Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Hivi ile iliokuwa inaonyeshwa Chanel 10 mchezo wa kuigiza kuna binti kipofu halafu kuna nyimbo inaimba "haya daima Mapito haya kwetu mapito"
Inaitwaje?
Inaitwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo ni ya kitambo sioMkiipata hiyo nitafutieni na ile ya safari... kapili na mwenzie
TVT ndio walikuwa wakipenda sana kuionyesha hiyo movieMuvi hii ni ya kiswahili niliiangalia muda mrefu sio bongo muvi ni zile muvi nadhani zinafadhiliwa na wahisani.nakumbuka sehemu chache sana kwenye hiyo muvi.kuna watoto wawili wa kike na wa kiume mama yao alikufa au aliachwa na baba yao,baba akawa akaoa mwanamke mwengine, yule mwanamke akawa anawatesa wale watoto mwishowe wakakimbilia mitaani.yule wa kike baadae alipata kazi ya uhausigeli kwa mama mmoja,lakini mume wa yule mama akawa anataka kumrubuni yule mtoto afanye nae mapenzi.
Mama yule mwenye huyo mume siku alimfuma mmewe akivutana na yule mtoto,yule mama akamfukuza yule mtoto,na mtoto akarudi mtaani,kuna sehemu yule mtoto anaonekana yuko na makahaba.Mwishoni mwa muvi kaka yake na huyu mtoto alikamatwa na polisi kwa kujihusisha na uwizi dada yake akawa analia.Ni sehemu hii tu ndio nakumbuka.Katika muvie hii kuna wimbo wanaimba "maisha,maisha,maisha".sijui hii muvi inaitwa neria au?sina uhakika.
Ipi mkuu inayoitwa tamari aliyoiulizia jamaa hapo juu yako au niliyoiulizia mimiHiyo Movie inaitwa TAMARI na
ina kithemes chake kinaimbwa
[emoji445] ukiwa na tamari eeeh maisha yako ya fahari[emoji445]
Moja kati ya MOVIE zilizothaminiwa na mashirika ya umoja wa mataifa
Movie nzuri inakumbusha mazingira ya zamani posta ilivyokuwa mausha halisi ya watanzania na inaonesha mazingira halisi ya tanzania ilivyokuwa hasa setting ya mwisho milimani MOROGORO msamvu edhi hizo
Unaikumbuka jina mkuuHii movie iliektiwa morogoro mwaka 1998..
Jina nimeisahau c badae baba wa watoto atotoatamfukuza yule mama wakambo nakuenda kijijini kuwatafuta watoto wake..Unaikumbuka jina mkuu
Yakitambo sanaaNa hiyo ni ya kitambo sio
Hiyo uliyouliza inaitwa tamari na huyo msichana dadaake JUMA anaitwa TAMARIIpi mkuu inayoitwa tamari aliyoiulizia jamaa hapo juu yako au niliyoiulizia mimi
Ndio hiyo mwambaHiyo uliyouliza inaitwa tamari na huyo msichana dadaake JUMA anaitwa TAMARI
Mwishoni BABU wa kijiji yupo mjini POSTA katika mizunguko yake TAMARI anamuona anamuita babu then huyo babu anamnunulia chips pale pembezoni mwa bank ya NBC kipindi hicho daladala za ubungo kimara mbezi zinapack mbele ya bank ya NBC
Babu anarudi na TAMARI morogoro kisha yule mzee anatoka na babajuma wanakwenda mjini kumtia gerezani juma
Tunaoneshwa wapo katika mnyama ABOOD scania matata wanakuja dsm kumfata juma
Mwusho movie inaishia kwenye kikao cha kijiji MOROGORO baba juma na mamajuma wanapatanishwa
ama siyo hiyo mzee baba
Ukoo wenu ndio unakuja kunipa muongozo au?
Hata mm nimeikumbuka aisee ni zamani sana ilikua miaka ya 2002 uko nyuma daah
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Umeambiwa nenda ofisi za TBC kitengo cha maktaba 😎Hamna mwenye muvi hii anipatie au aniunganishe niipate
Yaani nifunge safari toka huku nilipo nitumie takribani 150,000 kwenda tu TBC kwa ajili ya movie.Are you serious?Umeambiwa nenda ofisi za TBC kitengo cha maktaba 😎
Sasa hapa unaniambia au unaniuliza? 🤔Yaani nifunge safari toka huku nilipo nitumie takribani 150,000 kwenda tu TBC kwa ajili ya movie.Are you serious?
Nakushangaa ulivyo tutusaSasa hapa unaniambia au unaniuliza? 🤔