Anolway
Senior Member
- Feb 6, 2021
- 158
- 590
Jshkze tu uendlee kpata ya kulaKwa kweli ni jambo la Kumshukuru Mungu ananijalia afya njema na sijajiingiza katika matumizi ya madawa ama Uhalifu...
Hali kama hii kaka inatisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jshkze tu uendlee kpata ya kulaKwa kweli ni jambo la Kumshukuru Mungu ananijalia afya njema na sijajiingiza katika matumizi ya madawa ama Uhalifu...
Hali kama hii kaka inatisha...
😆😆, mkuu vichaa gani?Duu ndio kwanza Ina miaka 3.5 ,,hiyo 10 umeitoa wapi?
Acha nongwa za kumsingizia mama.Usipopata Ajira awamu hii ya mama hutopata tena watakuja wale vichaa wengine mtakoma
CV zetu zilitupwa kwenye dustbin na kuchomwa moto...Mitano tena, ila mbona tumeshindwa kuendesha mabasi ya mwendokasi na wataalamu mpo?
Uzoefu Unaonesha Viongozi Wakristo(RC) wamekuwa hivyo Wala sio swala la time traveller historia itakupa majibu.Kwa hyo wewe umekuwa time traveler unaona future sio. Kwamba watakao kuja watakuwa worse than SSH?
Nijishkize wapi mkuu?Jshkze tu uendlee kpata ya kula
Wale wanaojali maendeleo ya vitu kuliko watu ,wanaopendwa kuabudiwa na kujigamba Kwa propaganda na vitisho.😆😆, mkuu vichaa gani?
Mwenye shiba hawezi mkumbuka mwenye njaa.Duu ndio kwanza Ina miaka 3.5 ,,hiyo 10 umeitoa wapi?
Acha nongwa za kumsingizia mama.Usipopata Ajira awamu hii ya mama hutopata tena watakuja wale vichaa wengine mtakoma
Samia anajitahidi kiukweli ukilinganisha na mtangulizi wake.Uzoefu Unaonesha Viongozi Wakristo(RC) wamekuwa hivyo Wala sio swala la time traveller historia itakupa majibu.
Sio tuu worse kwenye ugumu wa Ajira Bali hata ukatili.
Nasisitiza usipopata kazi awamu hii ya Samia hesabu maumivu Jumla.
Day workNijishkize wapi mkuu?
Kama huwezi kuona tofauti ya Serikali ya SSH vs Magufuli basi una matatizo sana naona unasema lao Moja.Mwenye shiba hawezi mkumbuka mwenye njaa.
Try to wear my shoes bro
Or Just assume I am your brother hustling for years, could you spit these similar bitter words?
Could you dare?
Kama huwezi kuona tofauti ya Serikali ya SSH vs Magufuli basi una matatizo sana naona unasema lao Moja.
Nasisitiza usipopata kazi awamu ya mama sio tuu Serikalini hata private basi hutopata kazi tena maana kama Ajira hazipo Serikalini Private sector zipo Kwa sababu sekta ya Usafirishaji ni namba 2 Kwa Ukuaji Tanzania
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1813092372336767256?t=5seXsbyZ-wIRgLbtmekB5A&s=19
Umeandika jambo muhimu SanaMaisha ya sasa! Unatakiwa kuwa na fani zaidi ya moja...
Fani gani nzuri zaidi unazohisi zaweza kukubeba pale plan A ikila mweleka?Maisha ya sasa! Unatakiwa kuwa na fani zaidi ya moja...
Kuchoma chips.Fani gani nzuri zaidi unazohisi zaweza kukubeba pale plan A ikila mweleka?
kwa kweli nawaomba sana wadau kama kuna mtu ana pikipiki anisaidie hata nipige bodaboda maana hii hali ishanichanganya sana
CV zetu zilitupwa kwenye dustbin na kuchomwa moto...
kwenye SGR hatukushirikishwa hata kukatisha tiketi achilia mbali Operation and Administration..
It Pains
bro, wewe si ndio ulimuuliza Fundi manyumba kama anaweza fanya kazi ya 260k, asa ungemlipa nn kama ww mwnyew huna kazi?Mwenye shiba hawezi mkumbuka mwenye njaa.
Try to wear my shoes bro
Or Just assume I am your brother hustling for years, could you spit these similar bitter words?
Could you dare?
Jf humu mkuu kaa kijanja oooh....bro, wewe si ndio ulimuuliza Fundi manyumba kama anaweza fanya kazi ya 260k, asa ungemlipa nn kama ww mwnyew huna kazi?