- Thread starter
- #181
Kwamba Jpm alikuwa bora?Hitimisho haliwezi kuwa rahisi hivyo. Inflation rate iko ngapi katika awamu hii ya sita ili tu angalau angalau isijinasibishe na ile ya JPM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Jpm alikuwa bora?Hitimisho haliwezi kuwa rahisi hivyo. Inflation rate iko ngapi katika awamu hii ya sita ili tu angalau angalau isijinasibishe na ile ya JPM?
😅😅😅Pole pole kapigwa 'bambi' watoto wa mjini wanaielewa vyema. Kazimwa kiakili.
Walisema ni vifo vya kawaida na akina Mwigulu eti ni wahamiaji kutoka Ethiopia😅😅Atulize mzuka. Kama watu miili ya watu iliokotwa Coco Beach ikiwa ndani ya viroba na akakaa kimya asiongee chochote basi na sasa atulie tu.
Naunga mkono hoja.Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ccm wote wahuniKtk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??
Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.
Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??
Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..
Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.
Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.
Umewakata viromo romo.
Stupidity mentality to rejoice on the nonsense blackout action against someone expressing his freedom of speech as others doKtk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??
Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.
Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??
Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..
Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.
Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.
Umewakata viromo romo.
RubbishKtk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??
Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.
Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??
Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..
Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.
Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.
Umewakata viromo romo.
Kiroboto mkuu kanywe sumu.Rubbish
Why freedom of speech now? what happened? Think of freedom situation 1yr back? how could your comment look like in the matter?Stupidity mentality to rejoice on the nonsense blackout action against someone expressing his freedom of speech as others do
Wahuni tu.Ccm wote wahuni
😅😅😅nadhani hii inaweza kuwa kubwa sana kwake mithiri ya kumuua. Maana anaishi kwa kubwabwaja ndio kunamweka mjiniNaunga mkono hoja.
Chakubanga ni mnafiki tena apewe adhaba kali zaid ya hiyo yaani tuchague wabunge kwa nguvu kubwa namna ile Afu aje ageuke awanunue kwa kisingizio cha demkrasia ina gharama?