Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Naitaji mwanamke huru wa kuchart nae ku shair nae story free.
Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto.
Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari kupokea simu yangu hata kama ni usiku wa manane.
Napenda awe rafiki angu ambae sito sita kumueleza kinacho nikwaza kunikera na yeye akanisaidia na hata kunielewa.
Napenda awe muelewa wa kumtambua mtu jinsi alivyo na kuishi nae bila misuguano.
Natamani awe na fani yoyote ambayo itamfanya awe na uzoefu kadri siku zinavyo songa na mimi ni msaidie kidogo kwa uwezo wangu.
Natamani awe anasoma vitabu na kuangalia move mbali mbali.
Napenda awe mtu wa michezo kucheza kwake iwe kawaida mazoezi ya mbio na stretching mbali mbali.
Natamani awe anaakili sanaaaaaa...!!?
Mwenye sifa hizi kwakwe nampenda na aje PM.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto.
Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari kupokea simu yangu hata kama ni usiku wa manane.
Napenda awe rafiki angu ambae sito sita kumueleza kinacho nikwaza kunikera na yeye akanisaidia na hata kunielewa.
Napenda awe muelewa wa kumtambua mtu jinsi alivyo na kuishi nae bila misuguano.
Natamani awe na fani yoyote ambayo itamfanya awe na uzoefu kadri siku zinavyo songa na mimi ni msaidie kidogo kwa uwezo wangu.
Natamani awe anasoma vitabu na kuangalia move mbali mbali.
Napenda awe mtu wa michezo kucheza kwake iwe kawaida mazoezi ya mbio na stretching mbali mbali.
Natamani awe anaakili sanaaaaaa...!!?
Mwenye sifa hizi kwakwe nampenda na aje PM.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app