Hahahahaaaaa......We have slums but we are upgrading them tz has many too but do nothing about it
Kenya Slum Upgrading Programme (KENSUP)
hana pesa huyo alikuja huku kuzurura zurura ovyo....na ashukuru angekamatwa ....na polisi aliingia kinyemela ..
Uyo ni msee wa tz
Back to the sender ujipange upyaI live in Dar es Salaam on a street with no name... but hey, you can always find me your slums have no names no pictures but you can't hide from the fact that dar 70% slum 30% cdd
I see....Back to the sender ujipange upya
Moroto Slums in mombasa Kenya
View attachment 495816 View attachment 495817 View attachment 495818 View attachment 495819
hawa jamaa ni watu wa sifa utasema miji yao yote ni clean kupindukia kumbe hamna kitu ni wataalaam wa kupiga picha city zao sehemu nzuri ili kenya ionekana ni bonge la nchi kumbe hamna kitu ....hyo ndyo tamaduni yao kwa kupiga picha city zao nawapa 100I see....
Mbaya sana hii aisee....
Hawa jamaa nawajua na nimeishi nao sana,hakuna kitu kabisa....hawa jamaa ni watu wa sifa utasema miji yao yote ni clean kupindukia kumbe hamna kitu ni wataalaam wa kupiga picha city zao sehemu nzuri ili kenya ionekana ni bonge la nchi kumbe hamna kitu ....hyo ndyo tamaduni yao kwa kupiga picha city zao nawapa 100
Mwanza hawana nondo wale...yani nadhani hadi arusha wanawazidi,sema papana na population is bit high...ns mzunguko wa hela ni mkubwa kuliko arusha
Achana naye huyo,kwanza hata Mwanza haijui au ndiyo wale wakienda Mwanza wanaishia kwenye Samaki anayetapika maji na kufikiri wameshaijua Mwanza.....arusha wanazidi nini mwanza? au unaongeaongea
Ety mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanzaAchana naye huyo,kwanza hata Mwanza haijui au ndiyo wale wakienda Mwanza wanaishia kwenye Samaki anayetapika maji na kufikiri wameshaijua Mwanza.....
Ukiondoa Nairobi hakuna jiji au kijiji chochote kinachoifikia Mwanza huko kwao Kenya,waambie wanyamaze tu....
Usifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!arusha wanazidi nini mwanza? au unaongeaongea
Bado unaonesha pua yako siyo!!?Ety mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanza
ha haaa nakucheka kwa dharau...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23]Ety mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanza
Chriss Brown ndiyo kipimo chako?Ety mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanza
oy sisi tupo na tanzania na kenya na si kuishindanisha tanzania kwa tanzania..sawaUsifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!
Tulia nikugonge misumari ya mwanza kisha urudi kwenu na kuwasimulia rafiki zakoEty mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanza
Nandio nilikua namjibu uyo anaesema mwanza kuna zidi arusha ajibambe...oy sisi tupo na tanzania na kenya na si kuishindanisha tanzania kwa tanzania..sawa
Hahahahaaaaa.....Usifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!
Mkuu nimecheka hadi machozi....Kenya kuna watu wanaishi kama Si binadamu
wana shindikiza watu tu!!
Kila kona Slum
Let me laugh! Hahahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu huijui Tanzania ww! Keep your stinky mouth shut. Eldoret na Nakuru ni kama Morogoro na Dodoma tu.Ukitoa Dar hapo hakuna city inafikia Eldoret ama Nakuru