Kwa alieangalia hii video yote kama Mimi,Hakuna kitu cha maana zaidi ya utulivu apo...lockdown kiboko...iyo city mnairemba sana na maneno haina kitu cha kushtua kabisa...Mimi nimeongea ukweli tu..Wakiambiwa Nairobi sio level yao huaga wanalialia..
Video ya juzi tu hiyo, bundles zako ndio zita determine kuujua ukweli..
Povu ruksa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa alieangalia hii video yote kama Mimi,Hakuna kitu cha maana zaidi ya utulivu apo...lockdown kiboko...iyo city mnairemba sana na maneno haina kitu cha kushtua kabisa...Mimi nimeongea ukweli tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
By the way Kuna series inaitwa Defiance na one of the characters anitwa KENYA.
Aah wapi? Mji hauna umeme unaulinganisha na Mombasa kweli si hiyo ni kuidhalilisha?
Dual carriageway from Westlands through CBD to Kilimani Sio Kama hizo Zenu CBD mnapishana na bado Nje Ya Dar ni kupishana tu...Mimi naongea ukweli tu...Kwa alieangalia hii video yote kama Mimi,Hakuna kitu cha maana zaidi ya utulivu apo...lockdown kiboko...iyo city mnairemba sana na maneno haina kitu cha kushtua kabisa...Mimi nimeongea ukweli tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Defiance!!ya lini hyo mkuu, manake mi ni mpenzi wa series lkn hyo siijui jombaBy the way Kuna series inaitwa Defiance na one of the characters anitwa KENYA.
Aah wapi? Mji hauna umeme unaulinganisha na Mombasa kweli si hiyo ni kuidhalilisha?
Dar cbd watu wanapishana km vijijini aisee..Dual carriageway from Westlands through CBD to Kilimani Sio Kama hizo Zenu CBD mnapishana na bado Nje Ya Dar ni kupishana tu...Mimi naongea ukweli tu...
Nafikiri ilianza 2015 na Ina season 4Defiance!!ya lini hyo mkuu, manake mi ni mpenzi wa series lkn hyo siijui jomba
Sent using Jamii Forums mobile app
SciFi fiti sana
Exit Nairobi, enter Manila. Alafu ni bullet to the head, no comeback.Season 4 gandi alimlisha shaba bana, yani niliboeka haswa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hapo harudi mtu tenaExit Nairobi, enter Manila. Alafu ni bullet to the head, no comeback.
Povu rukhsaModerator please ondoeni hii thread hapa haina kazi tena inajaza server zenu tu. OMBI
Wakiambiwa Nairobi sio level yao huaga wanalialia..
Video ya juzi tu hiyo, bundles zako ndio zita determine kuujua ukweli..
Povu ruksa
Sent using Jamii Forums mobile app