Kwasasa unamiaka 30 na Bado unaendelea kusota dm namba zako kesho uanze kutembeza vyomboKwa kweli niseme tu asante, nishukuru kwa kila jambo kama Biblia ilivyotuamuru.
Nilihitimu Elimu yangu ya ngazi ya juu mwaka 2015 Katika Shahada ya Logistics and Transport Management, mpaka leo nasugua benchi tu๐ญ
Mama Samia na serikali yako mbarikiwe sana kwa hili.
Tupo wengi sana tunaosota mtaani na serikali ilitumia gharama kubwa sana kutusomesha.
Siku njema wana JF.
Sio hilo tu mkuu nilitoa connection ya kazi za watu wa Accounts hapa Mwanzabro, wewe si ndio ulimuuliza Fundi manyumba kama anaweza fanya kazi ya 260k, asa ungemlipa nn kama ww mwnyew huna kazi?
Ah wapi.. si bora umpe mtaji akalime nyanyaKwasasa unamiaka 30 na Bado unaendelea kusota dm namba zako kesho uanze kutembeza vyombo
๐๐ ngoma itakua kibonda kigomaAcha na Mimi niongeze muwakilishi mwingine Mwaka unaenda wa 15 huu Ajira emptyView attachment 3045373
Ila ata kwenu songea kuko hivyo๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu ajira mpyaa, karipoti kituo cha kazi huko Kigoma.