Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii biashara inaweza gharimu mtaji wa shi ngapi ili kuweza kuiona faidaJukumu langu litakuwa ni kumtafutia na kumconnect na wenye mbao, boriti nk
Nikiwa na maana atayeitaji kununua mashamba ya miti apasue mwenyewe
nitamtafutia mashamba na kumuunganisha na wenye mashamba ukiitaji kuanzia heka 1 hadi 70 yapo ni hela yako tu
Kwa yule wakuitaji mbao na boriti nitamtafutia yenye bei nzuri kuanzia mbao mia 700 hadi laki 8 kutegemea unaitaji kiasi gani? kuhusu soko vibali hilo ni jukumu lako
Na kwa atayeitaji mabanzi pia nakukusanyia hata ukiitaji mabanz laki utayapata
Pia miti kwaajili ya nguzo ipo
Location:njombe number yangu 0743014032 au njoo pm nitakutumia picha za hayo mashamba na kila kitu karibun tuwekeze kwenye soko la mbao no utapeli ni wewe tu na mtaji wako na muda wako Mimi utanifikilia baada ya kukukamilishia kazi
Safari hiyi nimejipanga si mchezo Nina kama m9 hizo za kumlisha tu sasa niulize stake IPO shingap asee atapigwa mpaka achakae na nimehama mkoa kwaajili yake nisipo mpiga b3 sio mm 🤑🤑🤑🤑 hapa maafisa wenzangu tu watanielewaMkuu mr pipa mambo vipi tajiri ? Ni mwezi huu tutakutana katika uzi wa maafisa ili mbivu na mbichi zijulikane kusanya mtaji tu .
Arudi Bombay arudi Bombay .Safari hiyi nimejipanga si mchezo Nina kama m9 hizo za kumlisha tu sasa niulize stake IPO shingap asee atapigwa mpaka achakae na nimehama mkoa kwaajili yake nisipo mpiga b3 sio mm 🤑🤑🤑🤑 hapa maafisa wenzangu tu watanielewa
Mimi nina mbao na boriti za kutosha natafuta mteja.Jukumu langu litakuwa ni kumtafutia na kumconnect na wenye mbao, boriti nk
Nikiwa na maana atayeitaji kununua mashamba ya miti apasue mwenyewe
nitamtafutia mashamba na kumuunganisha na wenye mashamba ukiitaji kuanzia heka 1 hadi 70 yapo ni hela yako tu
Kwa yule wakuitaji mbao na boriti nitamtafutia yenye bei nzuri kuanzia mbao mia 700 hadi laki 8 kutegemea unaitaji kiasi gani? kuhusu soko vibali hilo ni jukumu lako
Na kwa atayeitaji mabanzi pia nakukusanyia hata ukiitaji mabanz laki utayapata
Pia miti kwaajili ya nguzo ipo
Location:njombe number yangu 0743014032 au njoo pm nitakutumia picha za hayo mashamba na kila kitu karibun tuwekeze kwenye soko la mbao no utapeli ni wewe tu na mtaji wako na muda wako Mimi utanifikilia baada ya kukukamilishia kazi
Bei ya 2/4 ni 3,200nipe bei yako na idadi nikuletee mteja chapu kuna jamaa anataka mbao elfu kumi
Niungnishe na mteja.nipe bei yako na idadi nikuletee mteja chapu kuna jamaa anataka mbao elfu kumi
nikikuunganisha na mteja kesho simu ikihalibika sitakuwa na hela ya kununulia pia gar angu itakosa mafuta ya kukutafutia wateja wengine so mteja yupo na ni kaz yangu kumpanga ww na kukuletea anakulipa bei yako so tegemea wiki ijayo ila bei yako itabak kama ilivyo yangu mia tatu kwa kila 3200+300= nazan umeelewa ila sipend usumbufu na epuka dhurumaNiungnishe na mteja.
Ndefu sio fupi2*4 na 2*6 na 1*8 ni shingap
Haina shida kabisa. Leta mteja changu nachukua. Chakwako nakupanikikuunganisha na mteja kesho simu ikihalibika sitakuwa na hela ya kununulia pia gar angu itakosa mafuta ya kukutafutia wateja wengine so mteja yupo na ni kaz yangu kumpanga ww na kukuletea anakulipa bei yako so tegemea wiki ijayo ila bei yako itabak kama ilivyo yangu mia tatu kwa kila 3200+300= nazan umeelewa ila sipend usumbufu na epuka dhuruma