Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Huwa sipendi matusi aisee!!
Wewe toa Hoja zako vizuri
mimi najiamini
kile ninacho kitoa kipo sawa
unapo anza kutukanana unaenda kwingine
Matusi iko wapi hapo sasa unaanza propaganda za ujinga eti unga ni 200 sehemu zingine Kenya..iyo si ni ufala
 
Wewe hata nchi yako huijui!!
Nikuulize bei ya petroli Mombasa ni sawa na kisumu!!

umesha fika Kakuro?
au Lokitaung
Jitulize wewe
Usikurupuke
Petroli ni cheap Mombasa juu refinery iko huko..na ni different na kisumu juu ya pipeline..kwa unga kuna kiwanda ya unga karibu kila major city..so assumptions zako za kijinga jiieke
 
Outering interchange with Jogoo road underway.....the longest underpass in the city will also be along outering highway
63ad3ab47396b86c397c8c90cfb8881a.jpg
b28e9df7575edb2e7b5445364a13c100.jpg
964a2206013af6e5d7a75cfbcc20ef79.jpg
47271d7f7dfef1e07b6468792b2c7e7c.jpg
6b6683e34c164a1dbebacf0f5de02090.jpg
 
Petroli ni cheap Mombasa juu refinery iko huko..na ni different na kisumu juu ya pipeline..kwa unga kuna kiwanda ya unga karibu kila major city..so assumptions zako za kijinga jiieke
Ndio maana nikakueleza wewe hata nchi yako huijui

Mimi nimezunguka hiyo kenya kwenye mihadhara ya dini sana.
unga wa viroba upo mijini
lakini maeneo ya Lokitaung kule wanasaga wenyewe Mahindi
nakuuziana kupitia makopo
tena kama unajua makopo ya paracetamal hayo ndiyo hutumia kuuziana kama kilomoja.
Sasa kuna watu tunawasiliana nao mpaka sasa kule
wanadai hali nimbaya
chakula shida
hicho kikopo ni 153Ksh muda huu wa mavuno
na mvua wanasema hakuna kabisa japo ni eneo la jagwa
ndio hali imezidi kabisa.

Wakati watu wa Arusha wakilalamika Unga juu
Kigoma maeneo ya Mgambo huko
1kg ni 700 Tsh ya unga wa mahindi
Unga wa muhogo ni 1kg =300tsh
 
Ndio maana nikakueleza wewe hata nchi yako huijui

Mimi nimezunguka hiyo kenya kwenye mihadhara ya dini sana.
unga wa viroba upo mijini
lakini maeneo ya Lokitaung kule wanasaga wenyewe Mahindi
nakuuziana kupitia makopo
tena kama unajua makopo ya paracetamal hayo ndiyo hutumia kuuziana kama kilomoja.
Sasa kuna watu tunawasiliana nao mpaka sasa kule
wanadai hali nimbaya
chakula shida
hicho kikopo ni 153Ksh muda huu wa mavuno
na mvua wanasema hakuna kabisa japo ni eneo la jagwa
ndio hali imezidi kabisa.

Wakati watu wa Arusha wakilalamika Unga juu
Kigoma maeneo ya Mgambo huko
1kg ni 700 Tsh ya unga wa mahindi
Unaga wa muhogo ni 1kg =300tsh
MTanzania mwenyewe amesema kilo ni sh 1500 za uko kwenu...then kuzunguka Kenya hilo ni uwongo...we huona Kenya online 2.
 
MTanzania mwenyewe amesema kilo ni sh 1500 za uko kwenu...then kuzunguka Kenya hilo ni uwongo...we huona Kenya online 2.
Hahaha Pole sana
bahati mbaya umeingia jf juzi tu
kuna mwenzie alibisha hivi hivi
nikapiga picha nipo Voi naelekea Mombasa kumueleza nipo kenya.
Shida yako unadhani Kenya ipo Kuzimu sijui!!
Mpaka sasa timu ya watanzania na wakenya ipo Buchuma Juzi walikuwa mwatate nilikuwa nijumuike nao
lakini Sikupata nafasi hiyo.
Na Tarehe 2 wata unguruma Mombasa kwa muhadhara mkubwa sana
 
Wakenya wanakula jeuri yao mana wanaona wanatiwa kidole kila siku na the true giant of east Africa mana mpaka prime minister wa Ethiopia kakubaki hilo kuwa kwa sub Saharan countries after SA hawana pa kujifunza zaidi ya the real conquerer of EAC Tz
 
Tz nchi ya kwanza Africa kuvusha jeshi lake mpaka kwenda nchi nyingine na kushinda vita, na imefanya hivyo commoro na Congo haha
 
Kenya wameiga somalia hapo kwa wavaa yeboyebo wametolewa kamasi aka kweli what Kenya leads in Africa is only tribalistic propaganda na sifa za kijinga na wizi wa vitu visivyohamishika hahahah
 
Bongo tamu maana kila wanapogusa pamoto hahhahahahahhahaa😀😀😀
 
Back
Top Bottom