Naishukuru sana serikali ya Rais Samia kwa kuniweka benchi miaka 10 bila ajira

Naishukuru sana serikali ya Rais Samia kwa kuniweka benchi miaka 10 bila ajira

Kwa kweli niseme tu asante, nishukuru kwa kila jambo kama Biblia ilivyotuamuru.

Nilihitimu Elimu yangu ya ngazi ya juu mwaka 2015 Katika Shahada ya Logistics and Transport Management, mpaka leo nasugua benchi tu😭

Mama Samia na serikali yako mbarikiwe sana kwa hili.

Tupo wengi sana tunaosota mtaani na serikali ilitumia gharama kubwa sana kutusomesha.

Siku njema wana JF.

Kwasasa unamiaka 30 na Bado unaendelea kusota dm namba zako kesho uanze kutembeza vyombo
 
bro, wewe si ndio ulimuuliza Fundi manyumba kama anaweza fanya kazi ya 260k, asa ungemlipa nn kama ww mwnyew huna kazi?
Sio hilo tu mkuu nilitoa connection ya kazi za watu wa Accounts hapa Mwanza


Kwenye hii shida siko peke yangu, ni vyema kusaidiana!
 
2015 juzi tu hapo mkuu😀😀😀 wengine tupo toka 2012 kitaa yaan miaka 12 iliyopita na bado serikali haina huruma na pesa waliyotukopesha ili irudi wakope wengine
 
Back
Top Bottom