Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Wewe mkikuyu huwa unamaneno balaa.Wewe ulisharogwa, huwa unakera mpaka kwenye mapumbu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mkikuyu huwa unamaneno balaa.Wewe ulisharogwa, huwa unakera mpaka kwenye mapumbu.
Dar ndio inayoongoza kwa usafi imeipita Nairobi according to WHONairobi haitoshani kama hio fishing village ya Dar. Malori mbili hayawezi tosha Nairobi.
Sasa hivi kuna 'modern' trucks lakini machache.
Inaongezwa pole pole. Priority ni kuondoa uchafu urgently.
Sasa Nairobi mbona ndio makapurwa sugu wa East Africa Dar ipo juu yenu thousandsLeta hiyo ripoti ya who. Leta tu. Bora isiwe ile ya Millard ayo au Mchuzi blogg.
Nai kwa uchaff haizidi Dar, manake Dar imeorodheshwa among the filthiest in the world.
Acha kupangia watu cha kupost hujamnunulia mtu bandoKama nimemuelewa mleta mada, kasema Nairobi chini ya uongozi wa gavana Mike Sonko itakuwa jiji safi zaidi duniani. Hajakataa kwamba Nairobi haikuwa chafu kabla, kwa hiyo sioni mantiki ya kuanza kubishana na kuleta mapicha humu. Waacheni Wana Nairobi wasafishe mji wao. Time will tell...
Tuhangaike na Dar Es Salaam yetu maana hata sisi tunayo matatizo yetu makubwa...
Nimeachana na yeye, hana la mno.Leta link wewe acha kutapatapa.
Dar ndio inayoongoza kwa usafi imeipita Nairobi according to WHO
Wewe una matatizo kwenye kichwa chako...Acha kupangia watu cha kupost hujamnunulia mtu bando
Mimi niliona dalili zamani kua Nairobi ita-slide nyuma wakati niliona Kidero anaingiliwa sana na chama chake kwa kukosa mikutano yao mingi ya kisiasa.Service delivery to taxpayers was 2nd to their interests.Nairobi slid so much backwards that Sonko may need like 2 years returning it to Gakuo era. All the best