Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mwingine yupo huku Tz tena amepewa ukatibu Mkuu wa chama
Mwingine yuko kule msimbazi anapiga domo.huyu mwingine yupo huku Tz tena amepewa ukatibu Mkuu wa chama
Mwingine yuko kule msimbazi anapiga domo.
mbona kuna wasomali ni raia halali wa Kenya iyo imekaaje?
Hii ilikuwa ni juzi ambapo ilibidi polisi watumie nguvu kuvuia wananchi waliokuwa wanaandamana kutaka wasomali wote wafukuzwe kenya kutokana na kuchoshwa na milipuko na utekaji watalii. JE TANZANIA TUNASUBIRI MPAKA HAWA WASOMALI WATULIPUE NDIO TUSHTUKE?
Tambueni kuwa hapo ni wivu tu maana islii ilikua eneo la chini haoa wasomali wameibadilisha kua eneo la kbiashara pia kenya ku mikoa 4 ya wasomali ss msihukumu tu kwa sababu ndg zao wanavita pia nahgalia
ogopa umasikini utalaumu hata kivuli chako mnyonge mnyongeni ila haki yake m[patieni
Aangalie asiangukeAjidhaniaye amesimama.................
Wasomali ni raia wa Kenya kama walivyo Wakisii,Wakale na wengineo kwa hiyo sio haki kuwa wafukuzwe,je waende wapi,ingekuwa ni Tz au UG ningekubaliana nawe sababu hatuna Wasomali ambao ndio asili yao kwa hizi nchi ,bali ni wahamiaji lakini si kwa Kenya,HAO MNAO MPAKA KUCHEEhawa Somalians ni watu hatari sana! Kenya imekuwa mwema kwao na kuwakaribisha sasa wanaivuruga nchi. Fukuzeni wote hao kabla Nairobi haijawa Mogadishu