Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hujawahi kufanikiwa hadi leo??Nakushangaa ulivyo tutusa
Niliwahi kuiona hii, ilikuwa inahuzunisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kufanikiwa hadi leo??Nakushangaa ulivyo tutusa
Inamzungumzia Neema na kaka yake mama yao aliachana na mumewe sababu changudoa ni ya zamani mnoMuvi hii ni ya kiswahili niliiangalia muda mrefu sio bongo muvi ni zile muvi nadhani zinafadhiliwa na wahisani.nakumbuka sehemu chache sana kwenye hiyo muvi.kuna watoto wawili wa kike na wa kiume mama yao alikufa au aliachwa na baba yao,baba akawa akaoa mwanamke mwengine, yule mwanamke akawa anawatesa wale watoto mwishowe wakakimbilia mitaani.yule wa kike baadae alipata kazi ya uhausigeli kwa mama mmoja,lakini mume wa yule mama akawa anataka kumrubuni yule mtoto afanye nae mapenzi.
Mama yule mwenye huyo mume siku alimfuma mmewe akivutana na yule mtoto,yule mama akamfukuza yule mtoto,na mtoto akarudi mtaani,kuna sehemu yule mtoto anaonekana yuko na makahaba.Mwishoni mwa muvi kaka yake na huyu msichana alikamatwa na polisi kwa kujihusisha na uwizi dada yake akawa analia.Ni sehemu hii tu ndio nakumbuka.Katika muvie hii kuna wimbo wanaimba "maisha,maisha,maisha".sijui hii muvi inaitwa neria au?sina uhakika.
Mkuu kwa maoni yangu naona umekosea kujibu hili jibu.. Nimefuatilia maoni ya wadau yote.. Hata mimi nilitaman sana kuipata hii movie ila nisingeiona yote ingeboa.. Ningeweka tu vipande vile vzr mfano kwenye mandhari ya morogoro pale...Yaani nifunge safari toka huku nilipo nitumie takribani 150,000 kwenda tu TBC kwa ajili ya movie.Are you serious?
Nashukuru sana kwa ushauri jamaa yangu inanikumbusha mbali filamu ileMkuu kwa maoni yangu naona umekosea kujibu hili jibu.. Nimefuatilia maoni ya wadau yote.. Hata mimi nilitaman sana kuipata hii movie ila nisingeiona yote ingeboa.. Ningeweka tu vipande vile vzr mfano kwenye mandhari ya morogoro pale...
Kwanini Nasema umekosea kujibu hivo
Siku hizi simu zipo mitandao ipo sasa badala ya wewe kuja tbc dar au Dom basi agiza mtu aende akaulize namna ya kuipata maktaba then unatumiwa tu.. Unaweza ukashangaa umetumia gharama ndogo tu labda 20000 maana lazima umpooze aliyeenda kuuliza.. So huna marafiki au ndugu dar ambaye unaweza kumuagiza?????
Jamaa wanaweza kuwa nayo na wakatukunjiasijawahi kuiona... ila nme penda hiyo plot..
mwenye hii movie please