mkuu niambie umesoma fani gani, na umeanza kufanya nini?
JF kennedy wakati anawaambia waamerika atafika mwezini, he dreamed but his scientist made this happen...sio siasa au wishful thinking hela inatakiwa na bajeti ya bila kukata au kukoma iwepo
fidel castro wakati anawaambia wahandisi tutengeneze best turbines in the world hakuishia kusema alitoa hela..
brain need to think, contemmplate, relax, creativity...kukomaa mpaka unahisi umeibeba dunia, haya ukiwa na njaa hauwezi!!
bajeti mliyosoma mwaka jana bungeni as we speak leo hela ya maendeleo haijaenda wizara yoyote ile! ndio mseme sattelite wakati tooth pick hauwezi
hao wakenya wamefadhiliwa na wajapan!!.sio jela yao hawawezi kwa hela yao