COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi bei ya mchele na unga Kenya kwasasa ni sh. NgapiFighting malnutrition and hunger in Tanzania post hunger Kenya kama haiko Tz
acha uongo apa.....Mombasa gani yenye kumejaa decoder za azam?pengine Mombasa ya bongo.001 kumejaa startimea na gotvWauliize wanaoishi mombasa watakuambia hehehehe
Sasa hadi unajua bei ya unga Kenya..waah nyinyi mnaudaku kweli....but at a ikiwa ivo an average Kenyan is 3 times richer than a TanzanianHivi bei ya mchele na unga Kenya kwasasa ni sh. Ngapi
mimi hapa Nipo Urambo Tabora kwa sasa
Unga 1kg=1500tsh
mchele1kg=1400tsh
Ofisi za azam zilifunguliwa msa lakini Ni venye amekuambia kitu kinachoangaliwa sana huku ni Gotv, star times, Bamb tv, DSTV na kadhalika. Azam is not very popular ata hiskiski.Wauliize wanaoishi mombasa watakuambia hehehehe
Kha!! wewe umezukia wapiSasa hadi unajua bei ya unga Kenya..waah nyinyi mnaudaku kweli....but at a ikiwa ivo an average Kenyan is 3 times richer than a Tanzanian
Hatujaachana sana.Hivi bei ya mchele na unga Kenya kwasasa ni sh. Ngapi
mimi hapa Nipo Urambo Tabora kwa sasa
Unga 1kg=1500tsh
mchele1kg=1400tsh
Kenya kilo moja in sh75 which is 1400 and its way cheapKha!! wewe umezukia wapi
mbona una mizuka hivyo!!
mimi sijui lolote la kenya
hiyo ni Tz
Nimeuliza ni Sh NgapiHatujaachana sana.
Nyinyi mnaboo fact ni fact mko chini ya kenyaNimeuliza ni Sh Ngapi
maana kasema Kwetu kuna njaa
labda wa plasticKenya kilo moja in sh75 which is 1400 and its way cheap
Unga kilo mbili ni kati ya 145kshs na 150kshs. Ukifanya hayo mahesabu utaona bei ya unga kati hizi nchi zetu mbili hazijaachana na mbali.Nimeuliza ni Sh Ngapi
maana kasema Kwetu kuna njaa
Wacha kumdanganya weweUnga kilo mbili ni kati ya 145kshs na 150kshs. Ukifanya hayo mahesabu utaona bei ya unga kati hizi nchi zetu mbili hazijaachana na mbali.
Utamdanganya mpuuziKenya kilo moja in sh75 which is 1400 and its way cheap
Huyo anaishi kijinilabda wa plastic
2kg ndio sh150 sasa 1kg si ni sh75.yenu kilo moja ni tsh 1500 sasa tofauti ni nini acha ufalaUtamdanganya mpuuzi
lakini hapo mwanzoni mwa mwezi huu ilikuwa 153ksh unga
na Kwasasa ni 170 ksh
sawa na 3700Tsh
Mwaka huu watu wanalia lia Tanzania
lakini unga haujafikia hata 80ksh
upo kwenye 70-72ksh
Unga Kenya ni sh 150 so eti sehemu zingine za Kenya ni Kenya yote hii propaganda za ujinga itakusaidiaje? na serikali imeipungua ikue sh130...per 2kg yenu nimeona kilo moja ni Tsh 1500/20 = 75 ksh per kiloHuyo anaishi kijini
sasa lazima aseme hivyo
Walioko Nairobi na Mombasa
wanalia
Hujaenda kule North Horr ,Lokitaung,Kakuro
kule ndio njaa yakufa mtu
niliambiwa unga umefika 200Ksh!!
Huwa sipendi matusi aisee!!2kg ndio sh150 sasa 1kg si ni sh75.yenu kilo moja ni tsh 1500 sasa tofauti ni nini acha ufala
Wewe hata nchi yako huijui!!Unga Kenya ni sh 150 so eti sehemu zingine za Kenya ni Kenya yote hii propaganda za ujinga itakusaidiaje? na serikali imeipungua ikue sh130...per 2kg yenu nimeona kilo moja ni Tsh 1500/20 = 75 ksh per kilo