Nairobi, Kenya, nayo kujenga BRT kama Tanzania wenye thamani ya Ksh 43.4 bilioni

Nairobi, Kenya, nayo kujenga BRT kama Tanzania wenye thamani ya Ksh 43.4 bilioni

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
BRT_0.jpg

Serikali ya Kenya nayo imeamua kuinga toka Tanzania, kuwa na mradi wa Rapid Bus Transport(BRT) ijengwe Nairobi Kenya.

Mradi wa Kenya inaelekea utakuwa mkali zaidi kwa kuwa na mabasi ya umeme.
=================
Baraza la Mawaziri Jumanne, Desemba 17, limeidhinisha ujenzi wa mfumo wa Clean Bus Rapid Transit (BRT) wenye thamani ya Ksh 43.4 bilioni. Serikali inasema hatua hiyo itaongeza ufanisi wa usafiri wa umma na miundombinu, ikihakikisha nauli zinabakia thabiti wakati wa nyakati za kawaida na za kilele.

======================
The Cabinet on Tuesday, December 17, approved the Ksh43.4 billion construction of the Clean Bus Rapid Transit (BRT) System. The government says the move will enhance public transport reliability and infrastructure efficiency, ensuring predictable fares during both low and peak hours.

 
Hiyo picha inazunguka sana, tokea sijui 2020 kwani hiyo brt haijakamilika tu? Hadi leo
 
Back
Top Bottom