Naitaji mwanamke huru

Naitaji mwanamke huru

Mamserenger

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2019
Posts
1,156
Reaction score
2,092
Naitaji mwanamke huru wa kuchart nae ku shair nae story free.

Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto.

Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari kupokea simu yangu hata kama ni usiku wa manane.

Napenda awe rafiki angu ambae sito sita kumueleza kinacho nikwaza kunikera na yeye akanisaidia na hata kunielewa.

Napenda awe muelewa wa kumtambua mtu jinsi alivyo na kuishi nae bila misuguano.

Natamani awe na fani yoyote ambayo itamfanya awe na uzoefu kadri siku zinavyo songa na mimi ni msaidie kidogo kwa uwezo wangu.

Natamani awe anasoma vitabu na kuangalia move mbali mbali.

Napenda awe mtu wa michezo kucheza kwake iwe kawaida mazoezi ya mbio na stretching mbali mbali.

Natamani awe anaakili sanaaaaaa...!!?

Mwenye sifa hizi kwakwe nampenda na aje PM.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Apokee simu ucku wa manane unataka kumtoa kafala mtoto wa watu ama nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya dadaz mkuje huku
Usiku wa manane sasa wewe sijui utakuwa unalala saa ngapi?


Dadaz wako under 25. Naona unafaa 😆
 
Usiku wa manane sasa wewe sijui utakuwa unalala saa ngapi?


Dadaz wako under 25. Naona unafaa [emoji38]
Weeee kwanza kanitisha alivyo sema ucku wa manane apokee simu maana kaweka msisitizo kabisaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza huyo mkaka me nadhani mi nayeye hata masaa 24 hayawezi pita tutakua tusha gombana
 
Hahahahahaha
We kama hizi sifa huna paki pembeniiiii[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akukubalie nani mashari kama mganga wa kienyeji pole[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]mseleleko
 
Broo Just frend tuu hata yeye anakibali cha vyote hapo juu.

Coz sitamani mdada ambae yupo yupo tuu asie elewekaa kakaaa
Mimi nilijiwekeaga vigezo kama hivyo hatimaye nilichemka, mpatie uhuru Mungu akipatir Mke mwema maana Mungu hutujua sisi Binadamu rohoni kitabia, kiakili, kiutendaji, kifikra, kiafya, kimaarifa, kihekima n.k.
 
Nikadodekaaa kwa sifa hizoo acha tuu
Anicheki PM ni mkodishie ndege aka talii Dubai na Paris Ufaransaaa[emoji3059][emoji3059]
KWA ela gani ulo kua nayo labda umpeleke kwenu koromije [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
KWA ela gani ulo kua nayo labda umpeleke kwenu koromije [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Hahahahahaha...
Pesa ya kuhonga mwamba sikosiii...😍
 
Back
Top Bottom