KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
40ivi kaka kuona floor ngap vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
40ivi kaka kuona floor ngap vile
Typical tanzanian ...hujafika mji wowote na usitudanganyeTuma picha bas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya kuna miji kibao nimefika
Umesahau ZanzibarArusha, Dar es salaam, Mbeya, Mwanza na Tanga. Kuna miji soon itakuwa cities, Dodoma, Morogoro na Shinyanga
Kisii nimefikaTypical tanzanian ...hujafika mji wowote na usitudanganye
So umefika kisumu bila kupitia nakuru!!ama ulienda by air!! Unaona huu ujinga ..ati umefika kisumu lakini nakuru bado ...ulipitia njia gani?Kisii nimefika
Nairobi nimefika. Migori nimefika. Kisumu nimefika. Sirali nimefika.
Na miji kibaoo.
Cjafika Nakuru lamu na Mombasa
Besides mko vizuri kwa kilimo
Tz mji ambao cjafiki ni Tanga na Lindi na mtwara
Mji nilioupenda besides Nirobi kwa kenya ni Kisii maana kamji kadogo ila biashara inatembea kwa kasi sana
Ila Kisumu imezidiwa na mwanza tena mbali2
Kibaya ni kuwa weTanzanians hatupigipigi picha
Fungua thread twende kazi mm hua siongei sana hehhehhhhehhehehe naona unahamu kujua cities za bongo twende kazi hakuna porojoKisumu is the biggest city in lake Victoria..take that to the bank...labda mwanza kwa population but kwa development pole
Ivi unajua maana ya kufika?????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]So umefika kisumu bila kupitia nakuru!!ama ulienda by air!! Unaona huu ujinga ..ati umefika kisumu lakini nakuru bado ...ulipitia njia gani?
We kama unajiamini fungua thread twende kazi naona unaongea sana weweIzo macity bila dar hakuna enye inachapa Eldoret![]()
![]()
Dar kitu gani? Cheki hii slum ya Eldi vile kunakaa
![]()
Omera.......let us fly to Eldy!
Povuuuuuuu zimewakamata hahhahahahahahhahahakuna suburbs in darislum, toka tu kwa c.b.d hivi upate mshtuko.
Halaff kwa akina Sammuel999 huku, Kisii ni kutamm aisee!
Kisii Town
Nifungue hii thread ama nisifungue?
![]()
![]()
![]()
![]()
Sam......nyinyi mko serious aisee. Sisi watu wa Ksm tumelala.
Is kisumu a city hehehehehhrhe acheni vituko basi kueni serious😀😀😀😀Nairobi ,mombasa ,nakuru ,eldoret , kisumu,kericho,kiambu,nyeri ...etc ...kma huijui kenya fyata mdomo na uende ufanye research ...
Hiyo haifikii kisumu nusuTulia hivyoivyo sindano ikuingie
Hii ni mwanza![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ningekuwa mwanza ningeongeza mijengo
![]()
Jaribu sasa uone fungua thread maneno mengi ya nini sasa hahhahhaha unaongea sana fungua thread tuingie mzigoni alafu uone sasa hehehehhehehehehehThose are which cities...its only Zanzibar&arusha that are famous.. Zingine ni cities kwa standard zenu ziipimanishwa na za Kenya zitakua za mwisho
Fungua thread sasa mbona maneno mengi sana hahahhaahahhahah uone joto la jiweHiyo haifikii kisumu nusu
Ulijaribu kuanza mwanza ..Mombasa ukalemewa ukaanza kusema nyali bridge haiko Mombasa wewe haunaga cha maanaWe kama unajiamini fungua thread twende kazi naona unaongea sana wewe
Haifiki kisii ata 1/4 iyo