Serikali ya Kaunti ya jiji la Nairobi nchini Kenya, leo Januari 24, 2018, imetangaza kuifunga bustani ya Uhuru Park kwa ajili ya matengenezo kwa muda usiojulikana.
Hilo linajiri ikiwa zimesalia siku sita tu kabla ya viongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya NASA kumuapisha kiongozi wao Raila Odinga kama Rais wa watu katika bustani hiyo.
Waliopo madarakani,majizi,mabaguzi ya kikabira,waliopo upinzani,jinsi wanavyotoka mishipa ya shingo kwa kuongea kwa ajiri ya wananchi,unaweza ukafikiri ukiwapa madaraka,mambo yatakuwa mazuri,waaapi!na wao ni majizi na mabaguzi ya kikabira,ukiyapa nchi,yatafanya yaleyale yanayofanywa na jubilee,ubaguzi wa kikabira,na kikanda,
Yanaongea sana kwa sababu yamekosa ulaji,ktk uchaguzi uliopita,
Siku wananchi watakapo jua hakuna cha mluya,mluo,mkamba,mkalenjin,mkikuyu wala mmasai,
Zipo kabila mbili tu,aliye fukara/maskini,asiyeweza kuzifikia fulsa ili ajikwamua na shida za dunia,na wale wenye ukwasi wa kutisha,wao na familia zao,watu wanaomiriki ardhi kama mkoa mzima wa Dar,
MTU kama Raila,kwa rasilimali zote alizonazo,kitu gani amefanya cha kuwanufsisha watu,RAIA wa kawaida kiuchumi,kampuni ngapi,anamiriki,ameajiri watu wangapi,?
MTU kama Trump,ni bilionea wa real estate,makampuni yake yanatoa ajira,kwa watu kibao duniani,hawa wanasiasa wetu,kwenye elimu kubwa tu,ma Dr,Prof,ma engineer,nini wamefanya,mpaka tuwape nchi,wamevumbua nini,wana maono gani,au wanaona matumbo yao tu,
Mwalimu Nyerere,na Mandela,hawakuwa na Mali,lakini kwa uongozi wao,maono yao,walizijenga jamii,zikawa kama walivyotaka,TZ ilieshimika dunia nzima,likitokea jambo Africa nzima ilisubiri,TZ iseme kwanza,Nyerere huyo
Hawa wasasa HV wanataka madaraka tu,ili wale,nchi imeishapata Raisi,badala ya kujenga nchi,mnaendeleza siasa,uchumi unadolola,haya ni matumizi mabaya ya demokrasia,