards constitutional reforms and it's implications in the era of political and democratic endurance in Tanzania.

Foreign Direct Investment(FDI)

Emerging markets: Africa

ENABLER

What to do? Mandatory globally appealing political,democratic and constitutional reforms.
 
Good but that's only one side of interpretation.

Kwa mtazamo wangu katika awamu ya uongozi mchanga wa Madam Rais Samia Polepole ni nutritious element yenye urutubisho kuelekea siasa za Ukomavu zenye kuinusuru CCM yenyewe as we move closer towards constitutional reforms and it's implications on rebirth of political and democratic endurance in Tanzania.

Foreign Direct Investment(FDI)

Emerging markets: Africa

ENABLER

What to do? Mandatory globally appealing political,democratic and constitutional reforms.
well
 
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Mkuu ni message sio Massage

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Umeandika mengi kishabiki Lakini Polepole si tatizo pekee. Polepole ni tone tu katika maji machafu. Ameshiriki kutunga sheria na kanuni kamdamizi ambazo Leo zimemrudi mwenyewe na ambavyo huyo unayesema anakosa loyality kwake ameshiriki katika maovu hayo hayo. Mfumo CCM ndio tatizo la yote haya nchini, watu wengi wameumia kwa sababu ya Uhuni wa CCM ambao nyie mnaita utii kwa mamlaka kumbe mnaumiza watu.
 
ila mtu ccm akiita press na kuanza kukosoa upinzani au serikali ataitwa na ccm maadili ili akajieleze na sio hyo tcra tutunze kumbukumbu vyema
 
Back
Top Bottom