COLLOH-MZII
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 722
- 297
Is this a city...u can't compare this to kisiiBado unaonesha pua yako siyo!!?
Rock City. Mwanza Muziki wake utauweza!!?
View attachment 495825 View attachment 495826 View attachment 495827 View attachment 495828 View attachment 495829
Unacheka nini sasa?ha haaa nakucheka kwa dharau...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23]
Bado unakunywaga chang'aa. Kuna Castle hazileweshi sana hebu jaribu leo uoneThose are which cities...its only Zanzibar&arusha that are famous.. Zingine ni cities kwa standard zenu ziipimanishwa na za Kenya zitakua za mwisho
Wewe Mombasa ni the biggest port in Africa outside SAChriss Brown ndiyo kipimo chako?
Tulia nikugonge misumari ya mwanza kisha urudi kwenu na kuwasimulia rafiki zako
Mwanza hiyoooo!!!
View attachment 495837 View attachment 495838 View attachment 495840
Bandari ya Mombsa inatia maji bandari izo zenu zote 4We unaelewa unachoambiwa unazungumzia port wakat unaambiwa city punguza wenge na utulize akili Tanzania kuna port 4 na zote zinafanya kazi so utumie akili
Izi posti nimefutulia zote nimewahi fika Nairobi ila pale town pali nistua kidogo nilifanya matembezi kidogo tu nikafika sehemu inaitwa gikombaa kha nilishangaa sana palivyo pa ajabu matope kila mahali mji upo sehemu ndogo sana ila sehemu kubwa ni watu maskini wakutupwa , Kenya inatia haibu watu wanaishi ivi kama wanyamaTwende kazi maana wewe umeanza mimi namaliza kabisa
Kambi Kikuyu Slums in Mombasa Kenya
View attachment 495813 View attachment 495814 View attachment 495815
hujajibu swali nililokuuliza,ulizungumza kuhusu Chriss Brown kulipwa Us Dollar kuwa ndiyo kipimo cha mji wa Mombasa,sasa nakuuliza huyo jamaa ndiyo kipimo chako?Wewe Mombasa ni the biggest port in Africa outside SA
Mombasa ina 5 star hotels mingi
Mombasa GDP ni about $7 b...unaniambia mwanza...uko na kichaa
Mlete mapicha za mwanza niwasibishe papa hapa
Mlete izo picha za mwanslum haraka..
Ety mwanza...haha Chris brown alilipwa $1 million a perform Mombasa unaniambia mwanza?...what is mwanza
Mkuu achana naye huyo,anatumtumia Chriss Brown kama kipimo cha mji wa Mombasa....NE-YO alilipwa usd1.7 million kuperform ndan ya Rocky City MWANZA, unaniambia nini?
Usifananishe arusha na mwanza,utalii kwa ujumla unazungumzia arusha, hotels zakibabe arusha, real estate zilizopo arusha mwanza mtangoja sana!!
Poa, tufanye umeshinda!!utalii?! hata unguja, Mara, manyara, kilimanjaro kuna utalii kuliko Mwanza lakin bado mwanza inachapa fimbo, sasa hako kaarusha kako unavyokakinga kwenye utalii ndo unafiri katazidi mwanza!! jipange
Unaakili mbovu sana wewe kumbe nenda kasome bandari NNE za bongo vizuri usichukulie mambo juu juu tu tanga port,dar port,mtwara port, na Zanzibar port kasome vzrBandari ya Mombsa inatia maji bandari izo zenu zote 4