Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Hebu nioneshe mahali mmejenga hyo 200km ya commuter rail.
 
Mbn hz seat zinakaa matatu? Seat za brt zetu ni nzr kuliko hii kitu being honest.
This is european standard. Nimeishi Europe na hivi ndivyo DMU zinavyofanana ndani. Hakuna kitu kilichobadilishwa. Hii ni international standard na wala usijaribu kuilinganisha na basi. Hii ni treni. Halafu inastahili kuwa na viti vichache na nafasi kubwa ya watu kusimama kwa sababu hii ni short distance (intra-city) travel. Yaani unasimama kwa dakika kumi na tano na umefika, hakuna haja ya kukaa chini.
 
Hahahaaa reli yetu ni the longest pengine kuliko zote Afrika so usitegemee itachukua tu 4 yrs, no itachukua muda mrefu zaidi ya 4yrs[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ikiwa 200 km ya kwanza hamjamaliza, hakuna train station imeisha hata train zenyewe bado hamjui ni gani!!!!. Mulijipiga kifua ati mwaka jana mwezi wa june mtakuwa na sgr. Kwanza mkaanza kulaumu mvua, kisha mamba. sasa naona mko kwa hali ya kubomoa madaraja ya sgr hapo dar. Kwei Hapo Tanzania ni kazi tu, kazi ya ndoto na uchawi.

Ila huku sisi tumemaliza sgr ya 700km+ iliyo na stesheni kubwa na nyingi kuliko hayo mabanda ya ng'ombe yenye bado mmeshindwa kumaliza. Tumeshaanza kutumia phase 1 ya 200 km commuter rail nyinyi bado mko kwa basi na sgr phase 1 bado ni ndoto.
 
Nimekwambia hv nioneshe hyo 200km mliyojenga kwa ajili ya commuter rail.
 
Hebu nioneshe mahali mmejenga hyo 200km ya commuter rail.
Nairobi Central station to embakasi station (20 km)
Nairobi central station to athi river station (31.1 km)
Nairobi central station to Ruiru station (32.1 km)
Nairobi central station to limuru station (38.5 km)
Nairobi central station to Kikuyu station (34.9 km)
Nairobi central station to syokimau station (24.9 km)
Nairobi central station to thika station (45.9 km)

Hii sio brt ya 21 km iliyo jaa kunguni na chawa.
 
hawa jamaa zao ni hekaya za abunuwasi na vichekesho kwenda mbele...yani jenga bomoa kama kwamba walikirupuka kujenga madaraja bila plan...nadhani yao ndio itakua panic projects
 
Interesting facts

i) The MGR is a heavy freight line not just passengers i.e the revamping of the MGR including Nairobi-Nanyuki and Nairobi commuter rail has a cargo component to it. Today the president also launched a transit cargo shed at nairobi central station for small scale traders who import via the sgr.

ii) The MGR offers last mile freight for cargo going to inner towns not covered by the sgr e.g. Nanyuki,Chaka,Thika etc.

iii) The MGR can carry more unconventional cargo like raw farm produce. Before falling into disrepair it ferried horses, cabbages,tea, tomatoes, cows, goats etc from Central kenya to Nairobi.
 
hizi ndio news media hawaezi kuonyesha for them wanataka kuonyesha negative news..iliwapata mvuto wa watu..
News huwa sioni sana siku hizi. News za Kenya ziko childish sana.
 
Interesting fact

The nairobi commuter rail is interlinked with the airport schedule, sgr schedule and bus schedule i.e from the nairobi central station you can see which planes are departing and arriving, you can also see the schedule of the sgr trains and you can see which buses are currently waiting for passengers and arrival and departure times.
 
News huwa sioni sana siku hizi. News za Kenya ziko childish sana.
kabisa alafu wanafanya dunia nzima inaona kenya iko na shida ilhali vitu kwa ground ni tofauti..watu humkemea rais uhuru bure juu ya media lakini ukifuatilizzia vizuri huyu jamaa huchapa kazi sana..i used to doubt rais uhuru..nikaanza kufanya utafiti za miradi zake nikagundua huyu jama anafanya kazi sana..
 
This is very interesting. We are moving forward for sure
 
Uhuru na Kibaki wanachapa kazi. Tuombee tu that any prezo we get after them will also love development.
 
At full operation after phase iii, Nairobi commuter rail will employ about 2600 people directly.
 
Kwahyo hapa ndo umemaliza, wallahi elimu haijawahi kumsaidia mkenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwahyo hapa ndo umemaliza, wallahi elimu haijawahi kumsaidia mkenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe endelea kuota ndoto za sgr ambayo mliimbiwa kutoka mwaka 2017 na brt ya 21 km. sisi huku tuko busy hatuna mda ya watu wazembe, wachawi na wapiga ramli.
 
Kwahyo hapa ndo umemaliza, wallahi elimu haijawahi kumsaidia mkenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Je uliskia Nairobi sasa ndio mji wa pili africa kuwa na commuter rail ndefu ikifata joburg? Alafu uliskia baada ya phase iii, Nairobi itakuwa mji ya kwanza africa nzima kwa commuter rail?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…