Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Aliwatoza shilingi ngapi?

Si busara kumzushia mtu uongo hata kama humpendi.

Mchukie kwa ayafanyayo si kwa yale utakayo ayafanye ili umchukie.

Mwenyezimungu anakuona wewe na kizazi chako.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Yaani Mungu asimlaani aliyeshiriki kuua watu amlaani mtu anayeleta utani tu mitandaoni?
 
Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P

Ubarikiwe sana Brother, Hivi ni kweli watanzania tunabarikiwa kwa namna tunavyoitwa vilaza kwa kukataa kuishi ukweli wa kidunia kisa kukidhi haja ya internal colonialism/ Self-imposed colonialism?

Utopolo everywhere and we are proud to mute elites.
 
Polepole tatizo lake ni tamaa ya uongozi, hakuna kingine, pia mnafiki sanaa Polepole.

Enzi za JPM watu walikandamizwa sana kwa kila sekta ya uongozi hasa wa kisiasa, sekta ya habari, watumishi wa umma na wafanya biashara, yeye Polepole na shule yake ya uongozi alikuwa wapi? Wakati huo alikuwa akishangilia na kula vinono, alikuwa haoni vile, huyu ni mtu wa tamaa, TCRA safiii kabisa.
 
Kiukweli sipendi sana mtu yeyote anayemsumbua mama katika kufanya kazi ya nchi safi watenda kazi hii ni nchi yetu kizazi adi kizazi
 
Kabisa
Polepole tatizo lake ni tamaa ya uongozi, hakuna kingine, pia mnafiki sanaa Polepole.

Enzi za JPM watu walikandamizwa sana kwa kila sekta ya uongozi hasa wa kisiasa na wafanya biashara, yeye Polepole na shule yake ya uongozi alikuwa wapi? Wakati huo alikuwa akishangilia na kula vinono, alikuwa haoni vile, huyu ni mtu wa tamaa, TCRA safiii kabisa.
 
Polepole hawezi kupata political mileage yoyote kwasasa,atulie tu zamu yake kunyolewa ! katetea maovu mengi awamu ya 5 eti leo kuwekwa pembeni ndo anaingia kwenye political entrepreneurship lol
Nadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM inanuka rushwa, aliwahi kuwaita Kolimba na Malechela wahuni.
Alifanywa Nini?
Polepole hana kosa waliomtia hatiani wanatetea ugali.
 
Polepole hawezi kupata political mileage yoyote kwasasa,atulie tu zamu yake kunyolewa ! katetea maovu mengi awamu ya 5 eti leo kuwekwa pembeni ndo anaingia kwenye political entrepreneurship lol
Amewekwaje pembeni mkuu? Amevuliwa Ubunge?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
Naona P.wa zamani aliyemuuliza JPM swali gumu amefufuka.
 
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
Mkuu umeandika vizuri sana. Na nimefurahi kwamba umeonyesha kuwa hata wewe ulikuwa unakerwa na kichaa yule.
 
Back
Top Bottom