Anajikuta mtabiri anadhani mambo ni rahisi siku zote alikuwa mpk aje kutabiri saiviMkuu weka akiba ya maneno.
Plympic Lyonais wameangusha miti mikubwa sana (Kibibi cha Turin[Juventus] na The Blue Moon[MCFC]).
Hawa wajumbe toka France wanajua kukaba na kufunga kwa counter attack huku wakiwa na hari ya juu.
RB Leipzig ni timu inayocheza mpira kama wa Liverpool FC hivyo PSG wanaweza kupata shida hasa kujilinda dhidi yao. PSG wanaweza kujikuta wanatumia muda mwingi kujilinda badala ya kushambulia.
Kwenye computer na kwenye makaratasi Bayern Munchen au PSG watachukua ubingwa.
kiukweli mie sikutegemea kuwa ATM anafungwa bwana lakini mpira aliopigiwa mhhh ni hatari sana aisee..Bayern wasijiamini hivo aiseeMkuu weka akiba ya maneno.
Plympic Lyonais wameangusha miti mikubwa sana (Kibibi cha Turin[Juventus] na The Blue Moon[MCFC]).
Hawa wajumbe toka France wanajua kukaba na kufunga kwa counter attack huku wakiwa na hari ya juu.
RB Leipzig ni timu inayocheza mpira kama wa Liverpool FC hivyo PSG wanaweza kupata shida hasa kujilinda dhidi yao. PSG wanaweza kujikuta wanatumia muda mwingi kujilinda badala ya kushambulia.
Kwenye computer na kwenye makaratasi Bayern Munchen au PSG watachukua ubingwa.
anajikuta mtabiri bwana sheheeeeeee yahyaAnajikuta mtabiri anadhani mambo ni rahisi siku zote alikuwa mpk aje kutabiri saivi
Naona unajisahaulisha kwamba Bayern hajamfunga Leizpig katika match zote walizojutana msimu huu.Lyon kafanya kile ambacho hakikutarajiwa na wengi kwa kutinga nusu fainali baada ya kuwadondosha matajiri wa Manchester kwa goli 3 -1.
Sasa watakutana na wagumu wa ujerumani Bayern katika nusu fainali. Bayern ni team ngumu na wazoefu wa michuano hii hivyo nawaona wakiishinda mechi hii na moja kwa moja kutinga fainali.
PSG na Leipzig hakuna mwenye ubavu wa kuwadondosha bavarians
Fainali Bayern - PSG
Bingwa Bayern
Aiseee upo sahihi sana.Mkuu weka akiba ya maneno.
Olympic Lyonais wameangusha miti mikubwa sana (Kibibi cha Turin[Juventus] na The Blue Moon[MCFC]).
Hawa wajumbe toka France wanajua kukaba na kufunga kwa counter attack huku wakiwa na hari ya juu.
RB Leipzig ni timu inayocheza mpira kama wa Liverpool FC hivyo PSG wanaweza kupata shida hasa kujilinda dhidi yao. PSG wanaweza kujikuta wanatumia muda mwingi kujilinda badala ya kushambulia.
Kwenye computer na kwenye makaratasi Bayern Munchen au PSG lazima watachukua ubingwa mapema tu.
Mshindi alwways ni mmoja anaweza kuwa yoyote kati ya hao wanne kwa vigezo na namna nilivozitizama team zote nne zilizofika hatua hii karat yangu naiweka Bayern ila si lazima mtizamo wangu ufanane na yoyote yule. Kumbuka tu magiants kama JUVE, BAYERN, LIVERPOOL, BARCELONA, R. MADRID wameshatolewa na hizi teamanajikuta mtabiri bwana sheheeeeeee yahya
Tuko pale paleWazee wa kubeti kutabiri ni msamiati wa kawaida tu na wenye matumizi ya kila siku, mbona unaonekana kuteseka sana.
Hawana lolote wanasepeshwa kiulainimkuu huku mbape huku neymar wanashindaje. pale kati icardi