Nairobi - Mambo aliyozingua Diamond -Simba- Dangote

Una utahira mkubwa sana kuuliza swali na kutaka ujibiwe jibu unalotaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na uyo mvuta bange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku izi wameanzisha kaujinga flani hivi, eti wanachukua chupa ya maji halafu wanawamwagia watu eti kupandisha mzuka... Kudadeki ukinimwagia maji napanda nawewe jukwaani jumla jumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ma vocal coach why wasiimbe wao wakatoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Msanii yoyote wa mbele anayeimba lazima awe na vocal tranner,kuna watu hawana vipaji vya kuimba ila ni wamejifunza darani,sisi TZ tunachukulia poa lakini pale Bagamoyo wapo mavocal trainer kibao wenye uwezo wa kumtraini mtu kuimba.

Sio kwenye kuimba tu hata kwenye michezo mbele kuna baadhi ya wachezaji (wengi wao ) wanakuwa na personal trainner wake wa kumtrainner mazoezi mbali mbali ,hizi training watu wanakaa darasani wanasomea .So usimuone Beyonce au Alicia Keys au R-kelly akiimba jua huku nyuma ana mtu wa kumtrain vocal na mtu wa kumtrain mazoezi ya kumaintain pumzi.

Ila Mondi wanamlaumu tu ila hawajui hamna kitu kikubwa na kigumu kama kuimba na kucheza kwa wakati mmoja ,alafu una mzungumzia mtu aliyepiga show 4 ndani ya siku 7 mfululizo,lazima pumzi itakata.
 
Na ndiyo maana Christian Bella anawazidi saana kwenye show zake kwa sababu pia no mwimbaji was bendi so kuimba hata bila vyombo haimpi shida!
 
Acha kutetea hawezi kuimba live
 
Na ndiyo maana Christian Bella anawazidi saana kwenye show zake kwa sababu pia no mwimbaji was bendi so kuimba hata bila vyombo haimpi shida!

Bella, papii kocha n. wako vizuri sana

tunatakiwa kuiga uwezo wao

akina beyonce, mariah carry, Neyo....wako vizuri sana Live.....

vibe la live ni zuri

kama wewe ndio umeimba mziki, kisha unaniita kwenye tamasha lako unajiwekea playback CD wewe wewe ambaye ndio uliouimba wimbo haipendezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…