Fatilia Kwanzaa ndugu... Kuna comment nime-quote kuanzia chanzo hadi comment ya mwisho. So please, use your own advice.kama kweli wew ni mtanzania ungesoma vizuri chanzo kilipo anzia mpaka kufikia hapo....usingekuruka kuongea hivyo hapa bwana kama kizuri kinasifiwa na kama kitu cha sifa tu huwa tunapingana .....ivyo upo wrong ndugu hakuna aliyekurupuka ungeanza na chanzo cha comment au ungeingia kwa kuuliza kijanja
Toa britam na nairobi golf kwenye list na under construction buildings yoyote toa tuendelee siuntaka tuendelee hehehheheheheheFatilia Kwanzaa ndugu... Kuna comment nime-quote kuanzia chanzo hadi comment ya mwisho. So please, use your own advice.
Mm nakwambia hawa hawatoboi over 20 na below 20 hakuna sehemu wanatoka kwa darKabla ya kuingia Upanga pale
kwanza waondoe majengo hayaja kamilika
pia majengo 2 wameongeza Floor
Una quoty quoty tu? Mi sio NairobiWalker na wala sio mkenya.Fatilia Kwanzaa ndugu... Kuna comment nime-quote kuanzia chanzo hadi comment ya mwisho. So please, use your own advice.
Itoke britam itoke na nairobi golf hotel na any building ambayo iko under construction kabla hatujawaumbua humu, alafu unajua maana ya kujenga nchi ya viwanda, do u knw the meaning??? Soma utaelewa tuMie na wapa tanzania hiyo building wanataka iwe 40 nasema ni 45 floors, Ichoboy hapo sawa kabisa? na Britam iondolewe sasa, piga hesabu tuone.., kisha endeleeni sasa wacha domo, facts, kama vile ilivyo bainika 8 million slum dwellers wako tz and 6 million wako kenya, tofauti ya 2m., kenya ina mikakati ya kuondoa hili janga na kazi imeanza, tz je? pombe ana plan gani kusaidia walala hoi?
Hilo jengo kwanza si fl 33Mm nakwambia hawa hawatoboi over 20 na below 20 hakuna sehemu wanatoka kwa dar
Ndio maana mambo yao hua yamekaa kuijanja ujanja tu maneno mengi sifa kibao
Yataje ikiwezekana tuhesabu manually kama vp.Kabla ya kuingia Upanga pale
kwanza waondoe majengo hayaja kamilika
pia majengo 2 wameongeza Floor
Tuanze na hilo lakwanzaYataje ikiwezekana tuhesabu manually kama vp.
Toa britam, toa nairobi golf tuendeleeYataje ikiwezekana tuhesabu manually kama vp.
Rekebisheni tuendelee heheheheheeYataje ikiwezekana tuhesabu manually kama vp.
lemac kasema ni 26fl wapi!!Yataje ikiwezekana tuhesabu manually kama vp.
Hata Lemac bado haija kamilikaToa britam, toa nairobi golf tuendelee
Read the instructions Mr. ExcusesNiliuliza britam limekamilika?Au liko topped out
Ukitaka kuhesabu hilo jengo vzr baba kwanza hesabu zile floor za left ziko sita alafu nyosha mstari uhesabu za right alaf uone kama hazifiki 40 hahahhahahah
Alaa very good kumbe ulikua unahesabu na under construction buildings sawa tuanze upya mimi na wewe ryt nowRead the instructions Mr. Excuses
Nimekwambia left ni mpaka 6 alafu nenda right sasa uendelee hehehhehee unafkiri utatoka hapa hutoki nakwambiaView attachment 497581 kwikwikwikwi.....
Kumbe alikua anataka na under construction buildings nimemwambia tuanze upya hehehehe alafu tuone kama atatoka humu heheheheheHata Lemac bado haija kamilika
Unajua nilishangaa hawa kuchagua mtu asiye fahu historia ya hawa wakenya
niwapenda sifa sana
hupenda kuongeza Yakwao ili waonekane Wapo juu kumbe hovyo.
Kenya nzima majengo yaliyo kamilika lakwanza ni 31fl
Kuanzia 20+ Yapo 14 pekee nchi nzima