Duuuh sasa mbona unajiquote[emoji28][emoji28][emoji28][emoji134][emoji134][emoji134][emoji16][emoji16][emoji1787]Na kwa taarifa yao fupi tu SIMUACHI SIONDOKI[emoji41] bado nipo nae sana hadi aniache YEYE[emoji4]
Ila una mdomo mchafu mweeh[emoji134][emoji134]
Kama sio gahawa hii hata angekuwa mimi ni huyo jamaa ako sikuoi mpaka utoke mvi za mnduku[emoji848]
Tumeongezeka wenye kuona wivu[emoji23][emoji23] wit hebu niache nibebike na shemeji yako mimi, mtizamo wangu nimeutoa, na inatosha
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16] we jeuri sana asee, uzi ulete mwenyewe afu upangie watu cha kupost[emoji849][emoji849][emoji849]
Acha wivu mtu yuko kwenye mahusiano na Bilgete anaondokaje kwa mfanoAna chai sana huyu demu[emoji16][emoji16]
Mbona hueleweki umeandika kwamba hutaangaika nae tena kudai ndoa baada ya comments za Walimwengu kukwambia vumilia hii Wadudu unayotaka kumsomea kwamba unahitaji ndoa chapu kwa haraka😂😂😂😂😂😂Hata hiyo fikra ya kutoa mnduku wangu sinaaaaa ndio kwanza namsomea ya wadudu[emoji1362][emoji1362]
Mbebee mimba atakuoaHabari zenu wanaJF
Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])
Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.
Suala lililonileta kwenu.
Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye suala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.
Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe nafasi ndani ya muda fulani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.
Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila suala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.
Simuelewi! Au ana miiko. Niko hoves nimechoka kuzini
View attachment 1781917
Mbona hueleweki umeandika kwamba hutaangaika nae tena kudai ndoa baada ya comments za Walimwengu kukwambia vumilia hii Wadudu unayotaka kumsomea kwamba unahitaji ndoa chapu kwa haraka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16]Pole kwa kuchelewa kujua hilo
Ningekupangia hata we usingecomment
Nachofurahia mmeupa uhai uzi wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnanipa rahaaa Leo futari yangu nitaila burdaniiiii kabisa
Asee una mahelaaa[emoji16][emoji16][emoji16]Endeleeni kuhangaika mkitoka hapo mnahesabu shida zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1782134
Niko nahesabu hela ya mauzo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huku nafurahia comments zenu
Kudadadeki wakomee.Endeleeni kuhangaika mkitoka hapo mnahesabu shida zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1782134
Niko nahesabu hela ya mauzo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huku nafurahia comments zenu
Tatizo hiloUgunduwe kwamba kumbe mifugo inaweza kujilisha kwenye shamba la mtu mwingine!