Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Ukorofi umeanza lini lakn🤣🤣🤣KWA ela gani ulo kua nayo labda umpeleke kwenu koromije [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukorofi umeanza lini lakn🤣🤣🤣KWA ela gani ulo kua nayo labda umpeleke kwenu koromije [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahaha ngoja ufe nalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapanaa
Natafuta Mdada mwenye sifa zake tajwa mwanzo wa uzi huu...[emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwani unaweza kuila keki na bado keki ikawa haiishi.Naitaji mwanamke huru wa kuchart nae ku shair nae story free.
Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto.
Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari kupokea simu yangu hata kama ni usiku wa manane.
Napenda awe rafiki angu ambae sito sita kumueleza kinacho nikwaza kunikera na yeye akanisaidia na hata kunielewa.
Napenda awe muelewa wa kumtambua mtu jinsi alivyo na kuishi nae bila misuguano.
Natamani awe na fani yoyote ambayo itamfanya awe na uzoefu kadri siku zinavyo songa na mimi ni msaidie kidogo kwa uwezo wangu.
Natamani awe anasoma vitabu na kuangalia move mbali mbali.
Napenda awe mtu wa michezo kucheza kwake iwe kawaida mazoezi ya mbio na stretching mbali mbali.
Natamani awe anaakili sanaaaaaa...!!?
Mwenye sifa hizi kwakwe nampenda na aje PM.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Bro acha tuu kusaka best in life na ukapata ni tabu sanaa😄Kwani unaweza kuila keki na bado keki ikawa haiishi.
We Cheka huwenda ukawa wewee sijuiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana sikucheki nimefurah ulivyo badili mada hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anakwambia unatafuta ligi wewe unajibu vingine[emoji1787]We Cheka huwenda ukawa wewee sijuiii
😂😂😂Apokee simu ucku wa manane unataka kumtoa kafala mtoto wa watu ama nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya dadaz mkuje huku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]