Petroli ni cheap Mombasa juu refinery iko huko..na ni different na kisumu juu ya pipeline..kwa unga kuna kiwanda ya unga karibu kila major city..so assumptions zako za kijinga jiieke
Ndio maana nikakueleza wewe hata nchi yako huijui
Mimi nimezunguka hiyo kenya kwenye mihadhara ya dini sana.
unga wa viroba upo mijini
lakini maeneo ya Lokitaung kule wanasaga wenyewe Mahindi
nakuuziana kupitia makopo
tena kama unajua makopo ya paracetamal hayo ndiyo hutumia kuuziana kama kilomoja.
Sasa kuna watu tunawasiliana nao mpaka sasa kule
wanadai hali nimbaya
chakula shida
hicho kikopo ni 153Ksh muda huu wa mavuno
na mvua wanasema hakuna kabisa japo ni eneo la jagwa
ndio hali imezidi kabisa.
Wakati watu wa Arusha wakilalamika Unga juu
Kigoma maeneo ya Mgambo huko
1kg ni 700 Tsh ya unga wa mahindi
Unga wa muhogo ni 1kg =300tsh