Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

mkubwa hongera sana kwa kurudishiwa akili zako baada ya yule hayati wa Chato kufikwa na msiba wa kujitakia

Kiukweli ndani ya utawala wa yule baba sheria zilizotungwa ni aibu hata kusimulia watoto,yule baba ni kama alikuwa mgeni Duniani nadhani huko alikokwenda ndiko wito sahihi alikoitiwa
Jamaa alikuwa ni Janga la kitaifa
 
ingekuwa mtu ambaye hakwepo kwenye serikali iliyopita ningesikiliza mada zake ,lakini mtu yule yule aliyekuwepo kwenye awamu iliyopita akijidai na kiburi leo anafundisha SoMo wengine ambalo yeye alishindwa wakati yupo ndani ya mfumo.
😅😅😅slowx2 ni mnafiki sana. Sasa watz washamgundua.
 
Afungue Saccos kama anataka wwfuasi
Na sisi hatuna muelekeo wala damu
Rais alepita ndio alituletea zao hili na wakafanya kila mabaya kwa kujiamini kuwa wanalindwa

Haka kajamaa kalivyokuwa kanaisifia V8 I bet hata oil lever gauge sijui kama aliwahi kuiona ilipo ila kwa kukingiwa kifua na kupewa mamlaka alikuwa na kibri ya ajabu

Rais akiwa na mamlaka ya hivyo anaweza hata kunyonga watu kwenye madaraja

Kuvuna tu alichopanda haitoshi hawa washtakiwe kabisa
Karma at work.
 
Kama hii ndio akili ya walio kwenye mamlaka na majority ya watanzania basi Tanzania tuna safari ndefu sana ya kupata maendeleo na uhuru wa kweli, uongozi ni dhamana tuu, wote ni watanzania na hakuna mwenye haki ya kuongoza kuliko mwingine, uza sera uchaguliwe , kuziba midomo watu na kuiba kura sio ujanja tunaharibu Taifa and we will all suffer
Polepole anavuna alichopanda yeye na genge lake.
 
Polepole alishiriki huu upuuzi wa CCM leo analipa alichopanda, hope atajirekebisha na kuwa mpiganaji wa kweli sio njaa tuu,wapiganaji wa kweli aliokuwa anawabeza baadhi wapo jela, wengine uhamishoni na wengine wamepoteza maisha, hata humu jamaa yetu wa JF almost wamfunge na kumfilisi kabisa, dadeki wakoloni weusi ni hatari kuliko weupe
 
TCRA hawajatenda haki kwa Polepole, hapa ndani tunajadili mtu zaidi kuliko hoja.

Kama great thinkers hoja za Polepole zina tija au hapana?
 
Polepole alishiriki huu upuuzi wa CCM leo analipa alichopanda, hope atajirekebisha na kuwa mpiganaji wa kweli sio njaa tuu,wapiganaji wa kweli aliokuwa anawabeza baadhi wapo jela, wengine uhamishoni na wengine wamepoteza maisha, hata humu jamaa yetu wa JF almost wamfunge na kumfilisi kabisa, dadeki wakoloni weusi ni hatari kuliko weupe
Imekula kwake yeye na viroboto wenzake
 
Mmoja kalala mwingine sahivi anaishi kama digidigi. Maisha haya
mj-spits.gif
 
Pascal Mayalla ume raise concern muhimu sana kwenye hili. Nadhani sasa TCRA ijirekebishe iepukane na kutiliwa mashaka ktk utendaji kazi wake. Iite kole ni kole na sio Kijiko kikubwa.
Naafiki.TCRA hapo imetumia ubabe.Hapa naamini kuwa kuna nguvu kubwa imetumika kusukuma TCRA kwa nguvu bila hii taasisi kukaa na kufikiri au kufanya ref.kwenye mambo mengine yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika na wao wanafumbia macho.

Mimi Polepole simpendi kwa sababu katika utawala uliopita alikuwa miongoni mwa viongozi wakuu na alishiriki kwa kiwango kikubwa kugandamiza uhuru na haki za watanzania na zipo clip nyingi tu zinazodhihirisha hili.Lakini hata hivyo sio juu yetu kulipa kisasi ila tusimame katika misingi ya haki.

TCRA hapa inaonyesha wazi kuwa,imelazimishwa kumfunga mdomo Polepole bila wao kujitambua kuwa kuna utaratibu wa kufuata pale mteja wao anapoonekana anakwenda kinyume na makubaliano ya mkataba waliopeana.Kwa maana nyingine hata wao TCRA wamejisahau kuwa wao pia wanawaambia wateja wao wabalance habari wakati wao hawabalance habari zao wenyewe.Hawa kina Polepole watabalance vipi wakati mizania ya TCRA upande mmoja umelemewa mpaka ukagota chini kabisa na mwingine unaninginia kule juu.

TCRA wangetaka kabalance hii habari yao wangemwita Humprey kwa maandishi (barua) na kumwelekeza au kumwonya kuhusu huo wao wanaouita upotoshaji (sasa hivi hakuna wa kumpotosha tena Mtanzania,wote wamefunguka macho) ili arekebishe pale wao wanapoona sio sawa.Hilo ni onyo la ana kwa ana au onyo kwenye mfumo wa mazungumzo.

Ni mara nyingi tumeona hili likifanyika kwenye vyombo vingi vya habari hasa magazeti,Tv na redio.Iweje leo hii TCRA haraka haraka nadhani kwa kukurupushwa inamwita tayari na hukumu wanayo mkononi.TCRA walipochukua fedha za Humprey na kumpa kibali wameshajisahau kuwa na wao hawajamtendea haki? Je akida kurudishiwa fedha zake watazirejesha?

TCRA walichotakiwa kufanya.
1.Kumwita na kumpa onyo.
2.Kumpa muda maalumu wa kurekebisha mapungufu waliyoyaona wakati anaendelea na shughuli yake kwani kibali anacho.
3.Kwenda kukagua kama marekebisho hayo yamefanyika.Kama hayakufanyika utaratibu wa makubaliano ya No.1 yanafuata.

Nb.Nashindwa kuelewa.Kibali kinatolewa baada ya mwombaji kutimiza masharti yaliyowekwa na Tcra au ni vinginevyo.Nauliza hivyo kwa sababu inaonekana wazi kuwa,Humphrey alipewa kibali kwa title aliyokuwa nayo (Katibu mwenezi wa ccm) hivyo matakwa ya kisheria hayakufuatwa.Ndiyo double standard hiyo.

Zamani kidogo baada ya mtaalamu msomi aliyekuwa mkurugenzi wa TBC Tido Mhando wakati nikiwa mkereketwa waTbc alifanya vizuri mno kubalance habari.Tunaposema kubalance habari wengine hawaelewi.Labda kidogo tu niwape hapa.Ni kitendo cha kusema au kusikia kuwa pointi A amesema kuwa pointi B shule yake imefungiwa kwa sababu 123.Then unamfuata pointi B wewe mhabarishaji sasa na kumuuliza nimepata habari zako 123 kuhusu kufungiwa shule je wewe unasemaje. kwa ufahamu wangu.Lakini wakati wa kampeni mambo yake ya kubalace yakamletea shida na yaliyompata wenye kumbukumbu mtakumbuka.

Maana yangu ni hii TV ya kwanza ambayo ingepaswa kufungiwa enzi hizo baada ya Mhando kwa kukiuka sheria ya kubalance habari ni TBC na TCRA ilikuwepo tu,na nakumbuka ilifungia magazeti mengi tu ila ikafunika kombe.Sijui sasa hivi ikoje maana mie sinayo tena hiyo channel.

Swala lililojitokeza kuwa Humphrey habalance habari kwani yeye si sawa tu na mwalimu anayetoa elimu,sawa sawa na waandishi wa vitabu, labda Tcra walitaka abalance nini.

Nadhani umefika wakati kwa vyombo binafsi na watu binafsi wa habari kujiunga kwa pamoja kwa umoja wao kuwa na chombo HURU cha kwao cha kuwatetea mambo yanapokwenda ndivyo sivyo bila kujali itikadi za vyama vyao na bila kuwepo mamluki.
 
Naafiki.TCRA hapo imetumia ubabe.Hapa naamini kuwa kuna nguvu kubwa imetumika kusukuma TCRA kwa nguvu bila hii taasisi kukaa na kufikiri au kufanya ref.kwenye mambo mengine yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika na wao wanafumbia macho.

Mimi Polepole simpendi kwa sababu katika utawala uliopita alikuwa miongoni mwa viongozi wakuu na alishiriki kwa kiwango kikubwa kugandamiza uhuru na haki za watanzania na zipo clip nyingi tu zinazodhihirisha hili.Lakini hata hivyo sio juu yetu kulipa kisasi ila tusimame katika misingi ya haki.

TCRA hapa inaonyesha wazi kuwa,imelazimishwa kumfunga mdomo Polepole bila wao kujitambua kuwa kuna utaratibu wa kufuata pale mteja wao anapoonekana anakwenda kinyume na makubaliano ya mkataba waliopeana.Kwa maana nyingine hata wao TCRA wamejisahau kuwa wao pia wanawaambia wateja wao wabalance habari wakati wao hawabalance habari zao wenyewe.Hawa kina Polepole watabalance vipi wakati mizania ya TCRA upande mmoja umelemewa mpaka ukagota chini kabisa na mwingine unaninginia kule juu.

TCRA wangetaka kabalance hii habari yao wangemwita Humprey kwa maandishi (barua) na kumwelekeza au kumwonya kuhusu huo wao wanaouita upotoshaji (sasa hivi hakuna wa kumpotosha tena Mtanzania,wote wamefunguka macho) ili arekebishe pale wao wanapoona sio sawa.Hilo ni onyo la ana kwa ana au onyo kwenye mfumo wa mazungumzo.

Ni mara nyingi tumeona hili likifanyika kwenye vyombo vingi vya habari hasa magazeti,Tv na redio.Iweje leo hii TCRA haraka haraka nadhani kwa kukurupushwa inamwita tayari na hukumu wanayo mkononi.TCRA walipochukua fedha za Humprey na kumpa kibali wameshajisahau kuwa na wao hawajamtendea haki? Je akida kurudishiwa fedha zake watazirejesha?

TCRA walichotakiwa kufanya.
1.Kumwita na kumpa onyo.
2.Kumpa muda maalumu wa kurekebisha mapungufu waliyoyaona wakati anaendelea na shughuli yake kwani kibali anacho.
3.Kwenda kukagua kama marekebisho hayo yamefanyika.Kama hayakufanyika utaratibu wa makubaliano ya No.1 yanafuata.

Nb.Nashindwa kuelewa.Kibali kinatolewa baada ya mwombaji kutimiza masharti yaliyowekwa na Tcra au ni vinginevyo.Nauliza hivyo kwa sababu inaonekana wazi kuwa,Humphrey alipewa kibali kwa title aliyokuwa nayo (Katibu mwenezi wa ccm) hivyo matakwa ya kisheria hayakufuatwa.Ndiyo double standard hiyo.

Zamani kidogo baada ya mtaalamu msomi aliyekuwa mkurugenzi wa TBC Tido Mhando wakati nikiwa mkereketwa waTbc alifanya vizuri mno kubalance habari.Tunaposema kubalance habari wengine hawaelewi.Labda kidogo tu niwape hapa.Ni kitendo cha kusema au kusikia kuwa pointi A amesema kuwa pointi B shule yake imefungiwa kwa sababu 123.Then unamfuata pointi B wewe mhabarishaji sasa na kumuuliza nimepata habari zako 123 kuhusu kufungiwa shule je wewe unasemaje. kwa ufahamu wangu.Lakini wakati wa kampeni mambo yake ya kubalace yakamletea shida na yaliyompata wenye kumbukumbu mtakumbuka.

Maana yangu ni hii TV ya kwanza ambayo ingepaswa kufungiwa enzi hizo baada ya Mhando kwa kukiuka sheria ya kubalance habari ni TBC na TCRA ilikuwepo tu,na nakumbuka ilifungia magazeti mengi tu ila ikafunika kombe.Sijui sasa hivi ikoje maana mie sinayo tena hiyo channel.

Swala lililojitokeza kuwa Humphrey habalance habari kwani yeye si sawa tu na mwalimu anayetoa elimu,sawa sawa na waandishi wa vitabu, labda Tcra walitaka abalance nini.

Nadhani umefika wakati kwa vyombo binafsi na watu binafsi wa habari kujiunga kwa pamoja kwa umoja wao kuwa na chombo HURU cha kwao cha kuwatetea mambo yanapokwenda ndivyo sivyo bila kujali itikadi za vyama vyao na bila kuwepo mamluki.
well, noted
 
Polepole ajifunze kuheshimu awamu ya sita na nyingine nyingi tu zijazo elimu yake ya ujasiriamali awafundishe wanawe sisi watanzania tumemchoka pia ni mtu kigeugeu
Mko wangapi watanzania mnaoandika hiyo quote yako, jisemee na usitusemee!

Mimi ni mtanzania ninamsupport mh Polepole 100%
 
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na siungi mkono ubwabwajaji wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
P.
Pole pole kapigwa 'bambi' watoto wa mjini wanaielewa vyema. Kazimwa kiakili.
 
Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P
Atulize mzuka. Kama watu miili ya watu iliokotwa Coco Beach ikiwa ndani ya viroba na akakaa kimya asiongee chochote basi na sasa atulie tu.
 
Back
Top Bottom