Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

SGR yetu iko ready yenu hamjaanza
Agriculture Kenya ni leading tea,coffee,milk,flowers etc nyinyi hakuna ki2 mnalead
So hakuna kenye mnachapa Kenya ni population pekee na land sizs
2.5 yrs imagine electric train with 6 stations 6 interchange and tunnel path in each mountain where railway will pass 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 .......kuleni flowers sasa kwanini mutangaze njaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
unapozungumzia agriculture kwa tanzania utasubiri sana, tanzania ndio inalisha chakula nchi zote east and central africa
 
2.5 yrs imagine electric train with 6 stations 6 interchange and tunnel path in each mountain where railway will pass 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 .......kuleni flowers sasa kwanini mutangaze njaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
unapozungumzia agriculture kwa tanzania utasubiri sana, tanzania ndio inalisha chakula nchi zote east and central africa
Nakuru kuna 4 interchanges constructed Nairobi ni +25 interchanges...sgr yenu itakua ka bagamoyo 2..so lete vi2 za 2017 si za 2020.
 
SGR yetu iko ready yenu hamjaanza
Agriculture Kenya ni leading tea,coffee,milk,flowers etc nyinyi hakuna ki2 mnalead
So hakuna kenye mnachapa Kenya ni population pekee na land sizs
coffee hata huku ipo na kuhusu milk yapo yakutosha......msosi ndyo kabisa msiguse nyie fanyeni kilimo cha mauwa sisi huku tunafanya kilimo cha chakula wakenya si mnakula mauwa mnashushia na coffee safi sana endeleeni na hiko kilimo
 
Nakuru kuna 4 interchanges constructed Nairobi ni +25 interchanges...sgr yenu itakua ka bagamoyo 2..so lete vi2 za 2017 si za 2020.
HEHEHEH SGR ya bongo tunazungumza na morocco sio wewe 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
we kazana kwanza😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Hii ni outering super highway from thikaroad to Jkia
458456c53d8b7a9c9f13d4272bdd79b9.jpg
5c2cd12df41ecb33c842ada81950cb23.jpg
c2e7d185603614582c1b3d16f9cd2a67.jpg
cb0dacc9c46aa83bd0cc6f3d7405853f.jpg
 
Utazungumza vp maendeleo bila kuihusisha siasa,? Yote ya yote Kenya is far ahead comparing to tz, wanetuzid kwa vitu Vingi , tuache unafiki
vitaje kama wewe unavojua chuki zako za siasa utuletee hapa kisa wewe chadema
 
coffee hata huku ipo na kuhusu milk yapo yakutosha......msosi ndyo kabisa msiguse nyie fanyeni kilimo cha mauwa sisi huku tunafanya kilimo cha chakula wakenya si mnakula mauwa mnashushia na coffee safi sana endeleeni na hiko kilimo
Sisi tuna export ..Kenya is the leading black tea producer in the world...flower pia tukoleading mko na kazi man
 
HEHEHEH SGR ya bongo tunazungumza na morocco sio wewe 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
we kazana kwanza😀😀😀😀😀😀😀😀
Mjenge kwanza..kwanza yenu after 2.5 years ni 300 km pekee yetu ni 609 km completed tayari
 
Back
Top Bottom