Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Mwanza The Rock City. Kama hujui kitu ndugu uliza uambiwe
 
Why not discuss Africa for a change? How 50 years plus since the white man left we are still asking for food aid of all the things? How we black Africans still afford AK 47s but can't send our own to school? How we still feel proud killing our own? How we still “worship“ the White man? How amidst plenty we are still hungry.. Backward.. Bitter.. Thirsty.. How 50 yrs after independence we can't even make spoons without depending on technology from distant lands.. Does magorofa contest answer any of that?
 
Chriss Brown ndiyo kipimo chako?
Wewe Mombasa ni the biggest port in Africa outside SA
Mombasa ina 5 star hotels mingi
Mombasa GDP ni about $7 b...unaniambia mwanza...uko na kichaa
 
We unaelewa unachoambiwa unazungumzia port wakat unaambiwa city punguza wenge na utulize akili Tanzania kuna port 4 na zote zinafanya kazi so utumie akili
Bandari ya Mombsa inatia maji bandari izo zenu zote 4
 
Mlete mapicha za mwanza niwasibishe papa hapa
Mlete izo picha za mwanslum haraka..
 
Twende kazi maana wewe umeanza mimi namaliza kabisa
Kambi Kikuyu Slums in Mombasa Kenya
View attachment 495813 View attachment 495814 View attachment 495815
Izi posti nimefutulia zote nimewahi fika Nairobi ila pale town pali nistua kidogo nilifanya matembezi kidogo tu nikafika sehemu inaitwa gikombaa kha nilishangaa sana palivyo pa ajabu matope kila mahali mji upo sehemu ndogo sana ila sehemu kubwa ni watu maskini wakutupwa , Kenya inatia haibu watu wanaishi ivi kama wanyama
 
Wewe Mombasa ni the biggest port in Africa outside SA
Mombasa ina 5 star hotels mingi
Mombasa GDP ni about $7 b...unaniambia mwanza...uko na kichaa
hujajibu swali nililokuuliza,ulizungumza kuhusu Chriss Brown kulipwa Us Dollar kuwa ndiyo kipimo cha mji wa Mombasa,sasa nakuuliza huyo jamaa ndiyo kipimo chako?

Hayo mengine tutayajadili na huo uongo wako utakukwama kooni,jibu swali kwanza acha pupa kijana.....
 
Ety mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanza

NE-YO alilipwa usd1.7 million kuperform ndan ya Rocky City MWANZA, unaniambia nini?
 
NE-YO alilipwa usd1.7 million kuperform ndan ya Rocky City MWANZA, unaniambia nini?
Mkuu achana naye huyo,anatumtumia Chriss Brown kama kipimo cha mji wa Mombasa....

Hahahahaaaaaa.....

Hapa hata hujamtaja Shaggy na wengine kibao....
 
Usifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!

utalii?! hata unguja, Mara, manyara, kilimanjaro kuna utalii kuliko Mwanza lakin bado mwanza inachapa fimbo, sasa hako kaarusha kako unavyokakinga kwenye utalii ndo unafiri katazidi mwanza!! jipange
 
utalii?! hata unguja, Mara, manyara, kilimanjaro kuna utalii kuliko Mwanza lakin bado mwanza inachapa fimbo, sasa hako kaarusha kako unavyokakinga kwenye utalii ndo unafiri katazidi mwanza!! jipange
Poa, tufanye umeshinda!!
 
Bandari ya Mombsa inatia maji bandari izo zenu zote 4
Unaakili mbovu sana wewe kumbe nenda kasome bandari NNE za bongo vizuri usichukulie mambo juu juu tu tanga port,dar port,mtwara port, na Zanzibar port kasome vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…