COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Matusi iko wapi hapo sasa unaanza propaganda za ujinga eti unga ni 200 sehemu zingine Kenya..iyo si ni ufalaHuwa sipendi matusi aisee!!
Wewe toa Hoja zako vizuri
mimi najiamini
kile ninacho kitoa kipo sawa
unapo anza kutukanana unaenda kwingine
Petroli ni cheap Mombasa juu refinery iko huko..na ni different na kisumu juu ya pipeline..kwa unga kuna kiwanda ya unga karibu kila major city..so assumptions zako za kijinga jiiekeWewe hata nchi yako huijui!!
Nikuulize bei ya petroli Mombasa ni sawa na kisumu!!
umesha fika Kakuro?
au Lokitaung
Jitulize wewe
Usikurupuke
Ndio maana nikakueleza wewe hata nchi yako huijuiPetroli ni cheap Mombasa juu refinery iko huko..na ni different na kisumu juu ya pipeline..kwa unga kuna kiwanda ya unga karibu kila major city..so assumptions zako za kijinga jiieke
MTanzania mwenyewe amesema kilo ni sh 1500 za uko kwenu...then kuzunguka Kenya hilo ni uwongo...we huona Kenya online 2.Ndio maana nikakueleza wewe hata nchi yako huijui
Mimi nimezunguka hiyo kenya kwenye mihadhara ya dini sana.
unga wa viroba upo mijini
lakini maeneo ya Lokitaung kule wanasaga wenyewe Mahindi
nakuuziana kupitia makopo
tena kama unajua makopo ya paracetamal hayo ndiyo hutumia kuuziana kama kilomoja.
Sasa kuna watu tunawasiliana nao mpaka sasa kule
wanadai hali nimbaya
chakula shida
hicho kikopo ni 153Ksh muda huu wa mavuno
na mvua wanasema hakuna kabisa japo ni eneo la jagwa
ndio hali imezidi kabisa.
Wakati watu wa Arusha wakilalamika Unga juu
Kigoma maeneo ya Mgambo huko
1kg ni 700 Tsh ya unga wa mahindi
Unaga wa muhogo ni 1kg =300tsh
Propaganda ipi!!Matusi iko wapi hapo sasa unaanza propaganda za ujinga eti unga ni 200 sehemu zingine Kenya..iyo si ni ufala
Nyinyi ni maskini lazima bei ikue chiniPropaganda ipi!!
Kenya kila mwaka chakula kipo juu kuliko Tanzania
Hahaha Pole sanaMTanzania mwenyewe amesema kilo ni sh 1500 za uko kwenu...then kuzunguka Kenya hilo ni uwongo...we huona Kenya online 2.
Somalia chakula kipo juu ya kenyaNyinyi ni maskini lazima bei ikue chini
Somalia chakula kipo juu ya kenyaNyinyi ni maskini lazima bei ikue chini
Somalia ni juu ya insecurity tafuta example ingine..Somalia chakula kipo juu ya kenya
Wao ni Matajiri ninyi ni masikini sawa.
Povuuuuuuuuuuuu ahaahahhhahahaha sijui pasaka mumekula vp na njaaHujielewi
Kama sijafika vile hahahhhhahahahh nimekaa sana nina jamaa kibao utanieleza nn weweacha uongo apa.....Mombasa gani yenye kumejaa decoder za azam?pengine Mombasa ya bongo.001 kumejaa startimea na gotv
Hahahhahahahaha haya msikie huyu njaa mbaya hahahahhahahahahNyinyi ni maskini lazima bei ikue chini
Kwa maana nyie ndio munayo security hio 😀😀😀😀😀😀😀😀😀Somalia ni juu ya insecurity tafuta example ingine..