Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Uzi wenu pendwaaaa haya endeleni kujiachia[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] au niwafungulie mwingine?????
 
Duuuh sasa mbona unajiquote[emoji28][emoji28][emoji28][emoji134][emoji134][emoji134][emoji16][emoji16][emoji1787]

Kwani kuna limitations [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]au huelewi maana ya quote madame
 
Ila una mdomo mchafu mweeh[emoji134][emoji134]

Kama sio gahawa hii hata angekuwa mimi ni huyo jamaa ako sikuoi mpaka utoke mvi za mnduku[emoji848]

Tena mchafu haswaaaaaaaa[emoji1362][emoji1362][emoji1362]


Ndio anachokisubiria hadi hizo mvi zitoke[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwani unateseka? Mbona unapata mhaho wa kuhara na chakula hujala wewe
 
Tumeongezeka wenye kuona wivu[emoji23][emoji23] wit hebu niache nibebike na shemeji yako mimi, mtizamo wangu nimeutoa, na inatosha

Mbona hueleweki kama malaya wa kimboka mara huna bwana umebadilika gafla umeolewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16] we jeuri sana asee, uzi ulete mwenyewe afu upangie watu cha kupost[emoji849][emoji849][emoji849]

Pole kwa kuchelewa kujua hilo


Ningekupangia hata we usingecomment


Nachofurahia mmeupa uhai uzi wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnanipa rahaaa Leo futari yangu nitaila burdaniiiii kabisa
 
Naona uzi umevamiwa na wadangaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya jipeni airtime huwenda na nyie mkapata hata wa kuwastiri mkatoka makwenu na kuacha kudanga mtandaoni[emoji1362][emoji1362]


Bado hamna aliyenikera hadi sasa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ongezeni juhudi mkiishiwa bundle niwatumie
 
Hata hiyo fikra ya kutoa mnduku wangu sinaaaaa ndio kwanza namsomea ya wadudu[emoji1362][emoji1362]
Mbona hueleweki umeandika kwamba hutaangaika nae tena kudai ndoa baada ya comments za Walimwengu kukwambia vumilia hii Wadudu unayotaka kumsomea kwamba unahitaji ndoa chapu kwa haraka😂😂😂😂😂😂
 
Mbebee mimba atakuoa
 
Mbona hueleweki umeandika kwamba hutaangaika nae tena kudai ndoa baada ya comments za Walimwengu kukwambia vumilia hii Wadudu unayotaka kumsomea kwamba unahitaji ndoa chapu kwa haraka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sindio ushauri nilioupata na nimeupokea[emoji1362][emoji1362] na naufanyia kazi[emoji3526]
 
Pole kwa kuchelewa kujua hilo


Ningekupangia hata we usingecomment


Nachofurahia mmeupa uhai uzi wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnanipa rahaaa Leo futari yangu nitaila burdaniiiii kabisa
[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…