Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Yea Mwigulu, Kabudi, Ndugai
Mr. Supika na msaidizi wake walitengeneza mazingira wezeshi Kwa Sheria mbovu kupitishwa Kwa Imani ile kuwa zitawakomesha wapinzani, ilikutokuwajibishwa Kwa kushindwa kutekeleza wajibu wa kuisimamia serikali wakaona wajiwekee Kinga yakutoshitakiwa.
 
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
Mkuu umeandika vyema lakini kama Polepole angekuwa na good intentions sawa lakini tatizo la huyu bwana hata demeanor yake tuu inaonesha ill intentions, nimekuwa subjective lakini huo ndio ukweli.
 
Mr. Supika ma msaidizi wake walitengeneza mazingira wezeshi Kwa Sheria mbovu kupitishwa Kwa Imani ile kuwa zitawakesha wapinzani, ilikutokuwajibishwa Kwa kushindwa kutekeleza wajibu wa kuisimamia serikali wakaona wajiwekee Kinga yakutoshitakiwa.
Ipo siku na wao itakula kwao. Malipo ni haoa hapa duniani
 
Afungue Saccos kama anataka wwfuasi
Na sisi hatuna muelekeo wala damu
Rais alepita ndio alituletea zao hili na wakafanya kila mabaya kwa kujiamini kuwa wanalindwa

Haka kajamaa kalivyokuwa kanaisifia V8 I bet hata oil lever gauge sijui kama aliwahi kuiona ilipo ila kwa kukingiwa kifua na kupewa mamlaka alikuwa na kibri ya ajabu

Rais akiwa na mamlaka ya hivyo anaweza hata kunyonga watu kwenye madaraja

Kuvuna tu alichopanda haitoshi hawa washtakiwe kabisa
 
Nadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
ingekuwa mtu ambaye hakwepo kwenye serikali iliyopita ningesikiliza mada zake ,lakini mtu yule yule aliyekuwepo kwenye awamu iliyopita akijidai na kiburi leo anafundisha SoMo wengine ambalo yeye alishindwa wakati yupo ndani ya mfumo.
 
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
mkubwa hongera sana kwa kurudishiwa akili zako baada ya yule hayati wa Chato kufikwa na msiba wa kujitakia

Kiukweli ndani ya utawala wa yule baba sheria zilizotungwa ni aibu hata kusimulia watoto,yule baba ni kama alikuwa mgeni Duniani nadhani huko alikokwenda ndiko wito sahihi alikoitiwa
 
Mr. Slow&co
2999586_2537165_P6F2RAW0ULeENPMJA9tbbCN4.jpg

Zama za kujipendekeza huku akijua fika kuwa wanaenda kuiba Kura

Mungu amlaani na Shule yake ya fitna.
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
wamemfunza adabu by surprise
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Lakini naona ni mara 100 kinuke tu kuanza upya sio tatizo!

Kuishi kitumwa nchini wakati kuna kundi dogo linafaidika na keki ya taifa sio sahihi.
 
Ndio maana huwaga nahisi baadhi ya wana chadema ni wapumbavu sana!

Sasa fikiria mtu anashangilia Polepole kufungiwa na hajui kama hiyo ni mtego pia kwao
 
Back
Top Bottom