Ni kweli hakuna haja ya kuoa maana utaoaje wakati hata kabla ya kuoa unapata kila kitu kama mtu alieko kweny ndoa wadada mnapokubali kutoa pambuchi tena wengine mpka mnahamia kwa mabwana zenu mnatufanya tuone umuhimu na ulazima wa kuoa maana kama napata kila kitu kama aliea sasa kuna haja gani ya kuoa!!?? Kwa hiyo unajikuta unakuchukua huyu mnakaa wee akija shituka mnaachana unachukua mwingine hivo hivo mpaka na watoto unapata.
Shida iko hapa tu sio pengine!
View attachment 1780882
Allahuma aminaMungu akufanyie wepesi akutakabalie dua hii njema!Alafu Shangaa ukisema ngoja niende kuswali Malaika wanakuandikia thawabu hata kama hujaswali!
Sijakuelewa ExtrovertShida iko hapa tu sio pengine!
View attachment 1780882
Mkuu pole...naona bado unaweweseka.Jamani watu warudishiwe pesa zao na fidia za usumbufu ya ileeee tarehe 8 juzi. Mbona Bi Mkubwa unafanya vitu gani hivi!???
Hata mimi nisingekuoa kama unahamia kwangu kiholela holela kama wewe.......kitakachotokea mara nyingi ni surprise kwako kwamba ataoa mwanamke anayefaa kuwa mke siyo wewe mburulaHabari zenu wanaJF
Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])
Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.
Swala lililonileta kwenu.
Huyu mtu ni muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye swala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.
Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani[emoji3059][emoji3059] hajaoa, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe space ndani ya muda flani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.
Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila swala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.
Simuelewi! Au ana miiko[emoji848] Niko hoves nimechoka kuzini
Una utoto mwingi kwenye maelezo yako umesema unatarajia kuwa mama na ulibahatika kuwa na mtoto bahati mbaya amefariki,kwa maelezo yako mengine utamvumilia huyo mtarajiwa kwa miaka3 endapo mtabarikiwa kuwa na watoto then na wewe jamaa ameshikiria msimamo wake kwa hiyo utaondoka ukiwa una years unaiyona ndogo mwenyewe .Sasa hasara kwa Nani?? Mi yangu yananiendea na hiyo miaka 3 nikiona bado nitafanya ustaarabu mwingine maana ndio kwanza nitakua na 28yrsm
Kosa la kiufundi ulilofanya bibie ni kuanza kuishi na huyo mwanaume kabla ujaolewa.Hizi sogea tukae zina maumivu makubwa sana mbeleni wanaofanikiwa kuvuka salama ni wachache.Chondechonde angalia usifanywe shamba darasa.Alafu umesema mwanaume anataka watoto ila kwa dini yenu watoto kabla ya ndoa si ndo wanaitwa watoto haramu? Je hilo suala mmelizingumza na mwenza wako?au ndo mahaba nipofue?
Nadhani hili ni jibu sahihi.Hakupendi huyo ndio maana yupo tayari kukuachia muda utafute mwingine wa kukuoa. Lengo kuu la mahusiano hua ni mwisho wawili wapendanao wawe pamoja na kuanzisha familia.....Ukimpenda mtu kwa dhati kabisa muda wote unatamani umchukue/oe awe wako daima sasa kama mtu yupo tayari kukuachilia utafute wa kukuoa jua hakupendi. Yupo zake hapo kutimiza haja zake tena inawezekana hizo haja zake unazomtimizia ameshakina.
Wake up mate, Does this ain't ring a bell to you??
Una utoto mwingi kwenye maelezo yako umesema unatarajia kuwa mama na ulibahatika kuwa na mtoto bahati mbaya amefariki,kwa maelezo yako mengine utamvumilia huyo mtarajiwa kwa miaka3 endapo mtabarikiwa kuwa na watoto then na wewe jamaa ameshikiria msimamo wake kwa hiyo utaondoka ukiwa una years unaiyona ndogo mwenyewe .
Kimaisha yuko vizuri tu na mimi wala sio tegemezi kwake kila mtu anakazi zake (tunasaidiana)
Usahihi (hapo anajua yeye sasa maybe ameona mimi sio sahihi kwake)
Umri ana 35 mimi niko na 25yrs, naona hapo kwenye utayari wa kuoa kwake yeye mwenzangu bado
Kuishi pamoja, alinikuta najitegemea na yeye alikua anajitegemea, mawazo yake akasema tutafute nyumba kubwa tuishi pamoja hatukua na muda mrefu tangu tuanze mahusiano almost a month tu hivj, so kuanzia hapo hadi sasa tunaishi pamoja mkoa x
Kuzungumzia ndoa
Nimeacha
Ila as wapenzi ni kitu ambacho naona kinaniumiza na yeye ukitaka akose raha basi zungumzia kuhusu ndoa siku nzima atashinda hana furaha kwahiyo kauli yangu ya mwisho nilimwambia sitozungumzia tena kuhusu ndoa ye mwenyewe akiona sasa yuko tayari sawa
Ila ndani kwa ndani naumia sana, kuna leo na kesho hatuijui kesho yetu na bado tunazaa binafsi sipendi lakini sasa sina uwezo wa kulizuia hilo[emoji17][emoji17] sitaki hata sherehe nimemwambia tuhalalishe tu hata watoto wae wa ndani ya ndoa na tuwe tumekamilisha angalau nusu ya dini inavyotaka
'A man can date you for 6 good years while looking for the love of his life'
-Unknown.