- Thread starter
- #81
We hujui. Kwenye serikali ya ccm hata Mwenyekiti wa kijiji anaweza kuwa baraza la mawaziri na akachangia mswaada wa sheria.Alishiriki wapi kuziandika hizo sheria kamanda? alukuwa anaziandika kama nani? maana ubunge kapewa juzi na Samia.