Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

2f4ac5c43d566aabe4b24888a8dc9020.jpg

Uyo ni msee wa tz
hana pesa huyo alikuja huku kuzurura zurura ovyo....na ashukuru angekamatwa ....na polisi aliingia kinyemela ..
 
I see....

Mbaya sana hii aisee....
hawa jamaa ni watu wa sifa utasema miji yao yote ni clean kupindukia kumbe hamna kitu ni wataalaam wa kupiga picha city zao sehemu nzuri ili kenya ionekana ni bonge la nchi kumbe hamna kitu ....hyo ndyo tamaduni yao kwa kupiga picha city zao nawapa 100
 
hawa jamaa ni watu wa sifa utasema miji yao yote ni clean kupindukia kumbe hamna kitu ni wataalaam wa kupiga picha city zao sehemu nzuri ili kenya ionekana ni bonge la nchi kumbe hamna kitu ....hyo ndyo tamaduni yao kwa kupiga picha city zao nawapa 100
Hawa jamaa nawajua na nimeishi nao sana,hakuna kitu kabisa....

Watawatisha wasiowajua....
 
Mwanza hawana nondo wale...yani nadhani hadi arusha wanawazidi,sema papana na population is bit high...ns mzunguko wa hela ni mkubwa kuliko arusha

arusha wanazidi nini mwanza? au unaongeaongea
 
arusha wanazidi nini mwanza? au unaongeaongea
Achana naye huyo,kwanza hata Mwanza haijui au ndiyo wale wakienda Mwanza wanaishia kwenye Samaki anayetapika maji na kufikiri wameshaijua Mwanza.....

Ukiondoa Nairobi hakuna jiji au kijiji chochote kinachoifikia Mwanza huko kwao Kenya,waambie wanyamaze tu....
 
Achana naye huyo,kwanza hata Mwanza haijui au ndiyo wale wakienda Mwanza wanaishia kwenye Samaki anayetapika maji na kufikiri wameshaijua Mwanza.....

Ukiondoa Nairobi hakuna jiji au kijiji chochote kinachoifikia Mwanza huko kwao Kenya,waambie wanyamaze tu....
Ety mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanza
 
arusha wanazidi nini mwanza? au unaongeaongea
Usifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!
 
Kenya kuna watu wanaishi kama Si binadamu
wana shindikiza watu tu!!
Kila kona Slum
 
Usifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!
oy sisi tupo na tanzania na kenya na si kuishindanisha tanzania kwa tanzania..sawa
 
oy sisi tupo na tanzania na kenya na si kuishindanisha tanzania kwa tanzania..sawa
Nandio nilikua namjibu uyo anaesema mwanza kuna zidi arusha ajibambe...
akitokea mkenya anasema kisumu ni better kwa mombasa lazima wakenya wenzie wamjibu!!
tuendelee na topic
 
Usifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!
Hahahahaaaaa.....

Waijua Mwanza wewe?

23_big.jpg
 
Back
Top Bottom