Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Swala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye swala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani[emoji3059][emoji3059] hajaoa, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe space ndani ya muda flani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila swala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko[emoji848] Niko hoves nimechoka kuzini

Somewhere kuna something haipo sawa.
Ata mm namshauri atulie tu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Swala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye swala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani[emoji3059][emoji3059] hajaoa, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe space ndani ya muda flani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila swala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko[emoji848] Niko hoves nimechoka kuzini

Kwani akikuoa ni kitu gani cha ziada atakipata ambacho hakipati kwa sasa?
Endelea kutumika mrembo.
 
Nimeandika waraka mrefu kama wa simba nimeamua kufuta lakini nikwambie tu hiyo presha ya ndoa itakufanya uikose hiyo ndoa acheni kulazimisha akitaka atakuoa tu na pia sio lazima akuoe huo mda unaopiga kelele za ndoa ungekuwa unautumia kupanua biashara yako ama kujenga,afu pisi yenyewe kali mmh
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Swala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye swala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani[emoji3059][emoji3059] hajaoa, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe space ndani ya muda flani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila swala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko[emoji848] Niko hoves nimechoka kuzini

1. Una chura?
2. Unajua kufinyia ndani?
 
Itakua kweli hanipendi mimi pia nawaza hilo

Lakini sasa wanaume wote wanakasoro yeye kasoro yake ndio hiyo hataki kunioa naogopa nisije nikaolewa na mtu ambaye hatuendani vitu vingi huyu 99.9% vyote tunaendana tatizo ni hilo tu hayuko tayari na ananiambia kabisa sipo tayari kwasasa but i’ll marry you
Hata mie kama unanipa nachotaka tutaendana 100% ila ukiwa mshenzi mshenzi lazma mzani ucheze
 
Mtu anakutumia kama mke na mume lakini kuihalalishia HATAKI haoni muda unaenda na sisi wanawake tunawahi kubadilika kimaumbile tofauti na wanaume
Af unakataaga wahuni kumbe umewekwa kinyumba bila ndoa!

Jokes aside, Mie nina hisia kama kuna mgogoro kwa upande wa jamaa yako ila hajakushirikisha likely sababu ni kwenye family yao hawakutaki au wanakuona huendani na mtoto wao au itikadi zao! Sema jamaa anaona noma kukuchana ila inakujaga ku blow out vibaya kama kuna mke wamemtafutia kwao ili akutose wewe. Jamaa ana conflict flani sababu hakuna sababu ya kutokukuoa ikiwa ndoa ya kiisilamu haina mbwembwe za mamilion mkitaka kuhalalisha tu!
 
Kuna sababu ndogo ndogo pia
1.Historia yake na wanawake sio nzuri
2.Ana aibu
3.Hapendi kujichanganya na yupo kivyake vyake na maisha yake
4.Hapendi complications

Mkigombana uwaga unaongea kauli gani?Ushwahi msaliti hata kama unahisi hajui?

Kuna kosa kubwa ulifanya nalo ni kukubali kuishi nae nyumba moja kabla hajakuoa mapema sana naelewa inawezekana unalifanya hivyo sababu ya mapenzi lakini kadri ambavyo ni rahisi mtu kupata huduma zote za kijinsia basi ni kazi kwake kuwaza kujiingiza kwenye ndoa hasa km ana vitabia vya hapo juu.Its normal kabisa

By the way km Mna amani na furaha just be happy tu na fanya wajibu wako kwake.Usijiumize kichwa sana

Mi nitakupa mfano hai mwanamke niliyemuoa mimi nilidumu nae kwenye mahusiano kwa miaka 7.Alipokuw ananiuliza km nitamuoa mi nikimwambia wazi bado sijawaza kuoa na siwezi kukuhidi nitakuoa ila nakupenda ndo mana tumedumu mok sasa.Sometimes nilikuwa nampa kavu usinipangie,sikutaka kuoa sababu nilikuwa sijisikia kuoa na sipo tyr.Pesa nilikuwa nayo na mwanamke sahihi alikuwepo yeye ili nilikuwa sijisikii kuoa na sitaki kuambiwa kuhusu ndoa in fact hata mimi nilimwambia ukiona huwezi katafute ndoa ila usiniambie habari za ndoa.Siku moja isiyo na jina niliwaza kuoa haikuchukua miezi 3 nikalipa mali na haikupita miezi mitatu nikaoa.Mama angu mzazi alijua masihara sasa kwanini nilioa ni kwasababu niliona ni mda sahihi wa kuoa.Na kipindi namuoa mke wangu alikuwa kaacha kabisa kuniambia nimuoe niliamua mwenyewe kwa akili zangu timamu.

Usilazimishe ndoa hata usiwaze kama ipo ipo tu.

Ushauri wako nimeuelewa zaidi

Watu wanalazimisha niondoke niachane nae wanaona kama rahisi

Tunafuraha tena zaidi ya furaha ni mshkaji wangu kiasi kwamba naweza kufanya chochote mbele yake na kwake pia

Hopeful muda wetu bado tu naimani ye ndio niliyeandikiwa
 
Nimeandika waraka mrefu kama wa simba nimeamua kufuta lakini nikwambie tu hiyo presha ya ndoa itakufanya uikose hiyo ndoa acheni kulazimisha akitaka atakuoa tu na pia sio lazima akuoe huo mda unaopiga kelele za ndoa ungekuwa unautumia kupanua biashara yako ama kujenga,afu pisi yenyewe kali mmh

Thanks kwa ushauri wako[emoji122] kweli ni focus na kujijenga mwenyewe zaidi
 
alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe space ndani ya muda flani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.
Nimeishia hapa...


Ndio yule ulizaa nae bahati mbaya mtoto akafariki?
 
Af unakataaga wahuni kumbe umewekwa kinyumba bila ndoa!

Jokes aside, Mie nina hisia kama kuna mgogoro kwa upande wa jamaa yako ila hajakushirikisha likely sababu ni kwenye family yao hawakutaki au wanakuona huendani na mtoto wao au itikadi zao! Sema jamaa anaona noma kukuchana ila inakujaga ku blow out vibaya kama kuna mke wamemtafutia kwao ili akutose wewe. Jamaa ana conflict flani sababu hakuna sababu ya kutokukuoa ikiwa ndoa ya kiisilamu haina mbwembwe za mamilion mkitaka kuhalalisha tu!

Maybe siwezijua maana hajaniambia anachosema ni bado hayuko tayari na furaha huishia hapo hiyo hadi kesho
 
TULIZANA na usisahau ya WADUDU 😂😂😂Kila kitu kiko shwari kabisa anakutimizia mahitaji yako kama KE bila shida yoyote na wewe unafurahia juhudi zake. Kitandani anakupa raha za hali ya juu huna malalamiko yote. Mapenzi yake kwako unaridhika nayo na wewe unampenda sana. Kukumbushia ndoa ni muhimu lakini USIKURUPUKE na kufunga virago vyako eti kulazimisha ndoa UTAULA WA CHUYA! 😜😜

Ushauri wako nimeuelewa zaidi

Watu wanalazimisha niondoke niachane nae wanaona kama rahisi

Tunafuraha tena zaidi ya furaha ni mshkaji wangu kiasi kwamba naweza kufanya chochote mbele yake na kwake pia

Hopeful muda wetu bado tu naimani ye ndio niliyeandikiwa
 
TULIZANA na usisahau ya WADUDU [emoji23][emoji23][emoji23]Kila kitu kiko shwari kabisa anakutimizia mahitaji yako kama KE bila shida yoyote na wewe unafurahia juhudi zake. Kitandani anakupa raha za hali ya juu huna malalamiko yote. Mapenzi yake kwako unaridhika nayo na wewe unampenda sana. Kukumbushia ndoa ni muhimu lakini USIKURUPUKE na kufunga virago vyako eti kulazimisha ndoa UTAULA WA CHUYA! [emoji12][emoji12]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka hadi nimepaliwa


Ni kweli

Yani hapa wananishauri niondoke utafikiri wao watanioa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaume wenyewe wengine sio rizk wengine maugomvi kila siku wengine wanataka kupewa wao tu wengine sek10 chaliii akuuu mwenzangu namsomea ya WADUDU TU hadi kieleweke
 
Back
Top Bottom