Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Umeandika mengi kishabiki Lakini Polepole si tatizo pekee. Polepole ni tone tu katika maji machafu. Ameshiriki kutunga sheria na kanuni kamdamizi ambazo Leo zimemrudi mwenyewe na ambavyo huyo unayesema anakosa loyality kwake ameshiriki katika maovu hayo hayo. Mfumo CCM ndio tatizo la yote haya nchini, watu wengi wameumia kwa sababu ya Uhuni wa CCM ambao nyie mnaita utii kwa mamlaka kumbe mnaumiza watu.
Sisi ni wahanga wa mfumo wa hovyo wa utawala wa ccm ktk nyanja mbali mbali. Masomo kama.haya yanapotokea yawe funzo kwa wahuni wengine kama Polepole.
 
ila mtu ccm akiita press na kuanza kukosoa upinzani au serikali ataitwa na ccm maadili ili akajieleze na sio hyo tcra tutunze kumbukumbu vyema
Kimsingi Polepole kaitwa na ndugu zake.
 
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
TCRA nao wana familia za kulisha.
 
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
Kaka Pascal naomba niulize kwanini si haki hasa kwa Polepole? Nini kifanyike? Je, Polepole analo kosa kweli la kupewa hukumu hio?
 
Kufumba watu midomo kulianza zamani sana, huu ni muendelezo tu.
Wakizoea kula nyama ya binadamu hawataacha! Leo wamemfumba mdomo Polepole kesho watafumba kila mtu tuwe tayari kupokea matokeo.

Tusimame imara kutetea uhuru wa kujieleza hata kama anayejieleza ni Shetani tumpime kwa hoja zake badala ya rangi yake.

Kama Polepole amefungiwa kwa kukiuka sheria well and good ila tusifurahie kwa kuwa ni Polepole "kakomeshwa" tutakuwa hatuna tofauti na madhalimu.
 
Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?
Pascal Mayalla ume raise concern muhimu sana kwenye hili. Nadhani sasa TCRA ijirekebishe iepukane na kutiliwa mashaka ktk utendaji kazi wake. Iite kole ni kole na sio Kijiko kikubwa.
 
Kaka Pascal naomba niulize kwanini si haki hasa kwa Polepole? Nini kifanyike? Je, Polepole analo kosa kweli la kupewa hukumu hio?
Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P
 
Nadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
Unatufanya tuelewe umeongozwa na Chuki kuandika hiki ulichokiandika.

Umetuambia kwa kuendelea kurusha kipindi chake angeweza kupata civic support kama ilivyokuwa kwa kiongozi wa kimapinduzi nchini Bangladesh.

Hapa unaandika "Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani."

Unataka sisi tushike hoja ipi kati ya mbili zinazokinzana kutoka kwako?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P
Hizi sheria si zilitungwa kipindi cha jiwe?
 
Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P
Ana haki ya kukata rufaa within 21 days. Aitumie haki hiyo.
 
Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P
Asante kwa Elimu murua. Kweli anaweza kuwa kaonewa. Lakini amepitia njia ile ile waliopitishwa wengine chini yake.
 
Unatufanya tuelewe umeongozwa na Chuki kuandika hiki ulichokiandika.

Umetuambia kwa kuendelea kurusha kipindi chake angeweza kupata civic support kama ilivyokuwa kwa kiongozi wa kimapinduzi nchini Bangladesh.

Hapa unaandika "Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani."

Unataka sisi tushike hoja ipi kati ya mbili zinazokinzana kutoka kwako?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Anaweza kupata civic support ambayo inaweza kuwa hatari. TCRA wameiona hoyo.
 
Back
Top Bottom