Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua thread twende kazi hahahahahhaha unajifnya muongeaji sana twende kazi hahahhahahhahaahhahaHaifiki kisii ata 1/4 iyo
Nlianisha Eldoret mwanza wacha niifufue na ujue Eldoret kuna bonge la jengo..26 floors sijui utaitafuta wapi hiyo..naifufua saiFungua thread twende kazi hahahahahhaha unajifnya muongeaji sana twende kazi hahahhahahhahaahhaha
Itafute twende kazi hakuna shida maneno mengi yanini naisubiriaNlianisha Eldoret mwanza wacha niifufue na ujue Eldoret kuna bonge la jengo..26 floors sijui utaitafuta wapi hiyo..naifufua sai
Akili zao hua wanawaza tuko 90s na tumetumia miaka 10kujenga kila pembe ya Tanzania heheheh aguse kokote aone bakora yakeIla Tanzania inaendelea mweeh magorofa kwa sisi tunaoishi bongo utazania uyoga , ma mall sasa utazani sifa daah , Tanzania is a promising future!!
Yani ukubwa wa bongo wachuku nairobi mombasa na kisumu bado hawaingii ndani mm nakwambia hehehheheheh yani bongo watu wanajengea sifa hahhahhahahUjue wakenya wanapewa propaganda kuhusu bongo wakati hawajafika hilo ni tatizo, ila sisi watz tubadikike sasa tuwe aggressive kujitangaza mana wakenya tumewazidi vitu vingi lakini wanatake advantage kwa kuzubaa kwetu tubadilike
Msee Mombasa is in the mixMatured cities are only Dar and Nai
Mombasa somehow Ila nadhani umeshanielewa,wala sikua na lengo la kudown other citiesMsee Mombasa is in the mix
Si ati Mombasa somehow..the 2nd biggest port in Africa after Durban south Africa unasema somehowMombasa somehow Ila nadhani umeshanielewa,wala sikua na lengo la kudown other cities
Sibishani na wewe bana!Si ati Mombasa somehow..the 2nd biggest port in Africa after Durban south Africa unasema somehow
Eeh fact ibaki fact MSA ligiSibishani na wewe bana!
Mombasa raha sio?[emoji16][emoji16]Eeh fact ibaki fact MSA ligi