Nairobi: Wakuu wa mamlaka za mapato Afrika Mashariki wakutana

Nairobi: Wakuu wa mamlaka za mapato Afrika Mashariki wakutana

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda ameshiriki kikao cha Makamishna Wakuu wa Mamlaka za Mapato za Afrika Mashariki kinacho endelea mjini Nairobi Kenya.

Makamishna Wakuu hao wamekutana kwa lengo la kubadilishana uzoefu na kuondoa vikwazo katika ukusanyaji wa mapato pamoja na kutatua changamoto zinazofanana zinazozikabili Mamlaka hizo kwa pamoja.

cg in meeting 2.jpg
CG in meeting.jpg
Cgs.jpg
 
Muache Roho mbaya mnaua sana mitaji ya watu mipakani kibaya zaidi mkichukua mizigo mnagawana na Serikali haipati kitu.
 
Back
Top Bottom