Naitaji mwanamke huru

Naitaji mwanamke huru

Weeee kwanza kanitisha alivyo sema ucku wa manane apokee simu maana kaweka msisitizo kabisaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza huyo mkaka me nadhani mi nayeye hata masaa 24 hayawezi pita tutakua tusha gombana
Ha ha ha ha Ha baby Fanc kuna kipengele hapo kinasema
'Amsome mtu na ajue kuishi nae...

So bado vigezo hunaaa...

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
KWA ela gani ulo kua nayo labda umpeleke kwenu koromije [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Hahahahahaha Koromije...
Anaenda kupigwa na baridi akisubiria Passport kwee mwewee...[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Uje umlishe mrenda na maharage mtoto wa watu apate vidonda vya tumbo bure[emoji847][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha ha hapa
Mlenda si ujui zaidi ya Rost maini chapati
Wali biriani Saladi
Nyama ya kuku ya kuokwa na Wine line.

Dm fast uchambe koo na vitu laini

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom