The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Hebu nioneshe mahali mmejenga hyo 200km ya commuter rail.Yani tumemaliza sgr ya over 700km track length na over thirty train stations, 200 km ya commuter rail na 25 commuter train stations na wenzetu wa kusini hata 200 km ya kwanza bado wanahangaika hii ni mwaka ya 4. Tuko mbioni kumaliza 27 km ya elevated highway wenzetu kusini barabara ya 19 km imewashinda kumaliza sasa ni mwaka ya tatu.
Ukweli ni kwamba ule mtu aliroga Tanzania, alikufa. Yani hawa watu hakuna kitu wanaeza fanya vizuri.
This is european standard. Nimeishi Europe na hivi ndivyo DMU zinavyofanana ndani. Hakuna kitu kilichobadilishwa. Hii ni international standard na wala usijaribu kuilinganisha na basi. Hii ni treni. Halafu inastahili kuwa na viti vichache na nafasi kubwa ya watu kusimama kwa sababu hii ni short distance (intra-city) travel. Yaani unasimama kwa dakika kumi na tano na umefika, hakuna haja ya kukaa chini.Mbn hz seat zinakaa matatu? Seat za brt zetu ni nzr kuliko hii kitu being honest.
Ikiwa 200 km ya kwanza hamjamaliza, hakuna train station imeisha hata train zenyewe bado hamjui ni gani!!!!. Mulijipiga kifua ati mwaka jana mwezi wa june mtakuwa na sgr. Kwanza mkaanza kulaumu mvua, kisha mamba. sasa naona mko kwa hali ya kubomoa madaraja ya sgr hapo dar. Kwei Hapo Tanzania ni kazi tu, kazi ya ndoto na uchawi.Hahahaaa reli yetu ni the longest pengine kuliko zote Afrika so usitegemee itachukua tu 4 yrs, no itachukua muda mrefu zaidi ya 4yrs[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimekwambia hv nioneshe hyo 200km mliyojenga kwa ajili ya commuter rail.Ikiwa 200 km ya kwanza hamjamaliza, hakuna train station imeisha hata train zenyewe bado hamjui ni gani!!!!. Mulijipiga kifua ati mwaka jana mwezi wa june mtakuwa na sgr. Kwanza mkaanza kulaumu mvua, kisha mamba. sasa naona mko kwa hali ya kubomoa madaraja ya sgr hapo dar. Kwei Hapo Tanzania ni kazi tu, kazi ya ndoto na uchawi.
Ila huku sisi tumemaliza sgr ya 700km+ iliyo na stesheni kubwa na nyingi kuliko hayo mabanda ya ng'ombe yenye bado mmeshindwa kumaliza. Tumeshaanza kutumia phase 1 ya 200 km commuter rail nyinyi bado mko kwa basi na sgr phase 1 bado ni ndoto.
Nairobi Central station to embakasi station (20 km)Hebu nioneshe mahali mmejenga hyo 200km ya commuter rail.
Hizi basi ni supuu.Alaa...kumbe wali import new BRT Buses..sasa tunangojea ya NAMATA..Hii ilikua project ya kenya railways
View attachment 1623440
View attachment 1623442
View attachment 1623444
hizi ndio news media hawaezi kuonyesha for them wanataka kuonyesha negative news..iliwapata mvuto wa watu..Hizi basi ni supuu.
wataonyesha tangatanga ,kieleweke,bbi na coronahizi ndio news media hawaezi kuonyesha for them wanataka kuonyesha negative news..iliwapata mvuto wa watu..
hawa jamaa zao ni hekaya za abunuwasi na vichekesho kwenda mbele...yani jenga bomoa kama kwamba walikirupuka kujenga madaraja bila plan...nadhani yao ndio itakua panic projectsIkiwa 200 km ya kwanza hamjamaliza, hakuna train station imeisha hata train zenyewe bado hamjui ni gani!!!!. Mulijipiga kifua ati mwaka jana mwezi wa june mtakuwa na sgr. Kwanza mkaanza kulaumu mvua, kisha mamba. sasa naona mko kwa hali ya kubomoa madaraja ya sgr hapo dar. Kwei Hapo Tanzania ni kazi tu, kazi ya ndoto na uchawi.
Ila huku sisi tumemaliza sgr ya 700km+ iliyo na stesheni kubwa na nyingi kuliko hayo mabanda ya ng'ombe yenye bado mmeshindwa kumaliza. Tumeshaanza kutumia phase 1 ya 200 km commuter rail nyinyi bado mko kwa basi na sgr phase 1 bado ni ndoto.
News huwa sioni sana siku hizi. News za Kenya ziko childish sana.hizi ndio news media hawaezi kuonyesha for them wanataka kuonyesha negative news..iliwapata mvuto wa watu..
kabisa alafu wanafanya dunia nzima inaona kenya iko na shida ilhali vitu kwa ground ni tofauti..watu humkemea rais uhuru bure juu ya media lakini ukifuatilizzia vizuri huyu jamaa huchapa kazi sana..i used to doubt rais uhuru..nikaanza kufanya utafiti za miradi zake nikagundua huyu jama anafanya kazi sana..News huwa sioni sana siku hizi. News za Kenya ziko childish sana.
This is very interesting. We are moving forward for sureInteresting fact
The nairobi commuter rail is interlinked with the airport schedule, sgr schedule and bus schedule i.e from the nairobi central station you can see which planes are departing and arriving, you can also see the schedule of the sgr trains and you can see which buses are currently waiting for passengers and arrival and departure times.
Uhuru na Kibaki wanachapa kazi. Tuombee tu that any prezo we get after them will also love development.kabisa alafu wanafanya dunia nzima inaona kenya iko na shida ilhali vitu kwa ground ni tofauti..watu humkemea rais uhuru bure juu ya media lakini ukifuatilizzia vizuri huyu jamaa huchapa kazi sana..i used to doubt rais uhuru..nikaanza kufanya utafiti za miradi zake nikagundua huyu jama anafanya kazi sana..
Kwahyo hapa ndo umemaliza, wallahi elimu haijawahi kumsaidia mkenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nairobi Central station to embakasi station (20 km)
Nairobi central station to athi river station (31.1 km)
Nairobi central station to Ruiru station (32.1 km)
Nairobi central station to limuru station (38.5 km)
Nairobi central station to Kikuyu station (34.9 km)
Nairobi central station to syokimau station (24.9 km)
Nairobi central station to thika station (45.9 km)
Hii sio brt ya 21 km iliyo jaa kunguni na chawa.
Wewe endelea kuota ndoto za sgr ambayo mliimbiwa kutoka mwaka 2017 na brt ya 21 km. sisi huku tuko busy hatuna mda ya watu wazembe, wachawi na wapiga ramli.Kwahyo hapa ndo umemaliza, wallahi elimu haijawahi kumsaidia mkenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Je uliskia Nairobi sasa ndio mji wa pili africa kuwa na commuter rail ndefu ikifata joburg? Alafu uliskia baada ya phase iii, Nairobi itakuwa mji ya kwanza africa nzima kwa commuter rail?Kwahyo hapa ndo umemaliza, wallahi elimu haijawahi kumsaidia mkenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]