Nairobi ranked 6th most wealthy city Africa after Durban, Cape Town, Cairo, Lagos and Johannesburg


Teh teh teh tihiii
not practically but theoretically.
 
Second world? Lower middle income economy, tena ni per capita ambazo ni mgawanyo wa fedha za uwekezaji. Dar unakaa wapi na Nairobi ulitembelea wapi?
Yeah thanks kwa taarifa lakini hiyo hiyo lower middle income si haba, sisi bado kidogo. Mkuu mi nakaa uswazi Chang'ombe,Tabata.
 
hizo moves ndo zipi mi sioni chochote zaidi ya kuhaha tu hapo padogo ndo tunapopataka sisi shikilia hako kagap kanakowapa kiburi mwanzoni walikuwa wanatutisha tisha na kiingereza chao eti na confidence utumbo mtupu tutaendelea kuchonga ngenga wakati huo huo tukijenga nchi yetu Tanzania iko na potentials bro trust me, we only need visionary leaders, results oriented
 
Yeah thanks kwa taarifa lakini hiyo hiyo lower middle income si haba, sisi bado kidogo. Mkuu mi nakaa uswazi Chang'ombe,Tabata.
Na Nairobi ulitembelea wapi?
 
Mwanza umepadharau and lakin nivile hakuna hata taarifa zake[emoji23]
 
Hehehe kituko, yaani Dar hata haipo kwenye kumi bora sasa sijui kitu gani watu hujibizana kule kwa Dar vs Nairobi
Mi hata kuna thread zengine hua siendi, kama hio ya Dar Vs Nairobi. Mi hua naona kuendelea ku comment kwa thread kama hio ni kujishusha hadhi, like seriously Dar vs Nairobi! Really????? WTF
 
Mi hata kuna thread zengine hua siendi, kama hio ya Dar Vs Nairobi. Mi hua naona kuendelea ku comment kwa thread kama hio ni kujishusha hadhi, like seriously Dar vs Nairobi! Really????? WTF

Should be Dar vs Mombasa
 
Hahahaha wewe kilaza umetokea wapi eti kenya ni nchi ya second World?!!?!? hujielewi kiufup kalale tu.
 
Welcome to Nairobi, the city that touches the clouds
 
Hahahaha wewe kilaza umetokea wapi eti kenya ni nchi ya second World?!!?!? hujielewi kiufup kalale tu.
Kuna jamaa kanielewesha kuwa ni lower middle income na akafafanua. We haujafafanua kitu.Kwa kifupi we ni mpumbavu tu
 
Mi hata kuna thread zengine hua siendi, kama hio ya Dar Vs Nairobi. Mi hua naona kuendelea ku comment kwa thread kama hio ni kujishusha hadhi, like seriously Dar vs Nairobi! Really????? WTF
Yes it should be like it's Kwan ww nani hasa ..Nbo imebadilika nn siku mbili hz? Pita hivi
 
The title should read, Kenyatta ranked 6th wealthiest in Africa after Durban, cape town, cairo, lagos and johannesburg
ona ujinga wako sasa...kenyatta ni city?
 
Na Nairobi ulitembelea wapi?
Teh teh sioni msingi wa kujibu hili, cuz naweza danganya na isisumbue. Focus katika kutueleza tumewazidi vipi labda tuna barabara nzuri zaidi yao,tuna makazi bora,vipato vya wakazi wa dar,huduma za afya,maji..., kuliko kutafuta personal details halafu uni attack kama Prof TzPowel. Maendeleo yetu kwa sasa naona kasi yake ni 80km/hr na mwisho kusafiri saa sita teh teh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…