Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Wakenya hamna ata akili, hvi unajua maana ya uswazi?? Uswazi imetokana na neno uswahilini boya wew haimaanishi ndo kupo kama kibera bala watu waishio mazingira hayo ni waswahili yenye maana kuwa mambo yao na shughuli zao ni tofauti na maeneo ya kishua
Nairobi yenyewe inaingia mara mbili kwa Dar ,halafu unasema nairobi kuna magari mengi aki akili kweli si kila mtu anazoWewe unadhani Nairobi iko na magari mbili kama Dar is slum?
Now Dar against newyork???Kula hyo kwanza[emoji116][emoji116][emoji116]..halafu ujue ukubwa wa jiji sio kigezo cha maendeleo..bali sana sana ni umaskini mtupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1199451View attachment 1199452
Wa Tz mnakuwa na umama, ebu ni show place unayo stay hapo Dar. Sai nipo Kisumu, huku ma taxi ni ma bikes.View attachment 1198986
Hata nairobi nayo haina uwanja wa ndege..kwa uchafu nairobi ni chafu zaidi ya Kampala ,picha zisikudanganye..kwa majengo nairobi iko mbele japokuwa ni majengo ya foreigners na investors..Kampala labda waifananishe na Mwanza, kwa levels za Dar na Nairobi haijafika bado.
Hata ukiangalia kwa kipimo "quick and dirty" cha skyline tu utaona Kampala ipo ligi daraja la pili na haiwezi kushindana ligi daraja la kwanza zilipo Nairobi na Dar.
Kampala as far as I know, hata uwanja wa ndege wa kimataifa tu mpaka uende Entebbe.
Nairobi yenyewe inaingia mara mbili kwa Dar ,halafu unasema nairobi kuna magari mengi aki akili kweli si kila mtu anazo
Sasa unachanganya mijadala miwili tofauti.Hata nairobi nayo haina uwanja wa ndege..kwa uchafu nairobi ni chafu zaidi ya Kampala ,picha zisikudanganye..kwa majengo nairobi iko mbele japokuwa ni majengo ya foreigners na investors..
But a city is measured by slums onlyA city is not measured by boundaries you idiot. It is a waste of time arguing with some illiterate people here.
Sasa nyie wapuuzi mnatazama jam ya thika,then mnaamua kwamba nairobi ina magari mengi...hahaaaaaaSasa unachanganya mijadala miwili tofauti.
Mimi hata sijui Thika iko wapi, the joke is on you jack!Sasa nyie wapuuzi mnatazama jam ya thika,then mnaamua kwamba nairobi ina magari mengi...hahaaaaaa
Kampala+Dar+Kigali+Bunjumbura= Village LDC centres.Kampala is so beautiful,hatulinganishi majengo ya waganda na mchina house..
Kampala+Dar+Kigali+Bunjumbura= Village LDC centres.
NAIROBI= JIJI KUU. (internationally admired)
[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1203674View attachment 1203676View attachment 1203677
Now Dar against newyork???
Sasa wakenya wakiama Nairobi si kutakuwa wageni watupu maana wakenya wazawa wana ishi slum ,siungi mkono kuwafukuza wakenya Nairobi napinga napinva napinga
Na ujue duniani kuna majiji mengi mengine ni makubwa kuliko hata Dar.. kwa hiyo jiji kuwa kubwa ni moja ya sifa na ndo maana leo hii mmeamua kuiongezea mipaka nairobi mnaita nairobi metro.. japokuwa hamjaweza badoUmesahau mnavyosema "dar ni kubwa bana, ni sawa na nairobi tatu"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Ndio nlikua nataka kukujuza km ukubwa wa jiji sio kigezo cha maendeleo...bali huenda ikawa mmeongeza vijiji ndani
Nairobi yenyewe nyumba mbili miti miiiiiingiKampala+Dar+Kigali+Bunjumbura= Village LDC centres.
NAIROBI= JIJI KUU. (internationally admired)
[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1203674View attachment 1203676View attachment 1203677
Na ujue duniani kuna majiji mengi mengine ni makubwa kuliko hata Dar.. kwa hiyo jiji kuwa kubwa ni moja ya sifa na ndo maana leo hii mmeamua kuiongezea mipaka nairobi mnaita nairobi metro.. japokuwa hamjaweza bado
Kwa nini tuwe na metro wakati Dar yenyewe inajitoshelezaHyo metro lazima kw majiji km nairobi..hta dar mkitaka itakua
Kwa nini tuwe na metro wakati Dar yenyewe inajitosheleza