Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Komaa hapo hapo dada usitoe mguu. Kuna watu wana comment humu unaona kabisa wana gubu. Kuna wengine wanatafuta hata wakuwaweka ndani hawapati.kikubwa heshima na uaminifu mengine majaliwa

Wanajifariji na stress zao za maisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siondoki hata kwa trekta bado nipo nipo SANAAAA na Ndio kwanzaaaaa nazidisha mahaba miguu juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Labda una dharau ila papuchi nzuri..Mwanaume na dharau vitu mbali mbali So anakula kwanza papuchi huku akiendelea kuangalia angalia kanakomvutia tabia huko nje.
 
,,,,Na wewe labda kama uwe umetuongopea kwenye maelezo yako,,,Lakini Kwa maelezo hayo hapo unapendwa,,,

-HAPO TUMIA HEKIMA TU,,,,,

-TAFUTA WATU WAZIMA [KE] RAFIKI ZAKO WAKUSHAURI VIZURI NAMNA YA KULIENDEA HILI JAMBO WAKIWA WA MBALI ITAPENDEZA [wasiwe ndugu lakini]

-ACHANA NA MASHOGA ZAKO WATAKUTIA CHAKA watakushauri kimihemuko sio kibusara

Asante kwa ushauri[emoji122][emoji122] napendwa hadi mwenyewe najua napendwa sana[emoji1362]
 
Okei,,,Kimsingi Mapenzi hayashauriki lakini ila swala la msingi sana sana kwa lilikua ni kumpa njia kama zote aolewe na mpenzi ake huyo anaependana nae kama anavyosema,,,,wanapendana kinoma,,,

Kusema juu juu hakupendi huy achana nae,,,,anakutumia nk nk ina leta ukakasi ni kama unamkorogea kunguni mtu,,,,Au ni kama tule turoho mbaya twakihehe
Sasa mkisema hivi mna limit watu kutoa mawazo yao while hii ni public forum. Kila mtu ana mawazo yake na yakitofautiana na matarajio yako(au ya mtoa mada) haina maana anaonewa wivu.

Sirudi tena kwenye hii thread aisee.
 
Kwani kwa kusoma unakua huoni ?
Si inakua "UKIONA" meseji au [emoji23][emoji23][emoji23]

Sawaa hongera sana,,,,Haya sasa uende mshike mkono mwenzio Pisi kali afikie level kama yako ya Ndoa na sio kushabikia komenti za kuachana,,,,understand ? ?
Bye
 
Pisi kali vipi ulishawahi kumwambia akajitambulishe tu home na kulipa mahari?

Kama bado mshawishi akajitambulishe na kulipa mahari. Kuhusu ndoa utulie wala usiiulizie ilimradi wewe umerdhika na anavyokutendea na hauna mpango wa kumuacha haina haja ya kujiumiza kuwaza tena.

Kuhusu kuzini sijui nini inabidi sasa uwaze wewe Je unayapenda hayo mahusiano kuliko dini yako ? Kama ni hivyo tulia kula maisha ndoa atakujaga tu.Na inaonekana mumeo ni muislam ila hana hofu ya mungu ndio maana haoni tatizo sanaa kukaa bila ndoa na kufunga huku mwaishi pamoja.

Kwetu anajulikana na baada ya kufariki mtoto kuna faini alilipishwa akalipa

Mahari bado anasema tusubiri atatuma watu waende nisiwe na haraka
 
Okei,,,Kimsingi Mapenzi hayashauriki lakini ila swala la msingi sana sana kwa lilikua ni kumpa njia kama zote aolewe na mpenzi ake huyo anaependana nae kama anavyosema,,,,wanapendana kinoma,,,

Kusema juu juu hakupendi huy achana nae,,,,anakutumia nk nk ina leta ukakasi ni kama unamkorogea kunguni mtu,,,,Au ni kama tule turoho mbaya twakihehe

Na wala maisha ya watu kiuhalisia hayajui ni hisia zake zimemtuma aone hivyo
 
Teh mimi binafsi sijamwambia aondoke..ila hata waliomwambia ni sawa tu hakuna wivu hapo wengine wanaongea kwa experience zao soooo excuse me

Ushasema experience zao na sio yangu[emoji1362] na wapo wenye experience kama yangu at the end they are just happy with their lives[emoji18]hii ni chapter yangu itakapoishia ndio itakua experience yngu
 
Key point 'UKIONA'

Sasa humu tunaonana? Anyone can brag about anything..kama mimi nimeandikishwa viwanja vi3 tofauti na nyumba tunayoishi ina jina langu na nimeagiziwa gari Japan inakuja. Kubwa kuliko nimelipiwa mahari nimeolewa na nina furaha.

Let that sink in.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hapo utataka mashindano na wala Sipo kwaajili ya mashindano kuna watu wamepata zaidi ya nilivyovipata na wapo ambao hawajapata ya robo ya nilivyovipata[emoji4][emoji4]

Hata hadi kusema sikutaka kusema[emoji1362]
 
Sasa mkisema hivi mna limit watu kutoa mawazo yao while hii ni public forum. Kila mtu ana mawazo yake na yakitofautiana na matarajio yako(au ya mtoa mada) haina maana anaonewa wivu.

Sirudi tena kwenye hii thread aisee.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hivyo basi SIONDOKI SIMUACHI Ndio kwanzaaa nazidi kushikilia msukani
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Suala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye suala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe nafasi ndani ya muda fulani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila suala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko. Niko hoves nimechoka kuzini

View attachment 1781917
Nae yupo humu pia
 
Kwani kwa kusoma unakua huoni ?
Si inakua "UKIONA" meseji au maelezo [emoji23][emoji23][emoji23]

Sawaa hongera sana,,,,Haya sasa uende mshike mkono mwenzio Pisi kali afikie level kama yako ya Ndoa na sio kushabikia komenti za kuachana,,,,understand ? ?

Level gani? Ya wivu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ye aendelee kushadadia comment tu hapa
 
....mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe nafasi ndani ya muda fulani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.
Kusoma hujui, picha ukutani huzioni?!

Kama unavyomuona anaongea hayo akiwa serious, basi hakuna upendo hapo bali huenda anashindwa tu jinsi ya kukutupia virago au anahitaji service zako za ndani ya nyumba kama vile mapishi, usafi, n.k!! Na kama ni mtu wa safari, atakuwa bado anahitaji service yako ya "ulinzi" wa nyumba!!

Hivi mtu anaanzaje kukuambia kama shida yako ni ndoa basi nakuruhusu kajaribu bahati yako somewhere else, na usipobahatika mtarudiana?!

Hivi kauli kama hiyo ina tofauti gani na kukuambia nakuruhusu kawe na boyfriend mwingine na mkishindwana mtarudiana huku akijua kabisa mahusiano ya siku ni lazima mgegedane hata kabla ya ndoa?

Kwahiyo, he don't care hata ukienda kutoa tunda kwingine katika kujaribu kutafuta ndoa!! Sounds like unamtegemea kwa kila kitu na kwahiyo anaona mahitaji yako ni kama kelele za chura!!
 
Hivi bila hiyo ndoa maisha yenu hayaendi?

Tuachege kukumbatia ukoloni
 
Key point 'UKIONA'

Sasa humu tunaonana? Anyone can brag about anything..kama mimi nimeandikishwa viwanja vi3 tofauti na nyumba tunayoishi ina jina langu na nimeagiziwa gari Japan inakuja. Kubwa kuliko nimelipiwa mahari nimeolewa na nina furaha.

Let that sink in.
Kuwa na furaha Hilo ndo la muhimu mengineyo yanatafutwa, hongera
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Suala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye suala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe nafasi ndani ya muda fulani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila suala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko. Niko hoves nimechoka kuzini

View attachment 1781917
Njoo uishi na Mimi uone kama miezi sta itapita bila kutangaza!
 
Back
Top Bottom